Nini husababisha ugonjwa wa kifua na maumivu ya kifua?
Posti hii inazungumzia sababu zinazopelekea kuumwa na kifua.
Dalili za kifua Ni pamoja na
1.kukohoa ambapo kikohozi kinaweza kuwa kikavu au kinatoka na makohozi.
2.kushindwa kupumua vizuri
3.kushindwa kumeza hii hutokana na Uvimbe ikitokea kwenye Koo.
4.kifua kuuma
5.kifua kubana
Sababu zinazopelekea kupata kifua Ni pamoja na;
1.Mzio kuumwa kifua huweza kutokana na mzio wa kitu.
2.Baadhi ya vyakula Kama vile ice cream,au vyokula vyenye vumbi,au vya baridi sana
3.Kemikali, Kama vile manukato,maradhi,dawa za kuua wadudu pia husababisha kifua.
4.Kanyoya ; Kama vile manyoya ya paka, Mbwa, ndege,Ng'ombe, kondoo n.k Mara nyingi huwatokea wale ambao wanaishi na hao wanyama .
5.baridi Sana au joto likizidi Sana pia husababisha kifua
6.usaha kwenye mapafu;usaha huu hutokana na bacteria
7.uvimbe kwenye Koo la hewa ambayo husababishwa na bacteria
8.kufanya mazoezi ya kukimbia,kucheza mpira n.k kupita kiasi hupelekea kushindwa kupumua pia moja kwa moja ukishindwa kupumua kifua huweza kubana .
Mwisho ; kifua kikikaa kwa muda mrefu mpaka kuwa sugu huwa Ni vigumu kupona lakini Ni vyema Kam ukisikia dalili za kifua kuwahi hospitalinia kwaajili ya matibabu.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Bongolite - Game zone - Play free game 👉6 Dua za Mitume na Manabii
Post zinazofanana:
Je unaijuwa ugonjwa wa bawasiri
Katika post hii nitakwenda kukujuza kuhusu ugonjwa wa bawasiri
Soma Zaidi...Je, kuna vyakula vya kuepuka wakati wa ujauzito?
Lishe bora ni msingi wa ukuaji wa mtoto mwenye afya na ustawi wa mama mjamzito. Hata hivyo, kuna baadhi ya vyakula ambavyo vinaweza kuwa na vimelea hatari, sumu, au kemikali zinazoweza kusababisha madhara makubwa kama vile maambukizi ya bakteria, kuharibika kwa mimba, au matatizo ya ukuaji wa mtoto. Makala hii inaorodhesha vyakula unavyopaswa kuepuka ili kulinda afya yako na ya kiumbe ulichobeba.
Soma Zaidi...Dalili na madhara ya Kiungulia
post hii inaelezea kuhusiana na dalili au ishara na madhara ya Kiungulia ni maumivu ya moto kwenye kifua chako, nyuma ya mfupa wako wa kifua. Maumivu huwa mabaya zaidi wakati wa kulala au kuinama
Soma Zaidi...Je, Fangasi Ukeni Huambukiza?
Maambukizi ya fangasi ukeni (Vaginal Thrush/Yeast Infection) ni changamoto inayowasumbua wanawake wengi, lakini bado kuna mkanganyiko mkubwa kuhusu jinsi ugonjwa huu unavyoenea. Makala haya yanachambua kiundani tabia ya fangasi hawa, kama wanaweza kuambukizwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda mwingine, dalili zake, na ukweli wa kisayansi unaofuta dhana potofu zilizopo kwenye jamii.
Soma Zaidi...NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO
NAMNA YA KUISHI NA VIDONDA VYA TUMBO Unaweza kupata nafuu kutoka kwa maumivu ya kidonda cha tumbo ikiwa utafata taratibu za kiafya kama:- 1.
Soma Zaidi...Jipu: Chanzo chake na njia salama ya kulitibu.
​Jipu (abscess) ni mkusanyiko wa usaha unaotokea chini ya ngozi au ndani ya tishu za mwili kutokana na maambukizi ya bakteria. Mwili hujaribu kujilinda dhidi ya vimelea hivyo kwa kutuma seli nyeupe za damu kwenye eneo husika, na matokeo yake ni kutengeneza mfuko wa usaha unaosababisha maumivu, uvimbe, na joto. Makala haya yanafafanua chanzo cha majipu na mbinu salama za kuyatibu bila kusababisha maambukizi zaidi.
Soma Zaidi...