Wahenga wanaelewa, enzi hizo unaambiwa ndege akinasa basi unakumbuka macho juu asije akayoke. Hukuchinib. hujali kama kuna mjimba ama nini
Miaka huyo muhenga unakwenda kutafuta ulimbk msituni, inakuja kutengeneza kwa ajili ya kunasia ndege. Mti wa mmbungo ni moja katika mtito iliyotumika kutengeneza ulimbo.
Sasa pale wanaponasa unaanza kukimbia huku macho yanaangalia juu. Unaangalia juu ili kwamba kama atachomoa utamjuwa alipoelekea.
Sasa wakati unaangalia juu huku chini miguu inaweza kukanyaga miiba ama majiti. Hayabyite hata hujali. Kujenga inaweza ukagongwa na nyoka kwa kufanya hivyo.
Mungu awabariki wahenga wote.
By Muhenga Mkorofi
Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.
Download NowUmeionaje Makala hii.. ?
Karibu sana Kwenye Maktaba Yetu Sasa umefika kwenye maktaba ya vitabu.
Soma Zaidi...Bonoclass ni muunganiko wa maneno mawili, kutoka katika lugha mbili yaani lugha ya kiingereza na lugha ya kiswahili.
Soma Zaidi...Jifunze kufanya mambo mbalimbali kwa vitendo, kwa kutumia picha, sauti ama video
Soma Zaidi...MAAJABU YA VIUMBE Dunia ina maajabu sana lakini viumbe wana maajabu pia.
Soma Zaidi...Nataka nikufundishe moja katika maajabu ya mdudu Buibui kwa lugha ya kimombo spider.
Soma Zaidi...Hapa utakwenda kujifunza namna ambavyo ukoloni uliingia Tanzania na vipindi vyake. Utajifunza hatuwa ambazo ukoloni uliweza kupiti na hatimay kuitawala Tanzania
Soma Zaidi...