Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Dalili za kifua Ni pamoja na
1.kukohoa ambapo kikohozi kinaweza kuwa kikavu au kinatoka na makohozi.
2.kushindwa kupumua vizuri
3.kushindwa kumeza hii hutokana na Uvimbe ikitokea kwenye Koo.
4.kifua kuuma
5.kifua kubana
Sababu zinazopelekea kupata kifua Ni pamoja na;
1.Mzio kuumwa kifua huweza kutokana na mzio wa kitu.
2.Baadhi ya vyakula Kama vile ice cream,au vyokula vyenye vumbi,au vya baridi sana
3.Kemikali, Kama vile manukato,maradhi,dawa za kuua wadudu pia husababisha kifua.
4.Kanyoya ; Kama vile manyoya ya paka, Mbwa, ndege,Ng'ombe, kondoo n.k Mara nyingi huwatokea wale ambao wanaishi na hao wanyama .
5.baridi Sana au joto likizidi Sana pia husababisha kifua
6.usaha kwenye mapafu;usaha huu hutokana na bacteria
7.uvimbe kwenye Koo la hewa ambayo husababishwa na bacteria
8.kufanya mazoezi ya kukimbia,kucheza mpira n.k kupita kiasi hupelekea kushindwa kupumua pia moja kwa moja ukishindwa kupumua kifua huweza kubana .
Mwisho ; kifua kikikaa kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu huwa Ni vigumu kupona lakini Ni vyema Kam ukisikia dalili za kifua kuwahi hospitalinia kwaajili ya matibabu.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 web hosting 👉6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Athari za kutokutibu minyoo
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu baadhi ya athari zinazoweza kutokea endapo minyoo haitotibiwa
Soma Zaidi...WAJUE FANGASI, AINA ZAKE, DALILI ZAKE NA MATIBABU YAKE
Fangasi huweza kuishi na kuathiri maeneo mbalimbali ndani ya mwili.
Soma Zaidi...Ndugu mke Wang viungo vina mlegea miguu inamuaka moto nn tatozo
Je unasumbuliwa na tatizo la kukosa nguvu, kuchoka ama kuhisi viungi vinelegea. Endelea na post hii.
Soma Zaidi...Dalili za maambukizi kwenye figo
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Maambukizi kwenye figo (pyelonephritis) ni aina mahususi ya maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) ambayo kwa kawaida huanza kwenye urethra au kibofu chako na kusafiri hadi kwenye figo zako.
Soma Zaidi...Madhara ya maumivu kwenye nyonga na kiuno.
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea ikiwa matibabu kwenye nyonga na kiuno hayatafanyika.
Soma Zaidi...