picha

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

Usimamizi wa Haki na haki za binadamu Katika Dola ya Kiislamu

- Ni wajibu wa dola kuhuisha, kuendeleza na kudumisha maadili ya jamii ili kuishi kwa furaha na amani ya kweli.


- Ni wajibu kukomesha maovu ambayo husababisha vurugu, huzuni na mashaka katika jamii.


- Ni wajibu kusimamia haki na uadilifu wa kila raia bila upendeleo wa aina yeyote kama ifuatavyo;




a) Haki za kila binaadamu

- Haki ya kuishi

- Haki ya usalama wa maisha yao

- Haki ya kuheshimu utwaharifu wa manmade

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru binfsi

- Haki ya usawa wa binaadamu

- Haki ya mahusiano



b) Haki za raia Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya kuendesha maisha binafsi

- Haki ya kupinga na kuzuia udhalimu, maovu na kuamrisha mema

- Haki ya uhuru wa kutoa maoni na kuheshimiwa

- Haki ya kuamini na kuabudu

- Haki ya kushitaki viongozi wa Dola

- Haki ya kushika hatamu ya uongozi wa Dola



c) Haki za Wasiokuwa Waislamu Katika Dola ya Kiislamu

- Haki ya ulinzi na usalama wa maisha na mali zao

- Haki katika sheria za jinai

- Haki katika sheria za madai

- Haki ya heshima

- Haki ya uhuru na katika sheria ya mtu binafsi

- Haki ya uhuru wa kuamini na kufanya ibada kwa mujibu wa imani yake. Kumbuka:
Dhimmi hawana haki ya kuongoza katika Dola ya Kiislamu kwa sababu wanaenda kinyume na hawakubaliani na malengo ya Dola.
Rejea Qurโ€™an (2:257)



                   

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1791

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 ai web app    ๐Ÿ‘‰3 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰5 Dua za Mitume na Manabii    ๐Ÿ‘‰6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Yajuwe masharti ya udhu yaani yanayofanya udhu kukubalika

Posti hii itakufundisha masharti yanayohitajika kwa mwenye kutaka kutia udhu.

Soma Zaidi...
Mambo muhimu ya kuzingatia katika kujenga uchumi wa kiislamu

Nazingatio muhimu katika uchumi unaofuata sheria za kiislamu.

Soma Zaidi...
Ubainifu kati ya halali na Haramu na kujiepusha na mambo yanayo tatiza

ุนูŽู†ู’ ุฃูŽุจููŠ ุนูŽุจู’ุฏู ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุงู„ู†ูู‘ุนู’ู…ูŽุงู†ู ุจู’ู†ู ุจูŽุดููŠุฑู ุฑูŽุถููŠูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุนูŽู†ู’ู‡ูู…ูŽุงุŒ ู‚ูŽุงู„ูŽ: ุณูŽู…ูุนู’ุช ุฑูŽุณููˆู„ูŽ ุงู„ู„ูŽู‘ู‡ู ุตู„ู‰ ุงู„ู„ู‡ ุนู„ูŠู‡ ูˆ ุณู„ู… ูŠูŽู‚ู?...

Soma Zaidi...
Swala ya tarawehe jinsi ya kuiswali

Post hii itakwenda kukufundisha kuhusi swala ya tarawehe, faida zake na jinsi ya kuiswali.

Soma Zaidi...
Lengo la funga linavyofikiwa

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Nguzo za udhu ni sita

Post hii itakufundisha kuhusu nguzo kuu sita za udhu.

Soma Zaidi...