Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Ratiba ya chanjo ya Pentavalent.
1.Tunajua kabisa kwamba chanjo hii inaweza kutibu Magonjwa matano na chanjo hii imeunganishwa na ufanya kazi kwa pamoja. Pentavalent maana yake ni tano, kwa hiyo hii chanjo utolewa mara tatu yaani kwa vipindi maalumu kwa hiyo walezi na wazazi wa watoto wachanga wanapaswa kujua wazi mda ambao wanapaswa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo kama ifuatavyo.
2.Chanjo ya kwanza utolewa kwenye wiki ya sita baada ya mtoto kuzaliwa, kiasi kinachotolewa ni milia Sifuri nuka tano na sindano hii utolewa kwenye paja la kushoto kwa hiyo kila mtoto akifikisha wiki sita ambazo ni sawa na mwezi mmoja na wiki mbili anapaswa kuja kwenye kituo cha afya kupata chanjo.
3.Chanjo ya pili utolewa kwenye wiki ya Kumi ambayo ni sawa na miezi miwili na wiki mbili, kwa hiyo Walezi na wazazi wakumbushane mara kwa mara kuhusu kumrudisha mtoto ili apatiwe chanjo kwa hiyo kiwango anachopewa ni kama kile kwenye chanjo ya kwanza na sehemu ni ile ile ya kwenye paja la kushoto.
4.Chanjo Ya nne utolewa baada ya wiki kumi nne Bayo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo mtoto upewa kiasi kile kile kama alichopewa kwenye chanjo ya kwanza na ya pili kwa hiyo wazazi na walezi wote wanapaswa kukumbuka kuweza kuwapeleka watoto ili waweze kumalizia chanjo.
5.Kw hiyo tunaona wazi umuhimu wa chanjo hiyo ya Pentavalent kwa sababu inatibu Magonjwa mengi sana kwa hiyo wale walio na imani kuhusu chanjo wanapaswa kuelewa umuhimu wa chanjo ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa yanayozuiwa kwa chanjo kwa hiyo pia walezi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao kliniki ili wapate chanjo kwa hiyo wanapaswa kuachana na uzembe usiokuwa na maana na kusababisha Magonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Simulizi za Hadithi Audio 👉3 Kitabu cha Afya 👉4 ai web app 👉5 Kitau cha Fiqh 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Namna ya kutunza nywele za mgonjwa
Posti hii inahusu zaidi namna ya kutunza nywele za mgonjwa hasa kwa wagonjwa mahututi na wale wasiojiweza tunafanya hivyo ili tuweze kuwatoa kwenye hali ya usafi.
Soma Zaidi...Kazi za chanjo ya polio
Posti hii inahusu zaidi kazi ya chanjo za polio na kazi zake,hii ni chanjo ambayo unazuia maambukizi ya Virusi vinavyosababisha polio.
Soma Zaidi...Mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa wagonjwa walioingiliwa na uchafu puani.(foreign body).
Posti hii inaelezea kuhusiana na dalili na mbinu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa alieye ingiwa na uchafu puani (foreign body)
Soma Zaidi...Njia za kujikinga na vidonda vya tumbo
Kama unahitaji kujuwa namna ya kuweza kujikinga na vidonda vya tumbo, basi makala hii ni kwa ajili yako. Hapa utaweza kuzijuwa hatuwa zote za kujikinga na kupata vidonda vya tumbo.
Soma Zaidi...Zijue faida za maji ya uvuguvugu.
Posti hii inahusu zaidi faida za maji ya uvuguvugu, hasa hasa maji haya ni vizuri kabisa kuyatumia hasa wakati wa asubuhi na pia wakati tumbo likiwa halina kitu, kwa hiyo zifuatazo ni faida za maji ya uvuguvugu.
Soma Zaidi...