Asbab nuzul surat al bayyinh. Sura hii imeteremka Madina na ina aya nane.
Surat al bayyinah imeshuka Madina kwa maelezo ya Jamhuri ya wanazuoni akiwemo Ibn Abas. Hata hivyo wapo ambao wamesema imeshuka Makka kwa kauli ya Yahya Ibn Sallaam (Tafsir qurtub).
Sura hii iliposhuka Mtume s. a.w aliamrishwa amsomee Ubayya.
عَنْ أَنَس٠بْن٠مَالÙك٠قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠ﷺ Ù„ÙØ£Ùبَيّ٠بْن٠كَعْبÙ: "Ø¥Ùنَّ اللَّهَ أَمَرَنÙÙŠ أَنْ أَقْرَأَ عَلَيْكَ: " لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙن٠الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا " قَالَ: وَسَمَّانÙÙŠ Ù„ÙŽÙƒÙŽØŸ قَالَ: "نَعَمْ". Ùَبَكَى.
وَرَوَاه٠الْبÙخَارÙيّÙØŒ ÙˆÙŽÙ…ÙسْلÙمٌ، وَالتّÙرْمÙØ°ÙيّÙØŒ وَالنَّسَائÙيّÙØŒ Ù…Ùنْ ØَدÙيث٠شÙعْبَةَ، بÙÙ‡Ù .
Imepokewa hadithi kutoka kwa Anas Ibn Malik kuwa amesema Mtume s.a. w kumwambia Ubayya Ibn Ka‘ab "Hakika Allah ameniamuru nikusomee (sura hii) lam yakun ladhiina kafaruu" akasema Ubayya "na nimetajwa kwa jina? " akasema Mtume "naam" hapo akalia kwa furaha (Bukhari na Muslim).
Sababu za kushuka sura hii
Hakuna tukio maalumu lilopelekea kushuka sura hii. Hata hivyo sura ipo wazi inaonyesha dhahiri kike ambacho kilikuwa kikiaminiwa na ahalul kitab na washirikina.
Sura inaeleza kuwa hapo awali Ahalul kitab na washirikina walikuwa wakiamini kuwa atakuja mtume wa Mwisho. Mahubiri haya yalikuwa yakitolewa na Mayahudi na Wakristo kuwaambia waumini wao na waarabu.
Lakini Mtume wa mwisho alipokuja wakamkataa na kumpinga. Alikuwa wakipinga ukweli kwa sababu ya chuki zao.
Allah anasema katika sura hii: -
(وَمَا تَÙَرَّقَ ٱلَّذÙینَ Ø£ÙوتÙوا۟ ٱلۡكÙتَـٰبَ Ø¥Ùلَّا Ù…ÙÙ†Û¢ بَعۡد٠مَا جَاۤءَتۡهÙم٠ٱلۡبَیّÙÙ†ÙŽØ©Ù)
[Surah Al-Bayyinah 4]
Wala hawakufarikiana walio pewa Kitabu ila baada ya kuwajia hiyo bayana.
Mwisho kwa uovu huu wa kufarikiana na haki baada ya kuwajia bayana (uwazi na ukweli wa mambo) Allah amewaahidi kukaa maisha ya Motoni milele.
Fadhila za sura hii
kuhusu fadhila za sura hii, kuna hadithi nyingi lakini zinatikiwa shaka usahihi wake. Miongoni mwazo kuna inayosema kuwa sura hii haisomwi na mtu mnafiki wala mtu ambaye ana shaka juu ya Mwenyezi Mungu na kuwa Malaika wanaosoma sura hii na mwenye kuisoma Allah atampa Malaina wamuhifadhi…. Hadithi hii sio sahihi. Angalia Matini ya hadithi hapo chini.
عَنْ أَبÙÙŠ الدَّرْدَاءÙØŒ قَالَ: قَالَ رَسÙول٠اللَّه٠صَلَّى الله: (لو يعلم الناس ما ÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙÙ†Ù [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا Ù…Ùنْ أَهْل٠الْكÙتَابÙ،، لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ، ÙَتَعَلَّمÙوهَا) Ùَقَالَ رَجÙÙ„ÙŒ Ù…Ùنْ Ø®Ùزَاعَةَ: وَمَا ÙÙيهَا Ù…ÙÙ†ÙŽ الْأَجْر٠يَا رَسÙولَ اللَّهÙØŸ قَالَ: (لَا يَقْرَؤÙهَا Ù…ÙنَاÙÙÙ‚ÙŒ أَبَدًا، وَلَا عَبْدٌ ÙÙÙŠ قَلْبÙه٠شَكٌّ ÙÙÙŠ اللَّهÙ. وَاللَّه٠إÙنَّ الْمَلَائÙÙƒÙŽØ©ÙŽ المقربين يقرءونها منذ خلق الله السموات وَالْأَرْضَ مَا ÙŠÙŽÙْتÙرÙونَ Ù…Ùنْ Ù‚ÙرَاءَتÙهَا. وَمَا Ù…Ùنْ عَبْد٠يَقْرَؤÙهَا Ø¥Ùلَّا بَعَثَ اللَّه٠إÙلَيْه٠مَلَائÙكَةً ÙŠÙŽØÙ’ÙَظÙونَه٠ÙÙÙŠ دÙينÙه٠وَدÙنْيَاهÙØŒ وَيَدْعÙونَ لَه٠بÙالْمَغْÙÙرَة٠وَالرَّØْمَة٠(. قَالَ الْØَضْرَمÙيّÙ: ÙَجÙئْت٠إÙÙ„ÙŽÙ‰ أَبÙÙŠ عَبْد٠الرَّØْمَن٠بْن٠نÙمَيْرÙØŒ Ùَأَلْقَيْت٠هَذَا الْØَدÙيثَ عَلَيْهÙØŒ Ùقال: هذا قَدْ ÙƒÙŽÙَانَا مَئÙونَتَهÙØŒ Ùَلَا تَعÙدْ Ø¥ÙلَيْهÙ. قَالَ ابْن٠الْعَرَبÙيّÙ:" رَوَى Ø¥ÙسْØَاق٠بْن٠بÙشْر٠الْكَاهÙÙ„Ùيّ٠عن مالك ابن أَنَسÙØŒ عَنْ ÙŠÙŽØْيَى بْن٠سَعÙيدÙØŒ عَن٠ابْن٠الْمÙسَيَّبÙ: عَنْ أَبÙÙŠ الدَّرْدَاءÙØŒ عَن٠النَّبÙيّ٠ﷺ: (لَوْ يَعْلَم٠النَّاس٠مَا ÙÙÙŠ [لَمْ ÙŠÙŽÙƒÙنْ [الَّذÙينَ ÙƒÙŽÙَرÙوا لَعَطَّلÙوا الْأَهْلَ وَالْمَالَ وَلَتَعَلَّمÙوهَا) . ØَدÙيثٌ بَاطÙÙ„ÙŒ
Angalia Tafsir Qurtub
Khabari njema kwa waumini
Mwisho sura inatia habari za furaha kuwa waliamini na kufanya vitendo vizuri yaani amali njema malipo yao ni pepo na wakae humo milele.
Je! umeipenda hii post?
Ndio Hapana Save post
Rajabu
Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF
Share On
Facebook
or
Whatsapp
Imesomwa mara 1898
Sponsored links
👉1 Madrasa kiganjani
👉2 Kitabu cha Afya
👉3 kitabu cha Simulizi
👉4 Kitau cha Fiqh
Qur-an Yenyewe Inajieleza kuwa ni Ufunuo Kutoka kwa Allah (s.w)
(ii)Qur-an Yenyewe Inajieleza kuwa ni Ufunuo Kutoka kwa Allah (s. Soma Zaidi...
HUKUMU ZA MIIM YENYE SAKINA (MIIM SAKINA)
HUKUMU ZA MIYM YENYE SAKNA : Mym sakina ni miym ambayo haina i’rab ( مْ). Soma Zaidi...
HUKUMU ZA TAFKHIIM NA TARQIQ
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa Soma Zaidi...
Kukosolewa Mtume (s.a.w) katika Qur-an ni Ushahidi Mwingine kuwa Qur-an ni Kitabu cha Allah (s.w):
(v)Kukosolewa Mtume (s. Soma Zaidi...
Kushuka na kuhifadhiwa kwa quran, hatua kwa hatua: mafunzo ya baadhi ya sura za quran
QUR’AN 5. Soma Zaidi...
Kutokea Kweli Matukio yaliyotabiriwa katika Qur-an
Soma Zaidi...
quran na tajwid
TAJWID Utangulizi wa elimu ya Tajwid YALIYOMO SURA YA 01 . Soma Zaidi...
MAANA YA Quran
Maana na majina ya Quran Maana ya Wahyi. Soma Zaidi...
Sababu za kushuka sural Masad (tabat haraka)
Sura hii inazungumzia kuhusu hali ya Abulahab namke wake wakiwa kama Watu waovu. Ni moja katika sura ambazo zilishuka mwanzoni toka Mtume alipoamrishwa kulingana dini kwa uwazi. Soma Zaidi...
Wanaadamu kushindwa Kuandika Kitabu Mithili ya Qur-an:
Soma Zaidi...
Sababu za kushuka Surat al Kafirun
Sura hii imekuja kukata rai ya Makafiri wa Makka kuhusu ibada ya ushirika. Hivi leo tungesema kuhusu dini mseto. Soma Zaidi...
Ni ipi aya ya mwisho kushuka katika Quran?
Maulamaa katika elimu ya Quran wametofautiana juu ya aya ya mwisho kushuka. Hata hivyo hapa nitakutajia ambayo imependekezwa zaidi Soma Zaidi...