Sababu za kupata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.

Sababu za kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara katika mwezi mmoja.

1.Mabadiliko ya homoni.

Mara nyingine hedhi za mara kwa mara utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni, homoni nyingine baada ya kuruhusu yai moja Litoke kwa mwezi mmoja uweza kuruhusu mayai mawili ndani ya mwezi mmoja na hali hiyo usababisha msichana au mama kupata hedhi mara mbili kwa mwezi mmoja.

 

2.Kukua kwa mfuko wa kizazi.

Hali hii uwapata sana wale wanaoanza kuingia kwenye hedhi wanaweza kupata hedhi mara mbili ni kwa sababu mfuko wa uzazi unakuwa unakomaa au pengine wanaweza kukosa kwa miezi miwili au mitatu ya mwanzo na baadaye hali inakuwa kawaida wasiogope hali hiyo ni ya kawaida utokea na mara maisha yanaendelea.

 

3.Kwa wanawake wanaotumia vitanzi.

Hawa ni wale wanaotumia njia hii ya uzazi wa mpango na uweza kuingia kwenye siku zao za mwezi mara moja zaidi na baadae hali uwa kawaida ni kwa sababu ya mabadiliko kwenye mwili kwa sababu ya kitu kilichoingilia mfumo wa via vya uzazi na mabadiliko utokea kwa mda kama miezi miwili hivi na baadae hali inaendelea kama kawaida.

 

4.Kuwepo kwa maambukizi kwenye mfuko wa uzazi , kama kunaagonjwa au kuwepo kwa uvimbe usababisha pi mtu kuingia kwenye siku zake za mwezi mara mbili au zaidi kwa mwezi mmoja, kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima maambukizi mara kwa mara ili kuangalia kama kuna mambukizi au kama kuna uvimbe wowote unaosababisha mwanamke kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 10636

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉2 Simulizi za Hadithi Audio    👉3 Bongolite - Game zone - Play free game    👉4 kitabu cha Simulizi    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Kitabu cha Afya   

Post zinazofanana:

Uchafu unaotoka ukeni na rangi zake.

Posti hii inahusu zaidi uchafu unaotoka ukeni na rangi zake, kwa kawaida ukeni utolewa uchafu, uchafu huo unaweza kuwa kawaida na unaweza kuwa na rangi mbalimbali kutokana na kuwepo kwa Maambukizi.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango zinazomhusisha mwanaume

Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango unavyofanya na mwanaume kushiriki, ni njia ambayo umfanye mwanaume awe mhusika hasa wakati wa kujamiiana.

Soma Zaidi...
Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone

Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia kwa mtoto mara tu anapozaliwa

Posti hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia kwa mtoto pindi anapozaliwa,tunajua wazi kuwa mtoto anapoanza kutokeza kichwa tu ndio mwanzo wa kuanza kumtunza mtoto na kuhakikisha anafanyiwa huduma zote za muhimu na zinazohitajika.

Soma Zaidi...
je ute wa uzazi uanza kuonekana siku ya 14 tu au kabla ? Na je mimba ya siku tatu inaweza kucheza?

Miongoni mwa dalili zamwanzo za ujauzito ni maumivu ya tumbo ama kupatwa na damu kidogo. Mabadiliko ya ute ute sehemu za siri ni katika baadhi ya dalili. Endelea na makala hii utajifunza zaidi.

Soma Zaidi...
Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa

Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye

Soma Zaidi...
Nini kinasababisha uume kutoa maji meupe bila muwasho,na tiba yake ni ipi

Je unasumbuliwa na Majimaji kwenye uume. Je unapata miwasho, ama maumivu wakati wakukojoa.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kujikinga na maradhi ya ini

Katika post hii utakwenda kujifunza jinsi ambavyo utaweza kujiepusha na maradhi ya ini

Soma Zaidi...
DARASA LA AFYA NA AFYA YA UZAZI

Jifunze mengi kuhusu Afya, kuwa nasi kwenye makala hii hadi mwisho.

Soma Zaidi...