Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Swali langu ni hili doktaJe siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?

Swali langu ni hili dokta
Je siku sahihi yakufanya tendo la ndoa niipi ukipata siku zake za hatari?



Namba ya swali 062

Siku hatari ya kupata ujauzito ina sifa hizi:-
1. Atakuwa na hamu sana ya kufanya tendo
2. Mwili wake utakuwa na joto jingi ila si homa.
3. Uke wake utakuwa na majimaji mengi

Itakuwa vyema kama utashiriki tendo landoa ndani ya siku hii ama siku moja kabla ama siku inayofata.



Namba ya swali 062

Nimeelewa Daktari, asante. Nitashiriki vyema tendo siku hiyo:-



Namba ya swali 062

Samahani mwanamke kupata maumivu makali chini ya kitovu wakati watendo la ndoa husababishwa nann?



Namba ya swali 062

Inaweza kuwa:-
UTI
Maradhi ya Ovari
Ukavu ukeni
Shida ya homoni
Mkao uliotumika wakati wa tendo
urefu wa uume endapo mkao uliotumika sio mzuri.



Namba ya swali 062

Kwa maelezo zaidi juu ya mada hii bofya hapa



Namba ya swali 062

Asante



Namba ya swali 062

Karibu tena



Namba ya swali 062

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2018-08-01     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 127

Post zifazofanana:-

Korodan kuwasha ni mja ya dalil ya fangas ,na ulimi kuchanka pmja na maumivu ndan ya mdomo wa juu na chini
Swali langu. Soma Zaidi...

Mpango wa kumuuwa Khalifa ally na Gavana Muawiya
Soma Zaidi...

NJIA ZA KUKABILIANA NA MRESHA YA KUSHUKA
1. Soma Zaidi...

USULUHISHWAJI KWA WALODHULUMIWA
Download kitabu Hiki Bofya hapa USULUHISHAJI WA WALODHULUMIWA. Soma Zaidi...

)Wenye kuepuka lagh-wi
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi. Soma Zaidi...

TATIZO LA KUVIMBA KWA USO NA MIGUU KWA WAJAWAZITO
KUVIMBA VYA MIGUU KWA WAJAWAZITO Kuvimba kwa miguu ni hali inayowapara wengi katika wajawazito. Soma Zaidi...

DUA DHIDI YA WASIWASI, UCHAWI NA MASHETANI
DUA ZA KUONDOA WASIWASI, SIHIRI NA UCHAWI 1. Soma Zaidi...

Swala ya maiti, namna ya kuiswali, nguzo zake, sharti zake na suna zake, hatua kwa hatua
Soma Zaidi...

STANDARD FOUR ENGLISH TEST 00
Soma Zaidi...

Chemsha bongo namba 07
22. Soma Zaidi...

Mafunzo Yatokanayo na Historia ya Nabii Lut (a.s)
(i) Tujitahidi kwa kadiri ya uwezo wetu kuondoa maovu katika jamii kwa mikono yetu na ikiwa hatuwezi tuyakemee kama alivyofanya Nabii Lut(a. Soma Zaidi...

Vyakula vya wanga na faida zake
Soma Zaidi...