picha

Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo.

Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa.

1.kuwa na uzito unaofaa.

Kwa kawaida uzito unapaswa kuwa sawia kwa sababu uzito ukiwa mkubwa unaleta shida na ukiwa mdogo zaidi na lenyewe ni shida kwa hiyo uzito wa wazazi wote wawili unapaswa kuwa sawa ili kuweza kusababisha uzalishaji nzuri kabisa.

 

2. Kuweka mbegu za kiume katika hali nzuri.

Kwa kawaida mbegu za kiume zinapaswa kuwa katika hali ya ubora kwa hiyo baba anapaswa kula mlo kamili ili kuweza kutingisha Mimba.

 

3. Kuepuka matumizi ya tumbaku na kudhibiti matumizi ya pombe kwa sababu usababisha Mama na baba kushindwa kuzalisha vizuri.

 

4. Pia wazazi wote wanapaswa kujikinga na magonjwa mbalimbali kama vile magonjwa ya zinaa, na magonjwa mbalimbali ambayo yanaweza kusababisha uzalishaji kuwa mbaya.

 

5. Kufanya tendo la ndoa mara kwa mara hasa wakati wa siku za kubebea mimba, fanya mapenzi kabla ya siku tano wakati wa kurutubishwa kwa yai na fanya mapenzi siku mbili baada ya yai kuchevushwa.

 

6. Kunywa pombe kistaarabu.

Yaani pombe zisizidi kiasi kwa mfano bia moja kwa siku au  kiasi kidogo kwa siku, ila zisizidi kipimo. Kwa sababu unywaji wa pombe kupita kiasi usababisha kupungua kwa hormone ya testerone .

 

7. Punguza matumizi ya kahawa.

Kwa kawaida kwenye kahawa kuna kafein ambayo inaleta shida kwenye uzalishaji hasa hasa kwenye homoni.

 

8 epuka matumizi ya tumbaku,

Kwa kawaida  matumizi ya tumbaku usababisha matatizo kwenye DNA tunajua kabisa kwenye DNA ndicho chimbuko cha mwanadamu.

 

9. Epuka mazoezi magumu.

Kwa kawaida mazoezi  na kwa mda mrefu ukandamiza ovulation na kuaribu homoni ya  projestoren, kwa hiyo ni vizuri kabisa kuwa na mazoezi madogo madogo.

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF Views 3035

Share On:

Share follows: 0 | Unique share links followed: 0
Sponsored links
👉1 web hosting     👉2 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉3 Simulizi za Hadithi Audio     👉4 Madrasa kiganjani     👉5 ai web app     👉6 Kitabu cha Afya    

Post zinazofanana:

Dalili za mimba yenye uvimbe

Mimba ya tumbo - pia inajulikana kama hydatidiform mole - ni ugumu usiyo na kansa (benign) ambayo hutokea kwenye uterasi. Mimba ya molar huanza wakati yai linaporutubishwa, lakini badala ya mimba ya kawaida, yenye uwezo wa kutokea, plasenta hukua na kuwa

Soma Zaidi...
Sabau za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua.

Posti hii inahusu zaidi sababu za mama kutokwa na damu nyingi baada ya kujifungua, hili ni tatizo ambalo uwapata akina Mama wengi wanapomaliza kujifungua kwa hiyo tutaweza kuziona sababu zinazosababishwa na tatizo hili.

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...
je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Nina swali langu:-je maumivu ya nyonga na tumbo la chini ni dalili ya mimba?

Soma Zaidi...
Malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama.

Posti huu inahusu zaidi malengo ya huduma za uzazi kwa akina Mama, ni huduma muhimu ambazo zimetolewa kwa akina Mama ili kuweza kuepuka hatari mbalimbali zinazowakumba akina Mama wakati wa ujauzito, kujifu na malezi ya watoto chini ya miaka mitano.

Soma Zaidi...