Nguzo za uislamu:Shahada

Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)

NGUZO ZA UISLAMU

    4.1 Shahada.

    -    Shahada ya kwanza.

                Nashuhudia kuwa hapana Mola ila Allah”

 

 

-    Shahada ya Pili.

            “Nashuhudia kuwa Muhammad ni Mjumbe wa Allah”

 

-     Kumtii Mtume (s.a.w) kwa kufuata aliyoagiza na kuacha aliyokataza.

-     Kumuiga Mtume (s.a.w) katika mwenendo na tabia yake.

-     Kumfanya Mtume (s.a.w) kuwa hakimu wa mambo yetu yote.

-     Kuliendea lengo la kuletwa kwake la kuusimamisha Uislamu katika

       jamii.  

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Fiqh Main: Dini File: Download PDF Views 1526

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana: