Posti hii inahusu zaidi njia au namna ya kufanya ili ngozi iweze kuwa laini bila kuwa na make up yoyote.
1. Ni njia ambazo utumiwa na watu mbalimbali ili kuhakikisha kubwa ngozi inakuwa laini kwa matumizi mbalimbali ya vyakula na mazoezi kwa kuzingatia yafuatayo.
2. Punguza matumizi ya chumvi.
Kwa kawaida chumvi usaidia kufanya vitu mbalimbali kwenye mwili ila na yenyewe ikiwa nyingi usababisha mwili kutokuwa na hali ya kuvutia.
2. Usichanganye maziwa ya wanyama na matunda.
Kwa sababu kazi ya maziwa huwa ni kufyonza kwa hiyo ukichanganya maziwa na matunda kwa kawaida maziwa yatafyonza vitamini muhimu ambavyo usababisha mwili kunawili.
3. Epuka matumizi ya mara kwa mara ya make up nzito usababisha mwili kuwa na makunyanzi.
4. Fanya mazoezi mepesi na kunywa maji kwa wingi kwa sababu maji usaidia kurainisha mwili.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1134
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 kitabu cha Simulizi
👉3 Kitabu cha Afya
👉4 Kitau cha Fiqh
Maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo baada ya tendo la ndoa Soma Zaidi...
MAGONJWA HATARI YA MOYO NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO: PRESHA, SHINIKIZO LA MOYO NA SHAMBULIO LA MOYO
Soma Zaidi...
NAMNA AMBAZO MWILI HUPAMBANA NA MARADHI
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
UTAMBUE UGNJWA WA UTI DALILI ZAKE, CHANZO NA TAHADHARI DHIDI YAKE
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
ZIJUWE FIGO, KAZI ZA FIGO NA NAMNA YA KULINDA FIGO DHIDI YA MARADHI
Je unatambuwa namna fgo inavyofanya kazi, unazijuwa kazikuu za fogo mwilini, na je unajuwa namna ya kujilinda dhidi ya maradhi ya figo?. Basi makala hii itakujuza kuhusu masomo haya1 Soma Zaidi...
madhara ya tezi dume
Endapo tezi dume haitatibiwa ama itachlewa kutibiwa basi mtu anaweza kupata madhara. katika post hii utakwenda kuyajuwa madhara ya tezi dume kwenye Mwili Soma Zaidi...
AFYA YA UZAZI, ULEZI, BABA, MAMA NA MTOTO PAMOJA NA MAHUSIANO
Soma Zaidi...
ilinde Afya yako
Hiki ni kitabu kilichosheheni masomo zaidi kuhusu Afya yako, vyakula pamoja na maradhi sugu. Soma Zaidi...
MAGONJWA 7 YALETWAYO NA MBU: MALARIA, DENGUE, HOMA YA ZIKA, HOMA YA MANJANO
Soma Zaidi...
Masomo ya Afya kwa kiswahili
Makala za afya zilizopata kusomwa zaidi kutoka bongoclass kitengo cha afya Soma Zaidi...
AFYA NA MAGONJWA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...
TABIA
Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote Soma Zaidi...