Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Dalili za kifua Ni pamoja na
1.kukohoa ambapo kikohozi kinaweza kuwa kikavu au kinatoka na makohozi.
2.kushindwa kupumua vizuri
3.kushindwa kumeza hii hutokana na Uvimbe ikitokea kwenye Koo.
4.kifua kuuma
5.kifua kubana
Sababu zinazopelekea kupata kifua Ni pamoja na;
1.Mzio kuumwa kifua huweza kutokana na mzio wa kitu.
2.Baadhi ya vyakula Kama vile ice cream,au vyokula vyenye vumbi,au vya baridi sana
3.Kemikali, Kama vile manukato,maradhi,dawa za kuua wadudu pia husababisha kifua.
4.Kanyoya ; Kama vile manyoya ya paka, Mbwa, ndege,Ng'ombe, kondoo n.k Mara nyingi huwatokea wale ambao wanaishi na hao wanyama .
5.baridi Sana au joto likizidi Sana pia husababisha kifua
6.usaha kwenye mapafu;usaha huu hutokana na bacteria
7.uvimbe kwenye Koo la hewa ambayo husababishwa na bacteria
8.kufanya mazoezi ya kukimbia,kucheza mpira n.k kupita kiasi hupelekea kushindwa kupumua pia moja kwa moja ukishindwa kupumua kifua huweza kubana .
Mwisho ; kifua kikikaa kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu huwa Ni vigumu kupona lakini Ni vyema Kam ukisikia dalili za kifua kuwahi hospitalinia kwaajili ya matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu zaidi namna Maambukizi kwenye milija na ovari ambayo yanatokea,Mara nyingi usababisha na bakteria wanaoweza kuingia kupitia sehemu mbalimbali.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili za fangasi uken, hizi ni baadhi ya dalili ambazo ujitokeza kwa mtu Mwenye tatizo la fangasi uken.
Soma Zaidi...Katika post hii utajifunza kuhusu ugonjwa wa vitiligo, chanzo chake, dalili zake na matibabu yaje
Soma Zaidi...Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutokea kwa maumivu ya jino
Soma Zaidi... Maumivu ya matiti hutokea zaidi kwa watu ambao hawajamaliza hedhi, ingawa yanaweza kutokea baada ya kukoma hedhi.ÂÂ
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu maradhi ya macho,dalili na matibabu yake
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi dalili za mtu aliyegongwa na nyoka, nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na sumu ikiingia mwilini mtu huwa na dalili mbalimbali
Soma Zaidi...