Sababu za kushuka kwa surat Dhuha
Sura hii imetermka Makkah na ina aya 11. Sura hii ni moja ya sura ambazo zimeshuka mwanzoni wakati ambapo Mtume ameanza kazi ya utume.
Surat Dhuha ni sura iliyoshuka Makkah siku za mwanzoni za kulingana Ummah. Sura hii imekuja kuwa kama faraja kwa Mtume kuwa kutokana na yale yaliyokuwa yakitokea kama changamoto za kulingania dini.
Sura hii ilishuka wakati ambao wahay ulisimama. Hivyo iliposhuka sura hii Mtume s.sa. w alifurahi sana. Kwani makafiri walikuwa wakimwambia Mtume kuwa amekasirikiwa na Mola wake.
Sura hii na sifa inayofuatwa zinampa daraja Mtume na kumuimarisha katika kazi ya kukibgania dini ya Allah.
Sura hii pia imetaja baadhi ya neema ambazo Allah amrmpatia Mtume wake. Kisha okampa fundisho kuwa asimkemee wala kumkasirikia yatima ama mtu mwenye kuomba. Mwisho sura ikamtaka Mtume s.sa. w awe anahadithia neema alizopewa na Allah.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Dua za Mitume na Manabii 👉2 ai web app 👉3 Madrasa kiganjani 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 web hosting 👉6 Tafasiri ya Riyadh Swalihina
Post zinazofanana:
Kitabu Cha Darsa za Quran
Kupata kitabu hiki download faili la PDF hapo chini na usome bila ya internet.
Soma Zaidi...Tofauti kati ya sura za makkah na madinah
Quran (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...HUKUMU ZA TAFKHIIM NA TARQIQ
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...Fadhila za kusoma surat al Baqarah
Surat al Baqarah ni katika sura ambazo tunapaswa tuwe tunasoma mara kwa mara. Post hii itakufundisha kuhusu fadhila za sura hii.
Soma Zaidi...Amri ya Kuchinja Ng'ombe
Kutokana na kuishi kwao Misr kwa muda mrefu, Mayahudi waliathiriwa na ibada za kishirikina za Wamisr.
Soma Zaidi...