picha

ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna ali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan

Weupe kwenye ulimi unaweza kuwa ni hali ya kawaida. Weupe huu ukichanganyika na utandu huwenda ikaashiria uwepo wa hali fulani za kiafya.

Swali: 

Ndio mahana nilikuwa ninafatilia makala yko kwan ninaisi kma kunakitu kwenye koo alafu kuna hali ya weupe kwenye ulimi na Mashavu kwa ndan. 

 

Jibu: 

✍️ Weupe wa ulimi uliochanganyika na utandu unaweza kuwa ni dalili ya fangasi. Hata hivyo dalili nyingine zinahitajika ili kuthibitisha dhana hii ama upate vipimo.

 

✍️ Fangasi mdomoni inaweza kuleta dalili nyingine kama vidonda vya mdomo,  mashavuvkwa ndani,  kupasuka kwa midomo na kona za mdomo. 

 

✍️ Vidonda vya kooni vinaweza kuwa ni moja katika dalili za fangasi.  Hata hivyo utahitajika kupata vipimo. 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 2903

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 ai web app     👉5 web hosting     👉6 Bongolite - Game zone - Play free game    

Post zinazofanana:

Ishara za Mimba ya Mapema kwa Mara ya Kwanza

​Kugundua ujauzito kwa mara ya kwanza kunaweza kuleta mchanganyiko wa hisia—furaha, msisimko, na wakati mwingine, sintofahamu. Post hii inaangazia ishara za kawaida za ujauzito ambazo mwanamke anaweza kuzihisi katika wiki za kwanza, ikimsaidia msomaji kutambua mabadiliko ya mwili wake kwa usahihi.

Soma Zaidi...
Hedhi isiyo na mpangilio: Chanzo chake na nini cha kufanya?

​Mzunguko wa hedhi ni kiashiria muhimu sana cha afya ya mwanamke. Hata hivyo, wanawake wengi hukumbana na changamoto ya hedhi isiyo na mpangilio (irregular periods) katika kipindi fulani cha maisha yao. Makala hii inachambua kwa kina vyanzo vikuu vya kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi, kuanzia mabadiliko ya mtindo wa maisha hadi matatizo ya kiafya kama PCOS, na kutoa mwongozo wa hatua za kuchukua ili kurejesha usawa wa mwili wako.

Soma Zaidi...
Dalili za malaria

Malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mdudu kwa kitaalamu anaitwa Anopheles.na anasambazwa na mbu jike pale anapotafuta chakula hasa wakati akiwa na mimba. Mbu hawa hupenda kuishi kwenye mnyasi, madibwi haswa kwenye maji yaliyo simama.

Soma Zaidi...
ujuwe ugonjwa wa gout na athari zake mwilini

Post hii itakwenda kuzungumzia ugonjwa wa gout unaosababishwa na ongezeko la asidi mwilini.

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia uwepo wa ugonjwa wa Bawasili.

Posti hii inahusu zaidi njia au mbinu ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kuepuka kuwepo kwa ugonjwa wa Bawasili kwenye jamii, hizi ni njia za awali za kupambana na kuwepo kwa Ugonjwa wa Bawasili.

Soma Zaidi...
Matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu

Posti hii inaonyesha matatizo yanayosababisha saratani ya mapafu .

Soma Zaidi...