picha

Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua

NIna swali hapa
Nahtaji kujua dalili za Mama mjamzto kujifungua



Namba ya swali 031

Tafadhali bofy link hii hapo Bofya hapa



Namba ya swali 031

Saw naomba nujue kingine vipi kwann kunakua n maumivu sana unahc kama kuvutwa au kuchomwa chin ya kitovu unahc kama unachomwa had unashindwa kutembea hio inasababshwa nanini?



Namba ya swali 031

Una ujauzito?



Namba ya swali 031

Ndio na natarajia kujifungua mwezi huu



Namba ya swali 031

Hiyo ni kwa sababu ya misuli katika mji wa mimba inatanuka na kusinyaa



Namba ya swali 031

Asante sana kwahyo hamna tatzo kwahyo ni kitu cha kawaida kujihc hivyo?



Namba ya swali 031

Yes ila kama inatokea mara kwa mara kiasi cha kukukosesha amani vyema imuone daktari



Namba ya swali 031

VP kunakua na mimaj ya rangi nyeupe inatoka kwa wing cjui sababu nn



Namba ya swali 031

Kutoka maji si jambo la kushabgaa kwa mwenye ujauzito hasa karibu ba kujifingua. Kama yatakuwa na harufu mbaya na muwasho, maumivu makali sana ta tumbo kupita kiasi ama kichwa kupita kiasi ni vyema kumuina daktari....



Namba ya swali 031

Sawa asante sana



Namba ya swali 031

Sina bando, kufungua hiyo link, naomba tu niambie japo kwa ufupi dalili za kukaribia kujifungua



Namba ya swali 031

Kutokwa na majimaji mengi ukeni Maumivu ya tumbo mara kwa mara Mtoto anashuka maeneo ya nyonga Njia ya kujifungulia kuachia zaidi na kuwa kubwa Uchofu mkali sana Viungo kama kulegea ama kuachia. Dalili ya uchungu wa kujifungua ni maumivu ya tumbo yanayojuwa makali kama dk 5 ama pungufu ya hapo kisha yanapoa kwa dakika kadhaa kama 30 ama pungufu kisha yanarudi tena



Namba ya swali 031

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2018-08-01 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2083

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 web hosting    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 Dua za Mitume na Manabii   

Post zinazofanana:

Siku za kupata ujauzito

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata ujauzito

Soma Zaidi...
mambo ambayo utaulizwa mama mjamzito ukifika kituo cha afya unatakiwa utoe majibu sahihi.

Posti hii inahusu zaidi mambo ambayo Mama mjamzito anaweza kuulizwa pindi anapokuja kwenye kliniki ya uzazi ,ni mambo muhimu na ya lazima yanayopaswa kuongea na Mama mjamzito ili kuweza kuona maendeleo yake kama ifuatavyo.

Soma Zaidi...
Dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za kujifungua hatua kwa hatua

Soma Zaidi...
Dr nahis kuchanganyikiwa nimetoka niliingia hedhi tar 18 mwezi wa9 lakini saivi Jana tena nmeingia dr hii imekaaje mimi?

Kamaumeshawahi kujiuliza kuhusu kutokwaba damu tofautivna siku za hedhi, base mwaka hii ni kwaajiki yako.

Soma Zaidi...
Vyakula hatari kwa mjamzito mwenye mimba na mimba changa

Vyakula hivi hapasi kuvila mwanamke mwenye ujauzito kwa kiasi kikubwa, hasa yule mwenye mimba chaga

Soma Zaidi...
Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.

Soma Zaidi...
Endapo nina dalili za mimba na nikipima sina mimba, je, tatizo ni nini?

dalili za mimba zinaweza kuwa na mkanganyiko kwani zinafanana na shida nyingine za kiafya. Hali hii utaigunduwa endapo utakuwa na dalili za mimba lakini kila ukipima hakuna mimba.

Soma Zaidi...
SABABU ZA KUTOKA KWA MIMBA (sababu za kuharibika kwa ujauzito)

Tafiti zinaonesha kuwa karibia asilimia 10% mpaka 25% ya wanawake wanaopata ujauzito, mimba zao hutoka.

Soma Zaidi...
Je ukitokea mchubuko wakati wa ngono unaweza pata ukimwi?

Kupata Ukimwi ama HIV hufungamana na mambo mengi. Si kila anayefanya ngono zembe nabmuathiria naye lazima aathirike. Hiivsibkweli, ila tangu kuwa hali hii ni hatari kwani kupata maambukizi ni rahisi sana.

Soma Zaidi...
Je, wajua sababu zinazopelekea maumivu ya Matiti kwa wanawake?

Maumivu ya matiti ni malalamiko ya kawaida miongoni mwa wanawake yanaweza kujumuisha uchungu wa matiti, maumivu makali ya kuungua au kubana kwenye tishu zako za matiti. Maumivu yanaweza kuwa ya mara kwa mara au yanaweza kutokea mara kwa mara tu. Maumiv

Soma Zaidi...