image

Njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia damu isiendelee kuvuja, ni njia ambazo utumika ikiwa kuna damu inavuja kwenye sehemu yoyote ya mwili,kwa hiyo tunaweza kutumia njia hizi ili kuepuka kuendelea kuvuja kwa damu.

Njia za kuzuia damu uendelea kuvuja.

1.Tumia nguvu nyingi kukandamiza sehemu ambayo inavuja, unaweza kutumia ngumi kama ni sehemu kubwa au kidole kama ni sehemu ambayo umechomwa na kitu chenye ncha kali.

 

2.Amsha sehemu iliyotumia, unapaswa kuinua juu ili kuweza kuuweka vizuri sehemu iliyovunjika.

 

3.Mpe matumaini mgonjwa na zungumza naye kila wakati ili mgonjwa asiweze kuzimia kwa sababu kitendo cha kuvuja damu kwa mda mrefu usababisha kuishiwa kwa damu na maji

 

4.Funika sehemu ambayo ina kidonda kama kimetokea ili kuweza kuzuia maambukizi kwenye kidonda hicho 

 

5.Hakikisha inamfanyia mgonjwa usafi ili kuzuia kuendelea kwa Maambukizi na kumfanya mgonjwa aendelee kuwa na matatizo mengine.

 

6.Ondoa tisu (nyamanyama, ama ngozingozi) ambazo zimeharibika (kupondeka, kukatikakatika) kwenye kidonda ili kuweza kuruhusu tisu nyingine ziweze kuingia na kupona kutakuwa rahisi kw hiyo hakikisha kila siku tisu zilizoharibika zinaondolewa.

 

7.Funga vizuri sehemu iliyoariabika ili kuweza kufanya uponyaji kuwa wa haraka.

 

8. Mpatie mgonjwa dawa ya kutuliza maumivu kama vile panadol, asprin na dawa nyingine za maumivu kutokana na hali ya mgonjwa

 

9. Mpatie mgonjwa antibiotics ili kuweza kuepuka Maambukizi ambayo yanaweza kutokea ua kusaidia kutibu maambukizi na dawa hizi zinapaswa kutolewa kwa ruhusa ya wataalamu wa afya.

 

10.Kama sehemu yenye matatizo kuna nywele jaribu kuzing'oa ili kuondoa njia ya kupata Maambukizi.

 

11.Mpatie Mgonjwa elimu kama patatokea shida yoyote kama vile maji maji na kuendelea kuvuja damu atoe taarifa.

 

12.Mpatie Mgonjwa Mda wa kuja kutolewa nyuzi kama sehemu iliyokuwa inavuja imeshomwa





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 895


Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 Madrasa kiganjani     👉4 Kitabu cha Afya    

Post zifazofanana:-

Namna ya kuchoma chanjo
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuchoma chanjo, ni njia ambazo utumika kutoa chanjo kwa watoto na watu wazima kwa utaratibu uliowekwa. Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa aliyeungua
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa aliyeungua Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyeaha
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wajawazito na wanaonyonyesha Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wagonjwa
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wagonjwa Soma Zaidi...

Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa Damu kwenye moyo.
 Maumivu ya kifua yanayosababishwa na kupungua kwa mtiririko wa damu kwenye misuli ya moyo, kitaalamu huitwa Angina ni dalili ya Ugonjwa wa ateri ya Coronary. Ugonjwa huu kawaida hufafanuliwa kama kufinya, shinikizo, uzito, kubana au maumivu kwenye Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu virutubisho vya wanga na kazi zake mwilini
Katika vyakula tunaposema wanga tunamaanisha virutubisho ambavyo hupatikana kwenye vyakula. Hivi husaidia sana katika kuifanya miili yetu iwe na nguvu. Soma Zaidi...

Kawaida Mtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha
Nimeambiwa presha yangu umeshuka iko 90/60 na Nina umri wa miaka 26 KawaidaMtu anatakiwa na kiwango gani Cha presha Soma Zaidi...

Zijue kazi za uke (vagina)
Uke ni sehemu ambayo imo ndani ya mwili wa mwanamke, sehemu hii ufanya kazi mbalimbali hasa wakati wa kujamiiana, kubarehe na kujifungua kwa mama. Soma Zaidi...

Utaratibu wa lishe kwa wazee
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu utaratibu wa lishe kwa wazee Soma Zaidi...

Maji
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za maji mwilini Soma Zaidi...

Nini husababisha mdomo kuwa mchungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za mdomo kuwa mchungu Soma Zaidi...

Huduma ya Kwanza kwa mwenye kizunguzungu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu huduma ya Kwanza kwa mtu mwenye kizunguzungu Soma Zaidi...