picha

Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

NGUZO ZA UISLAMU

    4.1 Shahada.

    -    Shahada ya kwanza.

                Nashuhudia kuwa hapana Mola ila Allah”

 

 

-    Shahada ya Pili.

            “Nashuhudia kuwa Muhammad ni Mjumbe wa Allah”

 

-     Kumtii Mtume (s.a.w) kwa kufuata aliyoagiza na kuacha aliyokataza.

-     Kumuiga Mtume (s.a.w) katika mwenendo na tabia yake.

-     Kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa hakimu wa mambo yetu yote.

-     Kuliendea lengo la kuletwa kwake la kuusimamisha Uislamu katika

       jamii.  

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2022/01/05/Wednesday - 11:05:01 am Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1799

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 ai web app    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

Sifa za kuwa maamuma kwenye swala na namna ya kumfuata imamu

Post hii inakwenda kukuelezea sifa za kuwa maamuma na taratibu za kumfuata imamu.

Soma Zaidi...
Ufumbuzi wa tatizo la riba.

Uislamu ndio dini pekee ambayo inatoa ufumbuzi juu ya suala la riba.

Soma Zaidi...
Taratibu za kumuona mchumba katika uislamu

Hspa utajifunza taratibu za kuonana na mchumba katika uislamu.

Soma Zaidi...
Maana ya kusimamisha swala

Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Ijuwe swala ya Tawbah na jinsi ya kuiswali

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya sinnah ya tawba.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kiswali swala ya haja

Post hii itakufundisha kuhusu swala ya haja na jisi ya kuiswali.

Soma Zaidi...