Kama unadhani una tatizo la kuwahi kufika kileleni basi post hii ni kwa ajili yako.
'swali
'Ndug me naitaj ushaul man nishaingia kwny tendo dakika 7 tu nakua nidhfk kilelen naomb ushaul ndug'
Jibu
'Huwenda huna shida sana. Wenye tatizo huwa wanamwaga ndani ya sekunde 30.
'Tafiti zinaonesha kuwa wastani wa wanaume kushiriki tendo la ndoa ni dakika 5. Kuna baadhi ya tafiti zinaonesha ni dakika 3.
'Hii inamaana kama wewe ni dakika 7 hupo kwenye wenye tatizo.
'Hivyo basi unachohitaji wewe ni kukutana na mtu akushauri namna ya kuongeza kidogo ama kuendana na kasi ys mpenzi wako'
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa
Mwandhishi Tarehe 2022/05/15/Sunday - 08:30:39 am Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1246
Download our Apps
👉1 Kitau cha Fiqh
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 Madrasa kiganjani
👉4 kitabu cha Simulizi