Sababu za kushuka kwa surat Dhuha

Sura hii imetermka Makkah na ina aya 11. Sura hii ni moja ya sura ambazo zimeshuka mwanzoni wakati ambapo Mtume ameanza kazi ya utume.

Surat Dhuha ni sura iliyoshuka Makkah siku za mwanzoni za kulingana Ummah.  Sura hii imekuja kuwa kama faraja kwa Mtume kuwa kutokana na yale yaliyokuwa yakitokea kama changamoto za kulingania dini. 

 

Sura hii ilishuka wakati ambao wahay ulisimama. Hivyo iliposhuka sura hii Mtume s.sa. w alifurahi sana. Kwani makafiri walikuwa wakimwambia Mtume kuwa amekasirikiwa na Mola wake. 

 

Sura hii na sifa inayofuatwa zinampa daraja Mtume na kumuimarisha katika kazi ya kukibgania dini ya Allah. 

 

Sura hii pia imetaja baadhi ya neema ambazo Allah amrmpatia Mtume wake.  Kisha okampa fundisho kuwa asimkemee wala kumkasirikia yatima ama mtu mwenye kuomba. Mwisho sura ikamtaka Mtume s.sa. w awe anahadithia neema alizopewa na Allah. 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Quran Main: Dini File: Download PDF Views 2085

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Dua za Mitume na Manabii    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

fadhila za sura kwenye quran

FADHILA ZA BAADHI YA SURA Umuhimu na ubora wa baadhi ya sura na aya.

Soma Zaidi...
Makundi ya Id-ghamu katika usomaji wa Quran Tajwid

Kama tulivyoona kuwa id-ghamu ipo katika aina kuu mbili ambazo ni id-ghamu bighunnah na id-ghamu bighair ghumnah. Sasa hapa tutajifunza makundi mengine ya idhgamu.

Soma Zaidi...
surat al mauun

SURATUL-MAM’UUN Imeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki, hivyo siku moja yatima mmoja alikuja kwake na kumlilia shida, na hakumsaidia kwa chochote na hatimaye akampiga yat..

Soma Zaidi...
Aina za Madd far-iy

Mada zipo katika makundi mawili ambayo ni madda far-iy na mdada twab-iy.

Soma Zaidi...