Sababu za kushuka surat al qadir
Asbab nuzul surat al qadi. Hii ni sura ya 97 katika mpangilio wa mashaf. Surat al qadir imeteremshwa Madina na ina aya 5.
Kwa kauli ya Jamhuri sura hii imeshuka Madina. Zipo baadhi ya kauli kuwa ni ya Madina.
وَذَكَرَ Ø§Ù„Ù’ÙˆÙŽØ§Ù‚ÙØ¯ÙŽÙŠÙ‘٠أَنَّهَا أَوَّل٠سÙورَة٠نَزَلَتْ Ø¨ÙØ§Ù„ْمَدÙينَةÙ. ÙˆÙŽÙ‡ÙÙŠÙŽ خَمْس٠آيَاتÙ.
Na katika kauli nyingine ni kuwa hii ndio sura ya kwanza kushuka Madina. Angalia tafsir al qurtub.
Asbab nuzuli - sababu zakushuka
عَنْ Ù…ÙØ¬ÙŽØ§Ù‡Ùد٠قَالَ : ذَكَرَ النَّبÙيّ٠صَلَّى اللَّه٠عَلَيْه٠وَسَلَّمَ رَجÙلًا Ù…Ùنْ بَنÙÙŠ Ø¥ÙØ³Ù’رَائÙيلَ Ù„ÙŽØ¨ÙØ³ÙŽ Ø§Ù„Ø³Ù‘ÙلَاØÙŽ ÙÙÙŠ سَبÙيل٠اللَّه٠أَلْÙÙŽ شَهْر٠، Ùَتَعَجَّبَ Ø§Ù„Ù’Ù…ÙØ³Ù’Ù„ÙÙ…Ùونَ Ù…Ùنْ ذَلÙÙƒÙŽ ØŒ Ùَأَنْزَلَ اللَّه٠تَعَالَى : ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙï´¾ . قَالَ : " خَيْرٌ Ù…ÙÙ†ÙŽ الَّتÙÙŠ Ù„ÙŽØ¨ÙØ³ÙŽ ÙÙيهَا السّÙلَاØÙŽ Ø°ÙŽÙ„ÙÙƒÙŽ الرَّجÙÙ„Ù " .
Amesema Mujahid kuwa Mtume s.a.w alimtaja Mtu mmoja katika wana wa Israel kuwa alivaa silaha za vita kwa ajili ya njia ya Allah (kupigana jihadi) kwa muda wa miaka elfu moja. Basi Waislamu (Masahaba) walistaajabu sana na habari hii basi hapo Allah akishika sura hii ï´¿Ø¥Ùنَّا أَنزَلْنَاه٠ÙÙÙŠ لَيْلَة٠الْقَدْر٠[1] وَمَا أَدْرَاكَ مَا لَيْلَة٠الْقَدْر٠[2] لَيْلَة٠الْقَدْر٠خَيْرٌ مّÙنْ أَلْÙ٠شَهْرÙ
Akasema Mtume "Ni bora kuliko yule mtu aliyevaa vazivla vita (kwa miaka elfu).
Usiku wa laylat al qadir
Usiku wa heshima. Katika sura 2:186 imesemwa ya kuwa Qur'an ilishuka katika mwezi wa Ramadhani. na katika sura hii inasemwa ya kuwa iliposhuka ilishuka katika usiku unaoitwa Lailat al-Qadir, yaani usiku wenye heshima. Sio mradi wake kuwa Qur'an yote ilishuka katika mwezi mmoja au usiku ule mmoja, bali mwanzo wa kushuka ilikuwa ni katika usiku wa Qadr wa mwezi wa Ramadhani na ikaendelea kushuka kwa miaka 23.
Siku moja Mtume aliambiwa na Mwenyezi Mungu usiku huu ni tarehe gani ya mwezi wa
Ramadhani. Alipokuwa akitoka ili kuwapa watu habari akakuta watu wanagombana na akaingia
kuwaamua. Katika kuamua, tarehe ile akaisahau, lakini akasema watu wanaweza kuitafuta Lailat
al-Qadr katika tarehe 21 au 23 au 25 au 27 au 29 ya mwezi wa Ramadhani (Bukhari). Lailat
al-Qadir huendelea mpaka alfajiri, ndiyo mwisho
Soma zaidi kuhusu usiku huu Bofya hapa
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 Simulizi za Hadithi Audio 👉2 Kitau cha Fiqh 👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉4 Kitabu cha Afya 👉5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) 👉6 Madrasa kiganjani
Post zinazofanana:
Ni zipi hukumu za nuni yenye sakina au tanwin?
Hapa utajifunza usomaji wa Quran pindi utakapokuta nuni yenyebsakina au tanwin
Soma Zaidi...Sababu za kushushwa kwa surat al-kafirum
SURATUL-KAFIRUN Imeteremshwa maka na inaelezwa katika sababu za kushuka kwake ni kuwa Kundi la makafiri lilimfuata mtume (s.
Soma Zaidi...Mtume Muhammad hakujuwa kusoma wala kuandika ni hoja na kuna hekima zake
(i)Mtume Muhammad (s.
Soma Zaidi...surat al mauun
SURATUL-MAM’UUN Imeteremshwa Maka, anasimulia Ibn Jurayj kuwa Abuu Sufyan ibn Harb alikuwa na kawaida ya kuchinja ngamia wawili kila wiki, hivyo siku moja yatima mmoja alikuja kwake na kumlilia shida, na hakumsaidia kwa chochote na hatimaye akampiga yat..
Soma Zaidi...Aina za Madda twabiy kwenye usomaji wa Quran
Madda zimegawanyika katika maeneo makuu mawili ambayo ni madda twabiy na madda fariy
Soma Zaidi...HUKUMU ZA MADD YAANI KUVUTA HERUFI KWENYE USOMAJI WA QURAN
Jifunze namna ya kusoma quran, pata mafunzo ya tajwid hapa
Soma Zaidi...