Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Zifuatazo Ni sababu zinazopelekea kukosa choo.
1.kutokunywa maji;maji yanasaidia kulainisha choo na mmeng'enyo wa chakula ili kinyesi kiweze kutoka sasa endapo hutokunjwa maji hupelekea kukosekana kupata choo.
2.kubana kinyesi; hii nayo Ni Hatari Sana kubana kinyesi endapo utasikia kuenda haja kubwa jitahidi kuenda chooni ili usisababishe kukosa choo.
3.kutokula mbogamboga na matunda ;matunda Kama papai, parachichi n.k na mboga za majani husaidia Sana usipate Ugumu wa choo.
4.kula vyakula vya wanga Sana Kama vile ugali wa sembe, unga wa ngano, husababisha mtu kupata choo kigumu Tena endapo utakula Kila siku na bila kunywa na maji.
5.nyama nyekundu; Kama vile mishikaki na supu kwa wale wanaotumia kwa Sana
6.vyakula vilivyosindikwa.
7.chips mayai na juisi hupelekea kukosa choo.
Dalili za kukosa choo Ni pamoja na;?
1.kukosa hamu ya kula
2.kupata maumivu ya kiuno
3.choo kuwa kigumu
4.mwili kuishiwa nguvu.
5.tumbo kuuma au kuvurugika.
Mwisho; kukosa choo kiafya Ni ugonjwa lakini Kuna watu wanaonaga Kama Kawaida hivyo basi ukiona dalili za kukosa choo Ni vyema kuwahi hospitali kupata matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kupatikana ikiwa mwili unaweza kujaa sumu, kwa sababu mwili unapaswa kuwa huru Ili kuweza kufanya vizuri kazi yake ila ikiwa utajaa Sumu Kuna hatari mbalimbali zinaweza kutokea kama vile.
Soma Zaidi...post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama
Soma Zaidi...Je unasumbuliwa na maumivuvya tumbo chini ya kitovu upande wa kushito. Post hii itakuletea sababu za maukivubhayo na nini ufanye.
Soma Zaidi...Post hii inahusu Zaidi njia mbali mbali ambazo uweza kitumiwa na wataalamu ili kuweza kugundua tatizo la kuwepo Kwa usaha kwenye mapafu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia kuaribika kwa figo, hizi ni njia zinazotumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuaribika kwa figo na hasa wale ambao hawajapata tatizo hili wazitumie ili tuone kama tutaweza kupunguza tatizo hili.
Soma Zaidi...