Posti hii inahusu zaidi njia za kuzuia ugumba, ni njia ambazo utumiwa na wapenzi ambao wameshindwa kupata watoto hasa kwa wale ambao wamezaliwa wakiwa na uwezo wa kupata watoto lakini kwa sababu tofauti tofauti wanashindwa kupata watoto kwa hiyo njia zifu
Njia za kuzuia ugumba.
1. Elimu ya afya ya uzazi itolewe.
atu wanatakiwa wapatiwe elimu juu ya afya ya uzazi, mambo yanayoathiri na njia za kuboresha. kwa mfao watu wafahamishwe vyakula vilivyo salama na vinavyotakiwa kwa wanandoa wanaotafuta ujauzito. Hivi ni vyakula mabvyo huboresha mfumo wa uzzi kwa mwanaume na mwanamke.'
2. Kutibu maambukizi.
Hili ni jambo la muhimu sana kwa wale ambao baada ya kufanya vipimo wanagundulika kuwa wana Maambukizi kwa hiyo baada ya kukaa mda mrefu bila kupata mtoto na kuwa na uhakika wa Maambukizi hasa yale yanayosababishwa na magonjwa ya zinaa ni lazima kutibiwa mara moja ili kuweza kupunguza tatizo hili la ugumba.
3. Kuepukana na madawa ya kulevya na uvutaji, unywaji wa pombe na uvutaji wa sigara, .
Katika tabia ya kutumia madawa ya kuzlevya kama vile malijuana, vileo vikali na aina yoyote ile ya bangi usababisha ugumba kwa hiyo tunapaswa kuwashauri ndugu zetu wanaotumia dawa hizo ili waweze kuacha na kuona matatuzo ya ugumba.
4. Kuepuka tabia ya kutoa mimba mara kwa mara. Tabia hii nayo usababisha ugumba kwa sababu kuna vijana wanaanza kutoa mimba katika umri mdogo na mara kwa mara na pengine kwa kutumia njia zisizofaa na kusababisha kizazi kulegea kwa hiyo inapofikia wakati wa kubeba mimba wanashindwa kupata mimba kwa sababu ya kuchokonoa kizazi kwa hiyo akina dada jilindeni na achana na tabia za kutoa mimba ni hatari sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi,kwa kawaida tumesikia akina mama wengi wanalalamika kuhusu kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi na wengine hawajui sababu zake kwa hiyo sababu zifuatazo ni za kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi nguzo kuu za umama katika umri wa kujifungua na kulea watoto, ni kipindi ambacho mama anakuwa analea watoto kwa kawaida kadri ya makadirio kipindi hiki uanza kati ya miaka kumi na mitano mpaka arobaini kwa walio wengi na kinaweza k
Soma Zaidi...Mimba inapotoka ina dalili, na zipo sababu kadhaa za kutoka kwa mimba. Je utazuiaje mimba kutoka. Soma makala hii
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mapendekezo muhimu kwa wajawazito, haya ni mapendekezo yaliyotolewa na wataalamu wa afya ili wajawazito waweze kule mimba zao vizuri na kuweza kujifungua vizuri na kupata watoto wenye afya njema na makuzi mazuri pasipokuwepo na ule
Soma Zaidi...Kama unapata maumivu wakati wa tendo la ndoa, suluhisho lako lipo kwenye makala hii
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi imani potofu kuhusu uzazi wa mpango, ni imani walizonazo Watu kuhusu matumizi ya uzazi wa mpango.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo mtu anaweza kupata ikiwa mwili utaeweza kutengeneza progesterone ya kutosha.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watu ambao hawapaswi kutumia njia za uzazi wa mpango, Ni watu ambao Wana matatizo mbalimbali endapo wakitumia wanaoweza kuleta madhara mbalimbali.
Soma Zaidi...Je unaweza kunielezaKwa mjamzito kuumia wakati wa tendo la ndoa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Soma Zaidi...