picha

Namna ya kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuzuia ugonjwa wa madonda ya koo,ni njia ambazo usaidia katika kujikinga na ugonjwa wa madonda ya koo.

1. Kutumia kitambaa wakati wa kupenga mafia, hii usaidia kutosambaa kwa wadudu kutoka sehemu Moja kwenda nyingine

 

2. Kunawa mikono kila mara unapotoka sehemu Moja kwenda nyingine, hii usaidia kutosambaa kwa wadudu.

 

3. Kutotumia vifaa vya kulia chakula na kunywea maji au chai zaidi ya mtu mmoja, hii upunguza kusambaza wadudu.

 

4. Kuepuka kuhusiana na watu wenye maambukizi, au kuachana kabisa na kupiga denda

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 4197

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
πŸ‘‰1 kitabu cha Simulizi     πŸ‘‰2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     πŸ‘‰3 Madrasa kiganjani     πŸ‘‰4 Kitau cha Fiqh     πŸ‘‰5 ai web app     πŸ‘‰6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Presha ya kushuka/hypotension

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu presha ya kushuka/ hypotension

Soma Zaidi...
Fahamu kuhusu Ugonjwa wa Dengue

Posti hii inahusu zaidi ugonjwa wa Dengue, ni ugonjwa unaosababishwa na virusi ila unasambazwa na mbu kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine mbu anayasambaza Ugonjwa huu kwa kitaalamu huitwa Aedes mosquito .

Soma Zaidi...
fangasi, aina zao, dalili zao na matibabu yao

Fangasi na Aina zao Fangasi wa kwenye kucha Fangasi wa Mapunye Fangasi aina ya candida Fangasi wa Mdomoni na kooni Fangasi wa kwenye uke Fangasi wanaoshambulia mfumo wa damu na ogran kama moyo, figo n.

Soma Zaidi...
Tofauti ya Dalili za UKIMWI na Magonjwa Mengine

​Watu wengi huishi kwa hofu wakihisi dalili za kawaida za magonjwa ni ishara ya VVU/UKIMWI. Posti hii inafafanua kwa nini dalili za VVU si maalum (non-specific) na kwa nini kipimo cha maabara ndiyo njia pekee sahihi ya kujua hali ya afya yako.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kusafisha mfuko wa uzazi baada ya mimba kuharibika.

Katika jamii, mara nyingi tunasikia kuhusu "kusafisha mfuko wa uzazi" baada ya mimba kuharibika au baada ya kujifungua. Ni muhimu kufahamu kuwa, kwa mujibu wa sayansi ya tiba, mfuko wa uzazi (uterasi) ni kiungo chenye uwezo wa kipekee wa kujisafisha chenyewe kupitia mchakato wa kusinyaa na kutoa damu na tishu zilizobaki (lochia). Makala haya yanalenga kutoa elimu sahihi kuhusu jinsi ya kusaidia mwili wako katika kipindi hiki cha uponyaji na wakati gani unapaswa kutafuta msaada wa kitabibu.

Soma Zaidi...
Kukauka kwa ngozi (Dry skin): Sababu na njia za kuilainisha.

Ngozi kavu ni tatizo la kawaida linaloweza kusababisha ngozi kuvutika, kuwasha, na hata kupata michirizi au magamba. Ingawa mara nyingi sio tatizo kubwa kiafya, inaweza kuwa kero inayoathiri muonekano na raha yako ya kila siku. Makala haya yanakupa mwongozo wa nini kinasababisha ngozi yako kupoteza unyevu na hatua unazoweza kuchukua ili kuirejeshea afya na ulaini wake.

Soma Zaidi...