Ni mambo gani haramu kwa mtu asiyekuwa na udhu?
Yaliyoharamishwa kwa as iye na udhu
Mtu asiye na udhu haruhusiwi kufanya yafuatayo:
1. Kuswali.
2. Kutufu.
Mtu asiye na udhu anaruhusiwa kuchukua msahafu (Qur-an) na kusoma. Kama tunavyojifunza katika hadith ifuatayo:
Ally (r.a) amesimulia: Mtume (s.a.w) alikuwa akitoka chooni kisha akatusomea Qur-an na hakuna chochote kilichomzuia kusoma Qur-an ila alipokuwa na janaba ”. (Abuu Daud, Nisai, Ibn Majah)
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 ai web app 👉4 Dua za Mitume na Manabii 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 Bongolite - Game zone - Play free game
Post zinazofanana:
MAMBO YANAYOBATILISHA (HARIBU) SWALA YAKO
Lugha ya Swala Lugha ya swala,kuanzia kwenye Takbira ya kuhirimia Swala mpaka kumalizia swala kwa Salaam, ni Kiarabu.
Soma Zaidi...Jinsi ambavyo msafiri anatakiwa aswali akiwa safarini
Postvhiibinakwenda kukufundisha kuhusu swala ya msafiri na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Masharti ya swala
Sharti za SwalaSharti za Swala Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali.
Soma Zaidi...