image

Namna ya kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

Posti hii inahusu zaidi namna au njia za kuepuka na Ugonjwa huu wa ngiri ambao uleta madhara kwa watoto, vijana na watu wazima, kwa hiyo ili tuweze janga hili ni lazima tufanye yafuatayo.

Njia za kuepuka Ugonjwa wa ngiri.

1. Kwaza kabisa tunapaswa kutumia vyakula vyenye nyuzi nyuzi kama vile machungwa, maembe na aina mbalimbali za matunda kwa kufanya hivyo tunaweza kuufanya mwili ujengeke na hatimaye kuepuka na janga hili la ugonjwa wa ngiri.

 

2.Pia tunapaswa kula vyakula vyenye wingi wa protini.

Kwa kawaida tunajua kazi ya protini ni kuufanya mwili ukue vizuri na kurudisha sehemu iliyokuwa imeharibika kuwa vizuri, kwa kutumia vyakula vya hivyo kama maziwa, mahindi, karanga na mambo kama hayo usaidia mwili kuwa imara na kupunguza tatizo la ngiri.

 

3. Epuka kazi ngumu.

Ili kuepuka Ugonjwa huu wa ngiri tunapaswa kuepuka kazi ngumu ambayo Usababisha viungo vya mwili kutenguka na pia kuepuka mazoezi magumu sana nayo usababisha viungo vya mwili kuachia hali ambayo Usababisha kuwepo kwa uwazi na utumbo au nyama kukua kuelekea kwenye sehemu ya uwazi 

 

4. Kutumia virutubisho vya mwili.

Tunajua kubwa chakula bora ni dawa kwa kutumia chakula bora na chenye aina zote za virutubisho usaidia kuwepo kwa kinga ya kutosha mwilini na hatimaye mwili kujijenga wenyewe na kupungua kwa Ugonjwa huu wa ngiri.

 

5. Tunapaswa kujenga Tabia ya kufanya uchunguzi.

Kwa kufanya uchunguzi tunaweza kupunguza matatizo kuwa makubwa zaidi,kwa kufanya hivyo hata tatizo liligunduliwa ni rahisi kutibiwa.

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1606


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi    

Post zifazofanana:-

Dalili za minyoo ya tumbo
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili za minyoo ya tumbo ambapo minyoo hawa husababishwa na mtu kula vyakula vichafu ambavyo havijaiva vizuri au maji machafu pia au bacteria. Soma Zaidi...

Fahamu maambukizi ya kwenye mishipa ya Damu.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa ambao husababisha kuvimba kwa mishipa ya damu katika mwili wako wote. Ambao kitaalamu hujulikana Kama Behcet . Soma Zaidi...

Fahamu Ugonjwa wa uchovu sugu.
Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika Soma Zaidi...

Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?
Kama unahisi maumivu ya tumbo huwenda umejiuliza swali hili ukiwa kama mwanamke "Je maumivu juu ya kitovu ni miongoni mwa dalili za mimba?". Post hii inakwenda kujibu swali hili Soma Zaidi...

Sababu za Maambukizi kwenye mifupa.
Post hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye mifupa ambayo kwa kitaalamu huitwa Osteomyelitis, ni Maambukizi ambayo hutokea kwenye mifupa kwa sababu mbalimbali ambazo usababisha ugonjwa huu. Soma Zaidi...

Dalili za minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za minyoo Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa Saratani.
Saratani inahusu ugonjwa wowote kati ya idadi kubwa ya magonjwa ambayo yanaonyeshwa na ukuaji wa seli zisizo za kawaida ambazo hugawanyika bila kudhibitiwa na kuwa na uwezo wa kupenya na kuharibu tishu za kawaida za mwili. Saratani mara nyingi ina uwezo Soma Zaidi...

Dalilili za kidole tumbo (appendicitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na ugonjwa wa Kidole ambao kitaalamu hujulikana Kama Appendicitis. Kidole tumbo husababisha maumivu kwenye tumbo la chini la kulia. Hata hivyo, kwa watu wengi, maumivu huanza karibu na kitovu na kisha kusonga. Kadiri uvi Soma Zaidi...

Yajuwe maradhi mbalmbali ya ini na chano chake
Ini ni moja ya ogani za mwili ambazo husumbuliwa na maradhi hatari sana. Katika post hii utakwend akuyajuwa maradh hatari ambayo hushambulia ini. Pia utajifunza jinsi a kujikinga na maradhi hayo. Soma Zaidi...

NI WATU GANI WALIO HATARINI ZAIDI KUPATA UKIMWI?
Post hii itakwena kukufundisha kuhusu historia fupi ya Ukimwi na matibabu yake. Ni wapi wapo hatarini kupata maambukizi na ni kitu gani wafanye? Soma Zaidi...

Matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani
Post hii inahusu zaidi matibabu ya vidonda vya tumbo nyumbani, ni njia ya kawaida ya kujitibu vidonda vya tumbo kama tulivyoona. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...