image

Nguvu za kiume Ni nini?

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maana ya nguvu za kiume

NGUVU ZA KIUME NI NINI?

Tunapozungumzia nguvu za kiume ni uwezo wa mwanaune kusimamisha uume kutokana na kupatwa na hisia za kushirikintendonla ndoa. Katika kusimamisha huku kuna wengine wanasimamisha kwa muda mchache na wengine kwa muda mrefu.  Kitu hasa kinachoangaliwa sana ni uwezo wa uume kusimama na kuwa imara wakatinwa kushirikintendonla ndoa.

 

Je upungufu wa nguvu za kiume ni nini?

Upungufu wa nguvu za kiume hapa tunaangalia uwezo wa uume kuendelea kusimama na kuwa imara wakati wankyinguanna kutoka kwenye uke pindinmtu anaposhiriki tendonla ndoa. Kama mwanaune hawezi kusimamisha uume wake ndani ya dakika 3 wakati anashuriki tendonla ndoa huyuntunasema ana upungufu wa nguvu za kiume. Kuna wengine anaishia sekunde kadhaa tunbaada ya uume kuingiankwenyenuke.

 

Nguvu za kiumr kwa katika hali ya kawaida. Kikawaida nguvu za kiume zinaweza kuwa kati ya dalika 5. Wapo ambao wanafika dakika mpaka 15 wao ambao hawafiki. Lakinj kama unafika dakika 5 huna tatizo la nguvu za kiume, unahitajinushauri tunili kuzutumia vyema nguvu zako.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2925


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Yajue madhara ya kutoa mimba mara Kwa mara
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa wale wenye tabia ya kutoa mimba mara Kwa mara . Soma Zaidi...

Haya maji meupe hutokea wakat mimba ishatungwa au ukifanya tendo la ndoa lazima utokee?
Majimaji yanayitoka kwenye uke yanafungamana na taarifa nyingi kuhusu afya vya mwanamke. Ujauzito, maradhi, mabadiliko ya homoni na zaidi. Soma Zaidi...

Kutokwa maji yan seminal swhemu za siri kwa mwanamke nidalili ya ugojwa gan?
Kutokwa Majimaji sehemu za siri kwa mwanamke sio jambo la kushangaza na kuhisivunaumwa. Majimajivhaya ndio huboresha afya ya uzazi kwa kusafisha na kulinda via vya uzazi. Lakini majimajivhaya yakiwa mengi, ama yanawasha ama yanaharufu haa ndipo kwenye tat Soma Zaidi...

Mambo ya kuzingatia kwa mtoto mara tu anapozaliwa
Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika. Soma Zaidi...

Madhara ya kupungua kwa homoni ya projestron
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa homoni ya projestron ikipungua mwilini na pia kuweza kutambua dalili za kupungua kwa homoni hii ya progesterone. Soma Zaidi...

Upungufu wa homoni ya estrogen
Posti hii inahusu zaidi upungufu wa homoni ya estrogen na dalili zake, aina hii ya homoni ikipungua mwilini uleta madhara na matatizo mbalimbali kwenye mwili. Soma Zaidi...

Mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye mfumo wa chakula kwa wajawazito, ni mabadiliko ambayo utokea kwa wajawazito hasa kwenye mfumo wa chakula. Soma Zaidi...

mimi mara ya mwisho kubleed ilikuwa tareh 3/9 nilisex tarehe 4 je ni kwel nna mimba maana hadi sasa sijableed au ni kawaida tu
Je unaijuwa siku yako hatari ya kupata mimba. Na itakuwaje kama tayari umebeba mimba changa. Nakala hii inakwenda kukushauri machache kuhusu maswali haya. Soma Zaidi...

mim mjamzito lakini maumwa kiuno nakuacha nakuvuta ukeni wiki ya 39 na siku4
Soma Zaidi...

Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.
Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla. Soma Zaidi...

Tiba mbadala ya fangasi wa uumeni
Somo hili linakwenda kukuletea tiba mbadala ya fangasi wa uumeni Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji Soma Zaidi...