Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi mmoja, mara nyingi kuna Watu ambao huwa wanalalamika kwa sababu ya kupata hedhi za mara kwa mara kwa mwezi mmoja.
Sababu za kuwepo kwa hedhi za mara kwa mara katika mwezi mmoja.
1.Mabadiliko ya homoni.
Mara nyingine hedhi za mara kwa mara utokea kwa sababu ya kuwepo kwa mabadiliko ya homoni, homoni nyingine baada ya kuruhusu yai moja Litoke kwa mwezi mmoja uweza kuruhusu mayai mawili ndani ya mwezi mmoja na hali hiyo usababisha msichana au mama kupata hedhi mara mbili kwa mwezi mmoja.
2.Kukua kwa mfuko wa kizazi.
Hali hii uwapata sana wale wanaoanza kuingia kwenye hedhi wanaweza kupata hedhi mara mbili ni kwa sababu mfuko wa uzazi unakuwa unakomaa au pengine wanaweza kukosa kwa miezi miwili au mitatu ya mwanzo na baadaye hali inakuwa kawaida wasiogope hali hiyo ni ya kawaida utokea na mara maisha yanaendelea.
3.Kwa wanawake wanaotumia vitanzi.
Hawa ni wale wanaotumia njia hii ya uzazi wa mpango na uweza kuingia kwenye siku zao za mwezi mara moja zaidi na baadae hali uwa kawaida ni kwa sababu ya mabadiliko kwenye mwili kwa sababu ya kitu kilichoingilia mfumo wa via vya uzazi na mabadiliko utokea kwa mda kama miezi miwili hivi na baadae hali inaendelea kama kawaida.
4.Kuwepo kwa maambukizi kwenye mfuko wa uzazi , kama kunaagonjwa au kuwepo kwa uvimbe usababisha pi mtu kuingia kwenye siku zake za mwezi mara mbili au zaidi kwa mwezi mmoja, kwa hiyo ni vizuri kabisa kupima maambukizi mara kwa mara ili kuangalia kama kuna mambukizi au kama kuna uvimbe wowote unaosababisha mwanamke kuingia kwenye siku zake za mwezi zaidi ya mara moja
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Uzazi wa Mpango hutoa chaguo kwa familia kuwa na idadi ya watoto wanaotaka katika muda maalum, wanahisi na mbinu iliyoamuliwa. Uzazi wa mpango una faida kadhaa kwa mama wa mtoto, wanandoa na jamii Ujuzi wa mzunguko wa hedhi humwezesha mtoa huduma kumshaur
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi, tunajua kabisa wakati wa hedhi damu inapaswa kuwa nyepesi na ya kawaida ila kuna wakati mwingine inakuwa na mabonge zifuatazo ni sababu za kuwepo kwa mabonge ya damu wakati wa hedhi.
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na Kufunga kizazi kwa wanawake.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi vyanzo vya kuharibika kwa mimba kuanzia miezi zero mpaka miezi mitatu, kwa sababu hii ni miezi ya kwanza kabisa Kuna sababu au vyanzo vya kuharibika kwa mimba katika kipindi hiki.
Soma Zaidi...Nini humaanisha kama chuchu zinauma na hupati period mwanaidi mrefu.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi aina mbalimbali za mimba kutoka, hizi ni jinsi mimba inavyoonyesha dalili za kutoka na nyingine zinaweza kuonyesha dalili Ila kwa sababu ya huduma mbalimbali za kwanza hizo mimba zinaweza kudhibiiwa na mtoto akazaliwa.
Soma Zaidi...Tendo la ndoa wakati wa siku za hedhi ni halia mbayo jamii nying zinakataza. Katika vitabu vya dini pia haviruhusu, hata ki saikolojia utaona kuwa sio jambo jema. Hata hivyo hapa ninakuletea madhara yake kiafya
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mda ambao mama anapaswa kukaa bila kufanya tendo la ndoa mara tu baada ya kujifungua.
Soma Zaidi...Hizi ni siku hatari kwa mwanamke ambazo ni ahisi kwake kubeba mimba, siku nitakueleza ni zipi na ni zipi sifa zake
Soma Zaidi...Unaweza kupitiliza siku zako za hedhi kwa sababu nyingi. Post hii itakueleza ni kwa nini umechelewa kupata siku zako.
Soma Zaidi...