Kondo la nyuma ni sehemu ya mwili wa mama anapokuwa mjamziti,kondo la nyuma husaidia katika kazi mbalimbali katika ukuaji wa mtoto.
Umuhimu wa kondo la nyuma kwa mtoto pale mama anapokuwa mjamzito.
1. Husaidia kusafirisha gas ya oxygen kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
2. Husaidia kusafirisha damu chafu ya corbondioxide kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama.
3. Husaidia kusafirisha uchafu kutoka kwa mtoto kwenda kwa mama Kisha kutolewa nje kama uchafu mwingine.
4. Husaidia kuzuia wadudu na sumu kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto ambavyo inaweza kuleta madhara
5. Husaidia pia kusafirisha vitamin na madini kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto.
Kwa ujumla kondo la nyuma Lina kazi kubwa katika makuzi ya mtoto akiwa tumboni mwa mama yake, kwa hiyo tunapaswa kumlinda mama akiwa na mimba kw kufanya yafuatayo,
1. Kuhakikisha mama amepata hewa Safi.
2. Kumpatia chakula Cha kutosha
3. Kumpatia madini yabayohitajika.
4. Kuepuka a na kutumia vyakula vyenye sumu.
Kwa kufanya hayo tutaweza kufanya kondo la nyuma lifanye kazi yake vizuri.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Ikiwa mtoto wako ana kasoro ya moyo wa kuzaliwa, ina maana kwamba mtoto wako alizaliwa na tatizo katika muundo wa moyo wake. Baadhi ya kasoro za moyo za kuzaliwa kwa watoto ni rahisi na hazihitaji matibabu, kama vile tundu dogo kati ya chemba za moyo amb
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa akina Mama, tunajua wazi kubwa kuna faida kubwa za uzazi wa mpango kwa akina Mama pindi watumiapo njia hizi kwa uhakika zaidi.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi njia ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kupunguza homoni za kiume kwa akina dada.
Soma Zaidi...Hii ni hali inayompata mtu kukosa hamu kabisa ya kushiriki kitendo chochote kinachohusiana na kufanya tendo landoa au bunyeto.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi siku za kubeba mimba na zisizo za kubeba mimba , tunapaswa kujua hivi Ili kuweza kupanga uzazi na kuepuka njia ambazo ni hatarishi kwa afya zetu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hatari za kutokwa na damu wakati wa ujauzito, hali hii utokea wakati wa ujauzito ambapo Kuna baadhi ya wajawazito utokwa na damu jambo ambalo hatupaswi kutarajia kwa sababu tunafahamu kabisa mama akishapata ujauzito na damu zinakom
Soma Zaidi...Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu damu, uteute na maji yanayotoka ukeni kipindi cha ujauzito
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi faida za uzazi wa mpango kwa watu waliopata maambukizi ya ugonjwa wa Ukimwi, ni faida wanazozipata waathirika wa ugonjwa wa Ukimwi.
Soma Zaidi...Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.
Soma Zaidi...