Njia za kuzuia ugumba

Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu

 Njia za kuzuia ugumba.

1. Elimu ya afya ya uzazi itolewe.

atu wanatakiwa wapatiwe elimu juu ya afya ya uzazi, mambo yanayoathiri na njia za kuboresha. kwa mfao watu wafahamishwe vyakula vilivyo salama na vinavyotakiwa kwa wanandoa wanaotafuta ujauzito. Hivi ni vyakula mabvyo huboresha mfumo wa uzzi kwa mwanaume na mwanamke.'

 

2. Kutibu maambukizi.

Hili ni jambo la muhimu sana kwa wale ambao baada ya kufanya vipimo wanagundulika kuwa wana Maambukizi kwa hiyo baada ya kukaa mda mrefu bila kupata mtoto na kuwa na uhakika wa Maambukizi hasa yale yanayosababishwa na magonjwa ya zinaa ni lazima kutibiwa mara moja ili kuweza kupunguza tatizo hili la ugumba.

 

3. Kuepukana na madawa ya kulevya na uvutaji, unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, .

Katika tabia ya kutumia madawa ya kuzlevya kama vile malijuana, vileo vikali na aina yoyote ile ya bangi usababisha ugumba kwa hiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wanaotumia dawa hizo ili waweze kuacha na kuona matatuzo ya ugumba.

 

4. Kuepuka tabia ya kutoa mimba mara kwa mara. Tabia hii nayo usababisha ugumba kwa sababu kuna vijana wanaanza kutoa mimba katika umri mdogo na mara kwa mara na pengine kwa kutumia njia zisizofaa na kusababisha kizazi kulegea kwa hiyo inapofikia wakati wa kubeba mimba wanashindwa kupata mimba kwa sababu ya kuchokonoa kizazi kwa hiyo akina dada jilindeni na achana na tabia za kutoa mimba ni hatari sana.

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2350

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 web hosting    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Simulizi za Hadithi Audio   

Post zinazofanana:

Madhara ya tumbaku na sigara

Post hii itakwenda kuangalia madhara ya tumbaku na sigara anayoweza kuyapata mvutaji

Soma Zaidi...
Namna ya kumtunza mtoto aliyezaliwa

Post hii inahusu zaidi namna ya kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa, ni njia zitoleeazo na wakunga Ili kumtunza mtoto mchanga aliyezaliwa.

Soma Zaidi...
Samahani naomba kuhuliza je unaweza kutokwa na maji maji ambayoa ayana rangi Wala harufu Ni dalili gani kwa mimba ya mwezi mmoja

ukiwa na ujauzito unaweza kuona mabadiliko mengi katika mwili wako yakiwemo kutokwa na majimaji. je majimaji haya yana dalili gani kwenye ujauzito?

Soma Zaidi...
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?

Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv

Soma Zaidi...
Sorry kunamchumba wangu katokwa na majimaji meupe na tumbo linamuuma BAADA mda likaacha nidalili za Nini au.nikawaida tu

Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito mwenye mimba na mimba changa

Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga

Soma Zaidi...
Hiv n kweli majivu hutoa mimb ya siku moja hadi wiki moja

Inashangaza sana, wakati wengine wanahangaika kutafutavijauzito kwa gharama yoyote ile, kuna wengine wanataka kutoa ujauzito kwa gharama yeyote ile. Unadhani njia za kienyeji sa kutoa mimba ni salama?

Soma Zaidi...
Je mwanamke anaweza kujijuwa ni mjamzito baada ya muda gani.

Mdau anauliza ni muda gani mwanamke anaweza kujijuwa kuwa amepata ujauzito.

Soma Zaidi...
Faida na hasara za Kufunga kizazi kwa Wanaume

Posti hii inazungumzia Faida, hasara, na madhara ya Kufunga kizazi kwa Wanaume.

Soma Zaidi...