picha

Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

NGUZO ZA UISLAMU

    4.1 Shahada.

    -    Shahada ya kwanza.

                Nashuhudia kuwa hapana Mola ila Allah”

 

 

-    Shahada ya Pili.

            “Nashuhudia kuwa Muhammad ni Mjumbe wa Allah”

 

-     Kumtii Mtume (s.a.w) kwa kufuata aliyoagiza na kuacha aliyokataza.

-     Kumuiga Mtume (s.a.w) katika mwenendo na tabia yake.

-     Kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa hakimu wa mambo yetu yote.

-     Kuliendea lengo la kuletwa kwake la kuusimamisha Uislamu katika

       jamii.  

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/05/Wednesday - 11:05:01 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1817

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Madrasa kiganjani    ๐Ÿ‘‰2 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰3 ai web app    ๐Ÿ‘‰4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    ๐Ÿ‘‰5 Kitau cha Fiqh    ๐Ÿ‘‰6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana: