Je ungependa kuijuwa Njia ya kuzuia mimba wakati wa tendo la ndoa?. Posti hii itakwenda kukufundisha ujanja huu.
Swali:
Nataka nijue Kuwa njia yakuzuia mimba wakati Wakufany tendo La ndoa
Jibu:
Kwanza itambulike kuwa wakati wa kufanya tendo la ndoa mimba itaingia endapo mwanaume atamwaga mbegu zake na kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke. Na si hivyo tu ni mpaka mbegu zile ziwe na uwezo wa kutungisha mimba, pia lazima zikutane na yai zikiwa na afya imara. Hivyo basi kutungwa kwa mimba kunategemeana na hali nyingi.
Hivyo basi endapo utaweza kuzuia mbgu kuingia kwene njia ya uzazi, utakuwa umeweza kuzuia uwezekano wa kupata mimba. Hivyo basi wacha tuzione njia hizo:-
1. Kumwaga nje. Njia hii kitaalamu inatambulika kama withdraw yaani kabla ya mwnaume umwaga mbegu anatakiwa achomoe uume na kumalizia kumwaga mbegu nje. Hii ni nia ya ki asilia ambayo haina shida. Ijapokuwa inaweza kuathiri saikolojia na kushindwa kufurahia tendo.
2. kutumia kinga. Endapo kitendo kitafanyika kwa ktumia kinga basi itakuwa rahisi kuzuia mbegu za mwanaume kuingia kwenye njia ya uzazi ya mwanamke.
Njia hizo zinahitaji umakini wa hali ya juu. kwani endapo hamtakuwa makini kondom inaweza kupasuka na kupelekea kuvuja wa mbegu na kuingia kwenye njia ya uzazi ya kike. Ama mwanaume akashindwa kuchomoa na kumwagia nje.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu changamoto za ujauzito na dalili zake endelevu
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi maelekezo muhimu kwa mama au mlezi wa mtoto mgonjwa. Ni maelekezo muhimu hasa wakati wa kutoa dawa kwa mtoto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.
Soma Zaidi...Ukiwa mjamzito unaweza kushuhudia kutokwa na damu. Je damu hii ni ya hedhi?
Soma Zaidi...SIKU YA KUPATA UJAUZITO Mimba hutokea pindi mbegu ya kiume (sperm) inapokutana na yai la mwanamke (ova) na kuungana kwa pamoja kutengeneza selli moja iitwayo zygote.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye ngozi wakati wa ujauzito, ni mabadiliko yanayotokea kwenye ngozi ya Mama wakati wa ujauzito.
Soma Zaidi...