Ratiba ya chanjo ya Pentavalenti
Posti hii inahusu zaidi chanjo ya pentavalent ni aina ya chanjo ambayo inazuia Magonjwa matano ambayo ni kifadulo, pepopunda, homa ya ini na magonjwa yanayohusiana na upumuaji.
Ratiba ya chanjo ya Pentavalent.
1.Tunajua kabisa kwamba chanjo hii inaweza kutibu Magonjwa matano na chanjo hii imeunganishwa na ufanya kazi kwa pamoja. Pentavalent maana yake ni tano, kwa hiyo hii chanjo utolewa mara tatu yaani kwa vipindi maalumu kwa hiyo walezi na wazazi wa watoto wachanga wanapaswa kujua wazi mda ambao wanapaswa kuwapeleka watoto wao kupata chanjo kama ifuatavyo.
2.Chanjo ya kwanza utolewa kwenye wiki ya sita baada ya mtoto kuzaliwa, kiasi kinachotolewa ni milia Sifuri nuka tano na sindano hii utolewa kwenye paja la kushoto kwa hiyo kila mtoto akifikisha wiki sita ambazo ni sawa na mwezi mmoja na wiki mbili anapaswa kuja kwenye kituo cha afya kupata chanjo.
3.Chanjo ya pili utolewa kwenye wiki ya Kumi ambayo ni sawa na miezi miwili na wiki mbili, kwa hiyo Walezi na wazazi wakumbushane mara kwa mara kuhusu kumrudisha mtoto ili apatiwe chanjo kwa hiyo kiwango anachopewa ni kama kile kwenye chanjo ya kwanza na sehemu ni ile ile ya kwenye paja la kushoto.
4.Chanjo Ya nne utolewa baada ya wiki kumi nne Bayo ni sawa na miezi mitatu na wiki mbili kwa hiyo mtoto upewa kiasi kile kile kama alichopewa kwenye chanjo ya kwanza na ya pili kwa hiyo wazazi na walezi wote wanapaswa kukumbuka kuweza kuwapeleka watoto ili waweze kumalizia chanjo.
5.Kw hiyo tunaona wazi umuhimu wa chanjo hiyo ya Pentavalent kwa sababu inatibu Magonjwa mengi sana kwa hiyo wale walio na imani kuhusu chanjo wanapaswa kuelewa umuhimu wa chanjo ili kuzuia kuwepo kwa magonjwa yanayozuiwa kwa chanjo kwa hiyo pia walezi na wazazi wanapaswa kuwapeleka watoto wao kliniki ili wapate chanjo kwa hiyo wanapaswa kuachana na uzembe usiokuwa na maana na kusababisha Magonjwa.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 ai web app 👉5 web hosting 👉6 Kitabu cha Afya
Post zinazofanana:
Visababishi vya magonjwa.
Posti huu inahusu zaidi visababishi mbalimbali vya magonjwa, tunajua wazi kuwa ugonjwa ni hali ya kutokuwa kawaida kwa ogani mbalimbali kwenye mwili na kusababisha mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.
Soma Zaidi...Jinsi mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi
Post hii inahusu zaidi namna mimba inavyotungwa mpaka mtoto kuingia kwenye mfuko wa uzazi, mimba kutungwa ni kitendo ambapo mbegu za kiume kuungana na yai la kike na kutengeneza zygote.
Soma Zaidi...Uvimbe kwenye utandu laini uliopo tumboni (peritonitis)
Posti hii inazungumzia kuhusiana na Uvimbe au mashambulizi ya bacteria kwenye utando laini uliopo tumboni ambao kitaalamu hujulikana Kama peritonitis.
Soma Zaidi...Zijue sababu za kupungukiwa damu mwilini
Posti hii inahusu zaidi tatizo la kupungukiwa damu mwilini, ni ugonjwa unaotokana sana hasa kwa watoto wadogo chini ya miaka mitano ingawa na kwa watu wazima.
Soma Zaidi...Imani potofu kuhusu kifua kikuu
Posti hii inahusu zaidi imani potofu waliyonayo Watu kuhusu ugonjwa wa kifua kikuu, hizi ni imani ambazo uwepo kwenye jamii na pengine uweza kuaminika lakini si za ukweli.
Soma Zaidi...Utajuwaje kama kidonda kupona
Posti hii inahusu zaidi juu ya kuhakiki kama kidonda kimepona kwa mgonjwa mwenye vidonda, kwanza kabisa tunajua kuwa vidonda uwanyima Watu raha na pengine kuwafanya wakate tamaa kama wapo hospitalini kwa hiyo tunapaswa kutumia njia zifuatazo ili kuweza ku
Soma Zaidi...