image

NIMLAUM NANI? (Sehemu ya pili)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi iliyopita ambapo Frank aliwakuta Amina ambaye ni mpenzi wake ameumbatiana na James ambaye ni rafiki yake ,kwa hiyo tuendelee kusikia yaliyotokea baada ya Amina na James kukutwa na Franki.

NIMLAUMU NANI.

1. Basi kwa kuwa frank siku zote alijiona mnyonge na ambaye alikuwa mstaarabu aliamua kufunga tena mlango na kuwaacha Amina na James wakiendelea na shughuli zao ila James aliumia sana kuona anamsaliti rafiki yake akaanza kumlaumu Amina na kumlalamikia kuhusu uhusiano wao kwa sababu Amina ndiye aliyemshawishi James.

 

 

 

 

 

2. Basi frank alipoendelea kuwaza kuhusu Amina na James ghafla simu  ikalia kutoka kwa yule dada aliyempa lift ,akamuuliza hali halisi na jinsi rafiki yake alivyomshauri lakini frank aliishia kuangua kilio kwenye simu ,yule dada aliumia sana akaamua kuendesha gari mpaka kwenye nyumba ya akina james akamkuta frank amekaa chini ya mti na akina James na Amina wamo ndani wakizozana na kulaumiana, basi yule dada akamsihi frank apande kwenye gari na akakubali wakaenda sehemu iliyotulia wakaongea.

 

 

 

 

 

3. Basi frank akamuuliza yule dada jina akamjibu na kusema kwamba anaitwa Amisa , ndipo frank akajaribu kumweleza kila kitu ila kwa uchungu mkali na kilio ila Amisa akamsihii ajitahidi basi frank akafanikiwa kumweleza kila kitu kilivyokuwa basi Amisa akamsihii frank ajitahidi na akahaidi kumsai dia kwa kila kitu atakachohitaji, basi Ili Amisa kumfurahisha Frank aliamua kumpeleka beach Ili afurahie na kupoteza mawazo, basi frank Ms Amisa wakaongozana mapaka beach.

 

 

 

 

 

4. Basi wakiwa huko beach Amisa alinunua kila kitu ambacho frank alihitaji na walifurahi na Amisa alifurahi kuona frank anapoteza mawazo, basi na akina James na Amina nao walifika pale beach wakiwa wameshikana mikono wakitembea ufukweni mwa bahari, basi katika pita pita zao Amina akamwona frank na Amisa wanakunywa na kula kwenye meza yao na kila kitu kilikuwepo ambacho kilivutia kwa macho.

 

 

 

 

5. Basi Amina akamwachia James mkono kwa nguvu na kuanza kumlalamikia na kusema wewe uliaribu penzi letu ona sasa frank  ana msichana mwingine wanakula na kunywa na wewe hauna hata miatano ya kununua soda, wakazozana hapo na James akamwambia Amina kwamba ni wewe uliyearibu urafiki wangu na James,hali haikuwa nzuri kila mtu akapitia Njia Yake ila macho ya Amina ni kuangalia Frank atapitia njia  ipi.

 

Itendelea

 

 

 





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 702


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 Kitabu cha Afya     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

SAFARI YA MUUJIZA
Post hii inahusu hadithi moja iliyotokea Kwa mama mmoja mwenye familia ya watoto watano.ambapo mama aliolewa na mwanaume mwenye maambukizi ya virus vya ukimwi na kupata watoto bila maambukizi kusambaa kutoka Kwa baba kwenda Kwa mama. Soma Zaidi...

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule. Soma Zaidi...

NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tano)
Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma. Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 4)
Posti hii inaendelea kuelezea hasara za kuwepo kwa wivu na kutokuwa wazi katika, jamii inafikia wakati baba anapifahamu ukweli anawaita wazazi wawili na kuwaombeza kwa kuwa kimya baada ya kuona matatizo yaliyokuwa yanampata mtoto Lisa. Soma Zaidi...

WAKATI WA KUFUMBUKA SEHEMU YA 2
Post hii ni mwendelezo wa hadithi ambayo Kwa jina inaitwa wakati wa Kufumbuka, ni mwendelezo wa pale maria anawekwa mbele ya wazee Ili akili kwamba John sio mtoto wa Mzee maganga ila maria akikumbuka wazi kwamba John ni mtoto wa Mzee maganga anakataa kuki Soma Zaidi...

JIFUNZE DINI YA KIISLAMU, quran, hadithi, tawhid, tajwid, sira na fiqh
Jifunze mengi kuhusu dini hapa Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya. Soma Zaidi...

USALITI (sehemu ya pili)
Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara. Soma Zaidi...

Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya nne)
Post hii inahusu zaidi watoto Hawa wawili wakiwa kwenye kituo cha mapumziko ambapo mtoto wa tajiri anabugia soda aliyopewa na yule mwalimu pia tumbo linaanza tena na anaanza kuendesha Soma Zaidi...

Hasara za wivu na kutokuwa wazi (sehemu ya 3)
Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani. Soma Zaidi...

Mahusiano ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake. Soma Zaidi...

Mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili
Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki. Soma Zaidi...