NAJISI
        Najisi ni uchafu unaohusiana na vitu vifuatavyo:
1. Damu.
        2. Usaha.
        3. Matapishi.
        4. Udenda.
        5. Haja ndogo na kubwa ya binaadamu au mnyama.
        6.Pombe za aina zote.
        7.Mzoga wowote isipokuwa wa binaadamu, samaki na nzige (au jamii ya nzige).
        8.Kiungo cha mnyama kilichokatwa naye yu ngali hai
        9.Maziwa ya mnyama asiye halali kuliwa kama vile paka, punda wa nyumbani, farasi, n.k.
        10.Mbwa na Nguruwe na kila kinachotokana nao.
Umeionaje Makala hii.. ?
Huu ni utaratibu unaotakiwa kufanyika baada ya kuzika.
Soma Zaidi...Masharti ya Utoaji wa Zakat na Swadaqat Utoaji katika njia ya Allah (s.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu: Shahada (EDK form 2:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...Posti hii inakwendabkukujiulisha maana ya twahara na jinsi ya kujitwaharisha.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu mambo ambauo ni haramu kwa mtu asiye na udhu.
Soma Zaidi...