image

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja.

Njia za uzazi wa mpango kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja baada ya kujifungua.

1.Tunajua wazi kuwa baada ya kujifungua mama anaweza kunyonyesha mtoto wake kwa mda mrefu na wa kutosha kwa mize sita na pasipokutumia uzazi wa mpango na mama hasipatwe mimba lakini baada ya miezi sita hata kama ananyonyesha anaweza kupata mimba kwa hiyo zifuatazo ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango anazoweza kutumia baada ya miezi sita.

 

2.Mama anaweza kutumia njia ya kusikiliza ute, utumika pale Mama anapashika ute wake na akiona kuwa ni mzito anaweza kujamiiana na hasipate mimba maana mbegu haziwezi kupita na kurutubisha yai, na kama ute ni mwepesi Mama hasijamiane kwa sababu mbegu zinaweza kupita na kurutubisha yai.

 

3.Njia ya kutumia progesterone homoni ya vidonge au ya sindano kwa sababu hizi uzuia yai lisipevuke kwa hiyo kwa kutumia njia hii Mama hawezi kupata mimba, kwa hiyo kabla ya kutumia njia hizi maelekezo kutoka kwa wataalamu wa afya ni lazima ili kuweza kujua iwapo kuna maudhi madogo madogo na kuweza kuona ni kitu cha kawaida na kinaweza kuisha.

 

4. Pia Mama anaweza kutumia njia ya mchanganyiko wa homoni mbalimbali ambazo ni progesterone na oestrogen, hizi homoni uweza kuzuia yai lisipevuke na mimba haiwezi kutungwa, kwa hiyo tunapaswa kujua kubwa hizi njia za uzazi wa mpango zinatumiwa baada ya kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5. Kwa hiyo kama Mama yupo katika hali fulani kama vile kunyonyesha, ametoa mimba ana kifua kikuu, ana presha anapaswa kuwaona wataalamu wa afya ili kujua njia gani aweze kutumia kwa hiyo akina Mama mnashauliwa kubwa wazi kuhusu Magonjwa yaliyopo ili kupatiwa njia inayofaa.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 981


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Madrasa kiganjani     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Kitau cha Fiqh    

Post zifazofanana:-

Jinsi ya kushusha homoni za kiume.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada. Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja. Soma Zaidi...

Je nitahakikisha vipi Kama Nina ujauzito
Somo hili linakwenda kukueleza njia za kuhakiki Kama u-mjamzito Soma Zaidi...

je mwana mke ana weza kubeba mimba kama hayupo kwenye siku zake za hatali ama
Mimba haipatikani kila siku, na pia mimba huingia kwa siku moja na katika muda mmoja. Baada ya mimba kutungwa hakuna tena nafasi ya kutungwa mimba nyingine. Soma Zaidi...

Umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni mwa mama
Post hii inahusu zaidi umuhimu wa maji yaliyomo kwenye mfuko wa mtoto akiwa tumboni. Ni maji ambayo kwa kitaalamu huitwa (Amniotic fluid) Soma Zaidi...

Vitu vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid (majimaji yanayomzungruka mtoto aliyekuwepo tumboni wakati wa ujauzito)
Post hii inahusu zaidi viti vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid, ni jumla ya vitu vyote vilivyopo kwenye maji ya Amniotic fluid. Soma Zaidi...

Njia za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha.
Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa au kuzalisha kwa sababu kuna familia nyingi zinakosa watoto sio kwa sababu ni tasa ila kuna njia mbalimbali za kuongeza uwezo wa kuzaa kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Nikiwa katika siku zangu siumwi ila tatizo Ni kwamba najisikia kichefu chefu
Soma Zaidi...

Mimba kutoka kabla ya umri wake
Posti hii inahusu zaidi kuhusu kwa mimba kutoka kabla ya mda wake,ni kitendo ambacho mimba utoka kabla ya wiki ishilini na na nane. Soma Zaidi...

Kupima ujauzito kwa kutumia chumvi, sukari na sabuni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni Soma Zaidi...

Ugonjwa wa kisukari wakati wa ujauzito.
Posti hii inaelezea ugonjwa wa kisukari wakati mama akiwa mjamzito.na yafuatayo ni Mambo hatari yanayotokea wakati Mama akiwa na ujauzito. Soma Zaidi...

Habari nilitaka kujua kuhusu ugonjwa wa fungusi kwenye uume
Je na wewe unasumbuliwa na fangasi wenye uume. Post hii ni kwa ajili yako. Soma Zaidi...