Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa
Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.
Swali:
Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa
Jibu:
Kwanza itambulike kuwa wakati wa kufanya tendo la ndoa mimba itaingia endapo mwanaume atamwaga mbegu zake na kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke. Na si hivyo tu ni mpaka mbegu zile ziwe na uwezo wa kutungisha mimba, pia lazima zikutane na yai zikiwa na afya imara. Hivyo basi kutungwa kwa mimba kunategemeana na hali nyingi.
Hivyo basi endapo utaweza kuzuia mbgu kuingia kwene njia ya uzazi, utakuwa umeweza kuzuia uwezekano wa kupata mimba. Hivyo basi wacha tuzione njia hizo:-
1. Kumwaga nje. Njia hii kitaalamu inatambulika kama withdraw yaani kabla ya mwnaume umwaga mbegu anatakiwa achomoe uume na kumalizia kumwaga mbegu nje. Hii ni nia ya ki asilia ambayo haina shida. Ijapokuwa inaweza kuathiri saikolojia na kushindwa kufurahia tendo.
2. kutumia kinga. Endapo kitendo kitafanyika kwa ktumia kinga basi itakuwa rahisi kuzuia mbegu za mwanaume kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke.
Njia hizo zinahitaji umakini wa hali ya juu. kwani endapo hamtakuwa makini kondom inaweza kupasuka na kupelekea kuvuja wa mbegu na kuingia kwenye njia ya uzazi ya kike. Ama mwanaume akashindwa kuchomoa na kumwagia nje.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 Simulizi za Hadithi Audio 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 ai web app
Post zinazofanana:
Mambo yanayopelekea Mjamzito kutokwa na damu
Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
Soma Zaidi...Imani potofu kuhusu uzazi wa mpango
Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Mimba huonekana katka mkojo baada ya muda gan tangu itungwe
Kipimo cha mimba kwa mkojo kimekuwa kikitumika sana kuangalia ujauzito. Kipimo hiki kinapotumika vibaya kinaweza kukupa majibu ya uongo. Kuwa makini na ujue muda sahihi.
Soma Zaidi...mpenzi wangu nimeshiriki nae tendo la ndoa akiwa siku zake za hatar kwa siku 3 lakin hajashika mimba tatizo linaweza kuwa ni nini?
Kupata ujauzito hufungamana na mambo mengi ikiwepo afya vya wawili yaani me na mume na mengineyo. Unaweza kushiriki sikuvhatari na usiupate mimba. Postivhii ibakwendavkukufahamisha undani wa jambo hili.
Soma Zaidi...Magonjwa ya kwenye ovari na Dalili zake.
Post hii inahusu zaidi Magonjwa yanayoshambulia sana ovari na Dalili zake, haya ni magonjwa ambayo yanashambulia sana ovari ni kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Njia za kutibu mbegu dhaifu.
Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Soma Zaidi...