NIna swali hapa
Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua
Namba ya swali 031
Tafadhali bofy link hii hapo Bofya hapa
Namba ya swali 031
Saw naomba nujue kingine vipi kwann kunakua n maumivu sana unahc kama kuvutwa au kuchomwa chin ya kitovu unahc kama unachomwa had unashindwa kutembea hio inasababshwa nanini?
Namba ya swali 031
Una ujauzito?
Namba ya swali 031
Ndio na natarajia kujifungua mwezi huu
Namba ya swali 031
Hiyo ni kwa sababu ya misuli katika mji wa mimba inatanuka na kusinyaa
Namba ya swali 031
Asante sana kwahyo hamna tatzo kwahyo ni kitu cha kawaida kujihc hivyo?
Namba ya swali 031
Yes ila kama inatokea mara kwa mara kiasi cha kukukosesha amani vyema imuone daktari
Namba ya swali 031
VP kunakua na mimaj ya rangi nyeupe inatoka kwa wing cjui sababu nn
Namba ya swali 031
Kutoka maji si jambo la kushabgaa kwa mwenye ujauzito hasa karibu ba kujifingua. Kama yatakuwa na harufu mbaya na muwasho, maumivu makali sana ta tumbo kupita kiasi ama kichwa kupita kiasi ni vyema kumuina daktari....
Namba ya swali 031
Sawa asante sana
Namba ya swali 031
Sina bando, kufungua hiyo link, naomba tu niambie japo kwa ufupi dalili za kukaribia kujifungua
Namba ya swali 031
Kutokwa na majimaji mengi ukeni Maumivu ya tumbo mara kwa mara Mtoto anashuka maeneo ya nyonga Njia ya kujifungulia kuachia zaidi na kuwa kubwa Uchofu mkali sana Viungo kama kulegea ama kuachia. Dalili ya uchungu wa kujifungua ni maumivu ya tumbo yanayojuwa makali kama dk 5 ama pungufu ya hapo kisha yanapoa kwa dakika kadhaa kama 30 ama pungufu kisha yanarudi tena
Namba ya swali 031