Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Sababu za kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara katika mwezi mmoja.
1.Mabadiliko ya homoni.
Mara nyingine hedhi za mara kwa mara utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni, homoni nyingine baada ya kuruhusu yai moja Litoke kwa mwezi mmoja uweza kuruhusu mayai mawili ndani ya mwezi mmoja na hali hiyo usababisha msichana au mama kupata hedhi mara mbili kwa mwezi mmoja.
2.Kukua kwa mfuko wa kizazi.
Hali hii uwapata sana wale wanaoanza kuingia kwenye hedhi wanaweza kupata hedhi mara mbili ni kwa sababu mfuko wa uzazi unakuwa unakomaa au pengine wanaweza kukosa kwa miezi miwili au mitatu ya mwanzo na baadaye hali inakuwa kawaida wasiogope hali hiyo ni ya kawaida utokea na mara maisha yanaendelea.
3.Kwa wanawake wanaotumia vitanzi.
Hawa ni wale wanaotumia njia hii ya uzazi wa mpango na uweza kuingia kwenye siku zao za mwezi mara moja zaidi na baadae hali uwa kawaida ni kwa sababu ya mabadiliko kwenye mwili kwa sababu ya kitu kilichoingilia mfumo wa via vya uzazi na mabadiliko utokea kwa mda kama miezi miwili hivi na baadae hali inaendelea kama kawaida.
4.Kuwepo kwa maambukizi kwenye mfuko wa uzazi , kama kunaagonjwa au kuwepo kwa uvimbe usababisha pi mtu kuingia kwenye siku zake za mwezi mara mbili au zaidi kwa mwezi mmoja, kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima maambukizi mara kwa mara ili kuangalia kama kuna mambukizi au kama kuna uvimbe wowote unaosababisha mwanamke kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Kuuma mwa matiti ni moka ya Ichiro kuwa huwenda ni ujauzito. Hii haimaanishi etindio mjamzito, zipo dalili nyingi za ujauzito. Hata hivyo kuona dalili za ujauzito haimaanishi umepata tayari ujauzito. Kwanza fanya vipimondipo Upate uhakika
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali ambayo yanapelekea Mjamzito kutokwa na damu, hizi ni baadhi ya sababu ambazo usababisha Mjamzito kutokwa na damu.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu kwa wanawake kabla ya kubeba mimba,Ni mambo ya kuzingatia ili mama akija kubeba mimba awe mzima kimwili, ki afya na kisaikolojia na hivyo hivyo Mtoto atakayezaliwa atakuwa salama.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi njia za kutibu kuharisha kwa watoto wakiwa nyumbani, kwa sababu mara nyingine mtoto anaweza kuharisha si kwa sababu ya kuwepo kwa Maambukizi ila ni uchafu tu kwa hiyo njia muhimu zinazofaa kutibu mtoto ni pamoja na yafuatayo.
Soma Zaidi...Saratani ya matiti ji moja kati ya saratani zinazosumbuwa wqnawake wengi. Katika somo hili utajifunza chanzo cha kutokea saratani ya matiti
Soma Zaidi...Majimaji msule sehemu za siriyanaweza kuashiria mambo mengi ka mwanamke. Ikiwemo ujauzitina maradhi. Pia yanaweza kuashiria kuwa mwanamke unaweza kuoatavujauzito amalaa.
Soma Zaidi...Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa
Soma Zaidi...Posti hii inaelezea kiufupi kabisa kuhusiana na Dalili za hatari kwa mama aliyejifungua.
Soma Zaidi...Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito.
Soma Zaidi...