picha

PHP - somo la 15: Jinsi ya kutengeneza table kwenye database kwa kutumia PHP

Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia PHP kutengeneza tabale kwenye database ya mysql .

Katika somo lililotangulia tumejifunza namna ya kutengeneza database kwa kutumia PHP. Hivyo umejifunza pia namna ya kuandaa variable kwa ajili ya kutumia SQL. Hivyo katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutengeneza table. Tafadhali rejea mafunzo ya database  kujikumbusha naman ya kutengeneza table.

 

Maandalizi

Maandalizi ni yale yale tuliokwisha kuyaona. kwanza ni kuandaa variable zinazohusu database, server na password, kisha ijuwe SQL ststement za kutengeneza table, kisha ujuwe ku connect database. Hivyo nitakuorodheshea haya yote ili iwe rahisi kwako.

 

  1. Variable zinazohusu database:

Hapa kuna variable nyingine tutaiongeza nayo ni variable ya kuwakilisha jina la database. Yaani kwa kuwa tunataka kutengeneza table, lazima sasa tuseme table hiyo tunakwenda kuitengenezea kwenye database ipi?. Hivy hapa nitatumia $dbname kunaanisha database name, hivyo kuwakilisha jina la database.

 

katika somo lililopita tulitengeneza databse iliyoitwa hoteli. Hivyo katika somo hili tutakwenda kutengeneza table yenye jina menu katika hiyo database yetu ya hotel. kumbuka jina la server ni localhost, na username ni root. password hakuna, hivyo patakuwa kama palivyo.

 

//kuandaa variable

$servername = "localhost";

$username = "root";

$password = "";

$dbname = "hotel";


 

  1. SQL statement za kutengeneza table

CREATE TABLE IF NOT EXISTS `menu` (

  `id` int(100) NOT NULL,

  `name` varchar(255) NOT NULL,

  `description` varchar(255) NOT NULL,

  `price` int(100) NOT NULL

) ENGINE=InnoDB DEFAULT CHARSET=utf8mb4;

Hii ni table tulioitengeneza katika somo la 9 mafunzo ya database bofya hapa kurejea somo

 

  1. variable za ku connect database

/ Create connection

$conn = mysqli_connect($servername, $username, $password);

 

  1. function kwa ajili ya kuangalia kama kuna tatizo ama umefanikiwa. apa ndipo tunatumia if else statement, kwa ajili ya kueleza kama table imefanikiwa itatuambia “table menu imetengeneza” Ving">...

    Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

    Zoezi la Maswali

    Nyuma Endelea


    Umeionaje Makala hii.. ?

    Nzuri            Mbaya            Save
    Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: PHP Main: ICT File: Download PDF Views 917

    Share On:

    Facebook WhatsApp
    Sponsored links
    👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Dua za Mitume na Manabii    👉3 Kitabu cha Afya    👉4 web hosting    👉5 Bongolite - Game zone - Play free game    👉6 Kitau cha Fiqh   

    Post zinazofanana:

    PHP somo la 59: static property kwenye PHP

    Katika somo hili utakwend kujifunza kuhusu static property na jnsi inavyotumika

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 13: Jinsi ya kuunganisha database na website

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya ku connect database, kwa kutumia php

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 40: Jinsi ya kutumia htaccess file kubadilisha muonekano wa link

    Katika somo hili uatakwenda kujifunza jinsi ya kutumia htaccess ili kubadili muonekano wa link ya website ama blog ili kuifanya iwe rafiki zaidi.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 92: Jinsi ya kuunganisha php na database ya sqlite

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kutumia database ya sqlite kwa kutumia PHP.

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 68: Jinsi ya kutuma email kwa kutumia PHPMailer

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jisniya kutuma email kwa kutumia PHPMailer kwenye project ya PHP. Katika somo hili tutakwend akutuma email kwa kutumia localhost.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 8: jinsi ya kuandika constant kwenye PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya kuandika constant kwenye PHP. Pia utajifunza utofauti wake na variable

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 25: Jinsi ya kukusanya taarifa kutoka kwenye html form kwa kutumia php

    Katika somo hili utajifunza jinsi ya kukusanya taarifa ambazo watu wamezijaza kwa kutumia fomu ya html. Kisha utajifunza jinsi ya kuzisoma hizo taarifa.

    Soma Zaidi...
    PHP - somo la 20 : Jinsi ya kufuta na ku update data kwenye database kwa kutumia PHP

    Katika somo hili utakwenda kujifunza jinsi ya ku update na kufuta data kwenye database kwa kutumia PHP

    Soma Zaidi...
    PHP somola 78: Cookie Headers

    Katika somo hili utakwenda kujifunza kuhusu Cookie Headers

    Soma Zaidi...
    PHP somo la 102: Cron job

    atika somo hli tutakwenda kujifunza kuhusu kitu kinachitwa cron job. ni moja ya teknolojia zinazotumika kufanya kazi zinazofanyika automatic

    Soma Zaidi...