Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.
1.kuwa na uzito unaofaa.
Kwa kawaida uzito unapaswa kuwa sawia kwa sababu uzito ukiwa mkubwa unaleta shida na ukiwa mdogo zaidi na lenyewe ni shida kwa hiyo uzito wa wazazi wote wawili unapaswa kuwa sawa ili kuweza kusababisha uzalishaji nzuri kabisa.
2. Kuweka mbegu za kiume katika hali nzuri.
Kwa kawaida mbegu za kiume zinapaswa kuwa katika hali ya ubora kwa hiyo baba anapaswa kula mlo kamili ili kuweza kutingisha Mimba.
3. Kuepuka matumizi ya tumbaku na kudhibiti matumizi ya pombe kwa sababu usababisha Mama na baba kushindwa kuzalisha vizuri.
4. Pia wazazi wote wanapaswa kujikinga na magonjwa mbalimbali kama vile magonjwa ya zinaa, na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha uzalishaji kuwa mbaya.
5. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara hasa wakati wa siku za kubebea mimba, fanya mapenzi kabla ya siku tano wakati wa kurutubishwa kwa yai na fanya mapenzi siku mbili baada ya yai kuchevushwa.
6. Kunywa pombe kistaarabu.
Yaani pombe zisizidi kiasi kwa mfano bia moja kwa siku au kiasi kidogo kwa siku, ila zisizidi kipimo. Kwa sababu unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha kupungua kwa hormone ya testerone .
7. Punguza matumizi ya kahawa.
Kwa kawaida kwenye kahawa kuna kafein ambayo inaleta shida kwenye uzalishaji hasa hasa kwenye homoni.
8 epuka matumizi ya tumbaku,
Kwa kawaida matumizi ya tumbaku usababisha matatizo kwenye DNA tunajua kabisa kwenye DNA ndicho chimbuko cha mwanadamu.
9. Epuka mazoezi magumu.
Kwa kawaida mazoezi na kwa mda mrefu ukandamiza ovulation na kuaribu homoni ya projestoren, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mazoezi madogo madogo.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vipimo muhimu kabla ya kubeba mimba,ni vipimo vya moja kwa moja kutoka maabara na vingine sio vya maabara.
Soma Zaidi...Wajawazito wamekuwa wakisumbuliwa sana na kiungulia, makala hii itakujulisha njia za kukabiliana na kiungulia, dalili zake na dawa zake
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mtoto aliyetanguliza matako wakati wa kuzaliwa, kwa kawaida tunajua kwamba mtoto wakati wa kuzaliwa ni lazima atangulize kichwa ila Kuna kipindi mtoto anatanguliza matako, kuna aina nne za mtoto kutanguliza matako.
Soma Zaidi...Unaweza kujiuliza ikiwa inawezekana kupata dalili za ujauzito mchanga kama siku 7 baada ya kudondoshwa kwa yai (DPO yaani Days Past Ovulation).
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi uzazi wa mpango kwa njia ya kumwaga shahawa nje, hii ni njia mojawapo kati ya njia za uzazi wa mpango ambapo mwanaume humwaga nje mbegu ili asimpatie Mama mimba.
Soma Zaidi...Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji
Soma Zaidi...Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?
Soma Zaidi...