picha

Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji

Posti hii inahusu zaidi namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji, ni mbinu mbalimbali ambazo utumika ili kujaribu kuepuka Dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

Namna ya kuzuia dalili za hatari kwa aliyefanyiwa upasuaji.

1. Kuwepo kwa umakini wakati wa kufanya upasuaji ili kuzuia makosa ya kukata viungo vingine visivyohusiana na upasuaji ambavyo kwa kawaida ndicho utoa sana damu, kwa hiyo wanapaswa kuandaliwa wataalamu wenye ujuzi ili kuweza kuepuka usumbufu ambao utokea kwa wagonjwa hasa hali ya kutoka damu ambapo ikizidi usababisha mgonjwa kupoteza kiwango cha dumu natimaye kupoteza maisha 

 

 

2. Kuhakikisha kuwa Mama ana maji ya kutosha mwilini na na madini ya kutosha kabla hajaenda kwa sababu anapofanyia upasuaji anapoteza damu na maji pia na madini upungufu a na saa nyingine mgonjwa anaweza kuzimia, ni vizuri kabisa kuwa mgonjwa anapaswa kuwa na maji kabla ya upasuaji, wakati wa upasuaji ili kuepusha hali hiii ambayo ni kupoteza maji na kusababisha madhara makubwa

 

 

3. Pia wataalamu wa afya wanapaswa kumweka mgonjwa kwenye mkao mzuri  wakati wa upasuaji ili kuepuka hali ya maji maji kwenye mfumo wa hewa pia wanapaswa  kuwa na kifaa cha kuvuta maji maji ambayokama yameinga kwenye mfumo wa hewa na kuweza kumwacha mgonjwa salama 

 

 

4, Na pia mgonjwa aliyepaswa kujua mzio wowote kuhusiana na dawa anapaswa kutumia ili kuweza kuepuka madhara yatokanayo na  kwa hiyo mkunga anapaswa kumuuliza Mgonjwaç na pia kuchukua history kuhusu dawa kama ashawahi kuzitumia kwa hiyo wote wanapaswa kuwa macho ili kuhakikisha kuw mgonjwa amepata huduma inayostahili

.

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/17/Monday - 04:45:58 pm Topic: Jifunze Main: Afya File: Download PDF Views 1076

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 kitabu cha Simulizi    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

TAHADHARI KWENYE VYAKULA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
UGONJWA WA MALARIA NA TAKWIMU ZA ATHARI YAKE KIDUNIA

Malaria ni katika maradhi ambayo husambazwa na na mbu jike aina ya anopheles.

Soma Zaidi...
MAANA YA AFYA, ni nani aliye na afya?

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
HUDUMA ZA KIAFYA KATIKA JAMII

Umuhimu wa huduma za kiafya katika jamii

Soma Zaidi...
MAZINGIRA

Pata elimu juu ya afya hapa ukiwa na vitabu vyetu bila ya malipo yoyote

Soma Zaidi...
darasa la lishe

Jifunze mengi kuhusu afya na lishe, ujuwe utaratibu wa lishe

Soma Zaidi...
Jinsi ya kuepuka magonjwa ya figo

Figo ni moja katika orgn zenye umuhimu sana mwilini na endapo itaatirika kwa namna yeyote ile, madhara makubwa kwenye mwili yanaweza kutokea na hata kifo. Katika post hii utajifunza jinsi ya kulinda mwili wako dhidi ya matatizo ya figo

Soma Zaidi...