Posti hii inahusu zaidi njia za kutibu mbegu dhaifu, ni njia ambazo utumika kutibu mbegu ambazo ni dhaifu ili kuweza kuondoa tatizo hili ambalo limewakumba wanaume wengi na kusababisha madhara makubwa kwenye ndoa au familia.
Njia za kutibu mbegu dhaifu.
1. Kwanza kabisa tunapaswa kuboresha vyakula vyetu na kutumia vyakula vyenye wingi wa madini ya zinki, vitamini E, follic asidi, vitamini B12, na vitamini C.
2. Kujitahidi kuondoa sumu mwilini kwa kufanya mazoezi na kutoa jasho, na kuepuka kula vyakula vya super market na vyakula vingine ambavyo havina umuhimu kwenye mwili.
3. Kuepuka hali ya kujichua .
Kujichua nakwa usababisha misuli ya kwenye uume kulegea na kufanya mbegu kuwa dhaifu kwa hiyo tunapaswa kuacha kupiga pinyeto ili kuondoa tatizo hili.
4. Kupunguza wasiwasi na msongo wa mawazo.
Kwa sababu mbegu za kiume kuwa dhaifu usababishwa na msongo wa mawazo na wasiwasi kwa hiyo tunapaswa kuacha kupunguza mawazo na kuwa kwenye hali ya kawaida.
5. Kupunguza matumizi ya pombe kali.
Kwa kawaida pombe kali huwa ni shida sana kwa uzazi kwa hiyo kwa wale wanaume ambao wanatumia sana vileo vikali hasa pombe za kupita kiasi wanapaswa kupunguza ili kuweza kupunguza tatizo hili na hasa kwa wale ambao wameshagundulika na tatizo.
6. Kuepukakana na vinywaji vyenye sumu na kemikali.
Kwa kawaida wale wanaofanya kazi kwenye sehemu za mionzi na kwenye kemikali kali iwapo wamegundulika na tatizo hili wanapaswa kuachana na kutumia kemikali ili kuweza kujiepusha na tatizo hili.
7. Kwa hiyo jamii inapaswa kuelimishwa kuhusu matatizo haya na jinsi ya kufanya ili kuweza kuepuka matatizo kwenye jamii
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Kipimo cha Mlimba huweza kuonyesha mimba changa mapema sana. Pia ni rahisi kutumia na kinapatikana kwa bei nafuu. Je ungeoendavkujuwa ni muda gani kinatoa majibu sahihi?
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Utajifunza dalili za minyoo, sababu za minyoo na namna ya kujiepusha na minyoo. Dalili kuu 5 za minyoo mwilini
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada.
Soma Zaidi...Posti inahusu zaidi njia maalum za uzazi wa mpango kwa wanaonyonyesha,Ni njia za uzazi ambazo wanaonyesha wanatumia kwa sababu kuna njia nyingine zikitumiwa na wanaonyonyesha zinaweza kuleta matatizo kwa watoto au kusababisha maziwa kutokuwa na vitamini v
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za mwanzo za ujauzito katika wiki ya kwanza
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi huduma ambayo Mama anapaswa kutolewa pindi mimba inapotishia kutoka huduma hii utolewa kulingana na Dalili tulizoziona zinazohusiana na mimba kutishia kutoka.
Soma Zaidi...Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua.
Soma Zaidi...Tofauti na mambo matano yaliyotajwa hapo juu kuwa yanapelekea ujauzito kutoka, kuna mambo mengine ambayo yanaweza kuuweka ujauzito kuwa hatarini.
Soma Zaidi...