picha

Zijuwe suna (sunnah) za Udhu ama Kutawadha

Zijuwe suna (sunnah) za Udhu ama Kutawadha

Sunnah za Udhu



Mtume Muhammad (s.a.w) pamoja na kutekeleza nguzo za udhu alikuwa akiongezea yafuatayo wakati wa kutawadha;
1. Kupiga mswaki kabla ya kuanza kutawadha.


2.Kuanra kutawadha kwa kuosha vi~nja vya mikono na kuanza kitendo hicho kwe "BtsmUIaht"
3.Kusulcutua na kupandisha mail puani.
4.Kupaka maji shingoni wakati wa kupaka maji kichwani.
5.Kuosha mao mare to beads ya kupaka maji kichwani.
6.Kuosha Iola kiungo cha udhu mare tatu.
7.Kuanza kuosha viungo vya kulia (lcuanza na mkono na mguu wa kuW.
8.Kuelekea Qibla na kuleta dua beads ya kutawadha ifuatayo:


(عن عمر بن الخطاب رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ما منكم من أحد يتوضأ فيسبغ الوضوء ثم يقول أشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له وأشهد أن محمداً عبده ورسوله اللهم اجعلني من التوابين واجعلني من المتطهرين إلا فتحت له أبواب الجنة الثمانية يدخل من أيها شاء )) رواه الترمذي

((Imetoka kwa 'Umar رضي الله عنه kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم kasema: Hakuna katika mmoja wenu atakayetawadha akautengeneza wudhuu kikamilifu, kisha akasema : (Ash-hadu alla Ilaaha illa Allaah wahdahu laa shariyka LahuWa ash-hadu anna Muhammadan 'abduhu wa Rasuuluhu, Allahumma-j-'alniy minat Tawwabiyn waj'alniy minal-mutatwahiriyn) “Nakiri kwa moyo na kwa kauli kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Allaah peke Yake, wala Hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad صلى الله عليه وسلم ni mja wake na ni Mtume wake” “Ee Allaah nijaalie niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa wale waliosafi" isipokuwa atafunguliwa milango minane ya pepo aingie wowote autakao ))
At-Tirmidhiy




                   


Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: General Main: Dini File: Download PDF Views 1329

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 web hosting    👉3 kitabu cha Simulizi    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Kitau cha Fiqh    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

DARSA ZA TAWHID

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...
SHIRK

Jifunze tawhid yaani kumpwekesha Allah subhaanah wata'aala

Soma Zaidi...
mgawanyiko katika quran

MGAWANYIKO KATIKA QURAN Juzuu, Sura, Aya, Manzil, Qara Wataalamu wa elimu za Qurani katika fani za uandishi na usomaji wameigawanya Qurani katika mafungu ili kuwezesha urahisi kwa wasomaji wa qurani.

Soma Zaidi...
Kiwango cha mahari katika uislamu

Kiasi gani Kinachojuzu kutolewa Mahari?

Soma Zaidi...
MAANA YA HADITHI SUNNAH

Maana ya SunnahKilugha: Neno sunnah katika lugha ya Kiarabu lina maana ya mwenendo au mila.

Soma Zaidi...