Nguzo za kufunga ramadhani
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Nguzo za funga ya Ramadhani na zinginezo.
- Nia – ya funga ya faradh hunuiwa kabla ya Alfajir kuingia.
- ya funga ya sunnah hunuiwa hata kabla ya kuingia adhuhuri.
- Kujizuia na kila chenye kufungusha – kuanzia Alfajir ya kweli hadi
magharibi.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 web hosting 👉4 ai web app 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Dua za Mitume na Manabii 👉3 web hosting 👉4 ai web app 👉5 kitabu cha Simulizi 👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)
Post zinazofanana:
Sura zinazosomwa katika Swala ya Dhuha
Swala ya Dhuha ni swala ya sunna inayosaliwa wakati wa asubuhi baada ya jua kuchomoza na kupanda angalau kiasi cha mkuki (takribani dakika 15 baada ya jua kuchomoza) mpaka kabla ya adhuhuri. Ingawa hakuna sura maalum zilizowekwa kisheria, Mtume ﷺ alisoma baadhi ya sura zenye maana ya kuhimiza kheri na shukrani.
Soma Zaidi...