Njia za kupunguza uzito na kitambi

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali ambazo zinaweza kutumika ili kuweza kupunguza tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa pamoja na kitambi

Njia za kupunguza uzito mkubwa pamoja na kitambi.

1. Tunapaswa kufahamu kwamba mara nyingi tatizo la kuwepo kwa uzito mkubwa na kitambi ni mtindo wa maisha ambapo kwa walio wengi ujiachiaa kabisa katika maisha na vyakula, kwa mfano unaweza kuona mtu anatoka nyumbani kwenda kazini kwa kutumia gari na akifika kazini ni kukaa tu na jioni akitoka kazini ni kupiga bia na nyama yoyote ile na pengine anaongezea chips akitoka hapo anafika nyumbani ni kuangalia movies na kusubiria chakula, watu wanaishi hivyo hata bila ya mazoezi hatimaye kuota kitambi na unene kupita kiasi.

 

2. Kwa hiyo watu wanapaswa kubadilika na kufuata yafuatayo ili kuweza kuepuka na tatizo la kuwepo kwa vitambi kwa kubadilisha mtindo wa maisha kwa kupiga mazoezi mara kwa mara walau mara tatu kwa  wiki pamoja na kutumia maji ya uvuguvugu ili kupunguza vitambi na unene uliopitiliza.

 

3. Epuka matumizi ya vyakula vya wanga.

Kwa kawaida kitu kikubwa ambacho kipo kwenye vyakula vya wanga ni starch na ndiyo inayosababisha kuwepo kwa unene uliopitiliza.

 

4. Epuka matumizi ya vyakula vyenye sukari nyingi.

Kwa kawaida tunajua kazi ya sukari ikiwa nyingi mwilini usababisha kuwepo kwa mwongezeko wa mwili pamoja na uzito kwa hiyo ni vizuri kutumia sukari kidogo kwenye vinywaji.

 

5. Kufunga ili kuweza kuchoma calories ambazo zimo mwilini ambazo utokana na ulaji wa vyakula vyenye wanga na sukari.

 

6. Tumia vyakula vyenye wingi wa protini na gari kwa kiasi kidogo na pia tumia uchache wa unga na sukari.

 

7. Katika kupunguza uzito ni vizuri kabisa kufahamu kwamba matumizi ya vyakula vya wanga mara kwa mara hata kama unafanya mazoezi sio rahisi kupunguza tatizo kwa hiyo punguza matumizi ya vyakula vyenye wanga.

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Huduma Main: Afya File: Download PDF Views 1619

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
๐Ÿ‘‰1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    ๐Ÿ‘‰2 Simulizi za Hadithi Audio    ๐Ÿ‘‰3 kitabu cha Simulizi    ๐Ÿ‘‰4 Bongolite - Game zone - Play free game    ๐Ÿ‘‰5 Kitabu cha Afya    ๐Ÿ‘‰6 Kitau cha Fiqh   

Post zinazofanana:

Zijue faida za maji ya uvuguvugu.

Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.

Soma Zaidi...
Namna ya kumhudumia mtu aliyeingongwa na nyoka

Posti hii inahusu njia na namna ya kumhudumia aliyeingiwa na nyoka. Nyoka ni kiumbe ambacho Kina sumu kali na mtu akifinywa na nyoka asipohudumiwa anaweza kupata ulemavu au kupoteza maisha

Soma Zaidi...
Namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo

Post hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wagonjwa wa vidonda vya tumbo, ni njia ya kuwasaidia wagonjwa waliopata madonda ya tumbo

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIKAZWA NA MISULI

Kukaza kwa misuli lunaweza kutokea muda wowote ila mara nyingi hutokea pindi mtu anapofanya mazoezi, amnapoogelea ama anapofanya kazi.

Soma Zaidi...
Namna ya kutumia vidonge vya ARV

Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi

Soma Zaidi...
HUDUMA YA KWANZA KWA ALIYENGโ€™ATWA NA NYUKI

Kungโ€™atwa na nyuki kunaweza kukahitaji huduma ya kwanza kwa haraka kama mgonjwa ana aleji na nyuki.

Soma Zaidi...
Haya hayawezi kuambukiza UKIMWI

Somo hili linakwenda kukuletea mambo ambayo hayawezi kuambukiza UKIMWI

Soma Zaidi...
Utaratibu wa lishe kwa vijana

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa vijana

Soma Zaidi...
Huduma kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo

Post hii inahusu zaidi huduma Kwa mgonjwa mwenye maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo,ni huduma maalumu ya kumsaidia mgonjwa aliyepata maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo.

Soma Zaidi...
huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu sikioni

Post hii inahusu huduma ya kwanza kwa mtu aliyeingiwa na uchafu au kitu chochote sikioni. Sikio ni mojawapo ya milango ya fahamu ambapo hutumika kusikia, Kuna wakati vitu uingia ndani yake na kuleta madhara

Soma Zaidi...