Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Zifuatazo Ni sababu zinazopelekea kukosa choo.
1.kutokunywa maji;maji yanasaidia kulainisha choo na mmeng'enyo wa chakula ili kinyesi kiweze kutoka sasa endapo hutokunjwa maji hupelekea kukosekana kupata choo.
2.kubana kinyesi; hii nayo Ni Hatari Sana kubana kinyesi endapo utasikia kuenda haja kubwa jitahidi kuenda chooni ili usisababishe kukosa choo.
3.kutokula mbogamboga na matunda ;matunda Kama papai, parachichi n.k na mboga za majani husaidia Sana usipate Ugumu wa choo.
4.kula vyakula vya wanga Sana Kama vile ugali wa sembe, unga wa ngano, husababisha mtu kupata choo kigumu Tena endapo utakula Kila siku na bila kunywa na maji.
5.nyama nyekundu; Kama vile mishikaki na supu kwa wale wanaotumia kwa Sana
6.vyakula vilivyosindikwa.
7.chips mayai na juisi hupelekea kukosa choo.
Dalili za kukosa choo Ni pamoja na;?
1.kukosa hamu ya kula
2.kupata maumivu ya kiuno
3.choo kuwa kigumu
4.mwili kuishiwa nguvu.
5.tumbo kuuma au kuvurugika.
Mwisho; kukosa choo kiafya Ni ugonjwa lakini Kuna watu wanaonaga Kama Kawaida hivyo basi ukiona dalili za kukosa choo Ni vyema kuwahi hospitali kupata matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Je na wewe ni katika ambao wanahitaji kujuwa dalili za mimba ndani ya wiki moja? kama ndio makala hii ni kwa ajili yako. Utakwenda kuona dalili za mwanzo sana za ujauzito toka siku za mwanzoni.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo unapaswa kufanya kama una tatizo la kiungulia.
Soma Zaidi...Je unapata dalili zisizoeleweka ni ni za mimba ama laa. Hapa nitakujuza hali baadhi ya wanawake zinazowatokea.
Soma Zaidi...Ugonjwa wa pumu ni moja katika magonjwa hatari yanayoweza kutokea kwa ghafla, na endapo itacheleweshwa kudhibitiwa inaweza sababisha athari mbaya zaidi
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za maumivu ya jino
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa upungufu wa Adrenali ni ugonjwa ambao hutokea wakati mwili wako hutoa kiasi cha kutosha cha homoni fulani zinazozalishwa na tezi zako za adrenali. ugonjwa huu hutokea katika makundi yote ya umri na huathiri
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa uchovu sugu ni ugonjwa tata unaoonyeshwa na uchovu mwingi ambao hauwezi kuelezewa na hali yoyote ya matibabu. Uchovu unaweza kuwa mbaya zaidi kwa shughuli za kimwili au kiakili, lakini haiboresha kwa kupumzika
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kujibu swali la muulizaji. Kuhusu syyle za tendo la ndoa
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia ambazo UKIMWI hutokea
Soma Zaidi...