image

ni nyakati zipi ambazo dua hukubaliwa kwa haraka?

Dua ni moja ya ibada ambazo zinamfanya mja awe karibu na Mweznyezi Mungu. Allah amesisitiza tumuombe dua kwa shida zetu zote, pia akaahidi kuwa atatujibu maombi yetu muda wowote tutakao muomba. Sasa ni zipi nyakati nzuri zaidi kuomb adua?

NYAKATI AMBAZO DUA HUJUBIWA.
 

1.Theluthi ya mwisho ya usiku. Huu ni usiku wa manane usiku mkubwa. Muda huu mweye kuomba dua katu haiwezi kurudi kama anavyosimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema  "‏ ÙŠÙŽÙ†Ù’زِلُ Ø±ÙŽØ¨Ù‘ُنَا ÙƒÙÙ„Ù‘ÙŽ Ù„َيْلَةٍ Ø¥ÙÙ„ÙŽÙ‰ Ø§Ù„سَّمَاءِ Ø§Ù„دُّنْيَا Ø­ÙÙŠÙ†ÙŽ ÙŠÙŽØ¨Ù’Ù‚ÙŽÙ‰ Ø«ÙÙ„ُثُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙÙŽÙŠÙŽÙ‚ُولُ Ù…َنْ ÙŠÙŽØ¯Ù’عُونِي ÙÙŽØ£ÙŽØ³Ù’تَجِيبَ Ù„َهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’أَلُنِي ÙÙŽØ£ÙØ¹Ù’طِيَهُ ÙˆÙŽÙ…َنْ ÙŠÙŽØ³Ù’تَغْفِرُنِي ÙÙŽØ£ÙŽØºÙ’فِرَ Ù„َهُ ‏"

“anashuka Mola wetu aliye tukuka kuja mbingu ya dunia kila usiku pindi inapobaki theluthi ya usiku ya mwisho kisha husema ‘nani ataniomba nimjibu maombi yake, nani antaniomba nimpe na nani ataniomba msamaha nimsamehe”. (amepokea Bukahari, muslim na wengine).

 

2.Baada ya swala za faradhi. Anayetaka kuomba dua basi aombe baada ya kuswali swala ya faradhi, dua yake itajibiwa. Ø¹ÙŽÙ†Ù’ Ø£ÙŽØ¨ÙÙŠ Ø£ÙÙ…َامَةَ، Ù‚َالَ Ù‚ِيلَ ÙŠÙŽØ§ Ø±ÙŽØ³ÙÙˆÙ„ÙŽ Ø§Ù„لَّهِ Ø£ÙŽÙ‰Ù‘ُ Ø§Ù„دُّعَاءِ Ø£ÙŽØ³Ù’مَعُ Ù‚َالَ ‏"‏ Ø¬ÙŽÙˆÙ’فُ Ø§Ù„لَّيْلِ Ø§Ù„آخِرُ ÙˆÙŽØ¯ÙØ¨ÙØ±ÙŽ Ø§Ù„صَّلَوَاتِ Ø§Ù„ْمَكْتُوبَاتِ ‏"‏ 

Amesimulia Abuu Umama  Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa aliulizwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم ‘dua gani husikulizwa (zaidi na Allah? Akasema:) usiku mkubwa (theluthi ya mwisho ya usiku) na baada ya swala za faradhi’”. (amepokea tirmith kwa isnad sahihi).
 

 

3.Kati ya adhana na iqama. Huu ni muda unaopatikana baada ya kuadhiniwa na mpaka kukimiwa kwa swala. Hapa mwenye kuomba dua itakuwa ni yenye kujibiwa. Amesimulia Anas Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “hairudishi (haiachi kujibiwa dua) kati ya adhana na iqama”. (amepokea Abuu Daud, Nisai na tirmith kwa isnad sahihi).

 

4.Wakati wa kusujudi. Hii ni dua inayoomwa wakati mtu akiwa amesujudi, dua hii pia ni yenye kujibiwa. Amesimulia Abuuhurairah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema “muda ambao mja anakuwa karibu zaidi na Mola wake ni pale akiwa amesujudi. Basi zidisheni dua (muda huu) na uweni na uhakika kuwa mtajibiwa. (amepokea Muslim na Daud).

 

5.Muda wa kukutana majeshi kwenye jihad, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na na muda wa kuiona alkaba. Amepokea Abuu Umamah Ø±Ø¶Ù‰Ø§Ù„له Ø¹Ù†Ù‡ kuwa Mtume ØµÙ„ّي Ø§Ù„له Ø¹Ù„يه ÙˆØ³Ù„ّم amesema: “hufunguliwa milango ya mbinguni na hujibiwa dua katika maeneo manne (nyakati): muda wa kukutana safu katika jihadi, muda wa kunyesha kwa mvua, muda wa kukimiwa kwa swala na muda wa kuiona alkaba”. (amepokea Tabrany).
 

 

6.Siku ya ijumaa. Siku ya ijumaa kuna muda ambao dua hujibiwa bila ya tatizo. Muda huu ni mchache sana na hakuna anaoujua. Zipo riwaya nyingi sana zinataja muda huu. Ila kuna riwaya zinaonesha muda huu ni baada ya swala ya al-’asr mpaka magharib. Ila ukweli ni kuwa muda huu ni mchache sana na haujulikani, jambo la msingi ni kujitahidi kumuomba Allah siku ya ijumaa yote huenda muda huo ukaupata.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1336


Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

NAMNA AMBAZO DUA HUJIBIWA
NAMNA AMBAYO ALLAH HUJIBU DUA. Soma Zaidi...

Maswali juu ya Sunnah na hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

HADITHI NA SUNNAH
1. Soma Zaidi...

Mipaka katika kumtii mzazi, na mambo yasiyopasa kumtii mzazi
Soma Zaidi...

Je! inajuzu wanawake kuzuru makaburi?
As salaam alaykum warahmatullah wabarakatuh, nauliza inajuzu wanawake kuzuru makaburi? Soma Zaidi...

Jinsi ya kuzuru makaburi na dua unazotakiwa kuzisoma ukiwa makaburini.
Posti hii inakwenda kukufundisha maneno unayotakiwa kuyasema unapozuru makaburi. Soma Zaidi...

hadithi ya 8
عَنْ ابْنِ عُمَرَ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا، أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم قَالَ: "أُمِرْتُ أَنْ أُقَاتِلَ النَّاسَ حَتَّى ?... Soma Zaidi...

DUA 51 - 60
51. Soma Zaidi...

DUA 21 - 31
21. Soma Zaidi...

Hadithi Ya 26: Kila Kiungo Cha Mtu Lazima Kitolewe Sadaka
Soma Zaidi...

Hali ambazo akiwa nazo mwenye kuomba dua dua yake hujibiwa
Post hii inakwenda kukifundisha nibhali zipi ukiwa nazo, basi dua yako kuhubaliwa kwa urahisi. Soma Zaidi...

UKITAKA KUOMBA BASI MUOMBE ALLAH, UKIMKUMBUKA WAKATI WA RAHA ATAKUKUMBUKA WAKATI WA DHIKI, SHIDA NA TAABU
عَنْ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَبَّاسٍ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُمَا قَالَ: "كُنْت خَلْفَ رَسُولِ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم يَوْمًا، فَقَالَ: ي... Soma Zaidi...