Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa

Posti hii inahusu zaidi sababu za kutangulia kwa kitovu wakati wa mtoto anapozaliwa.

Sababu za kutangulia kwa kitovu wakati Mtoto anazaliwa.

1. Kwa kawaida tunajua kuwa mtoto utanguliza kichwa ila kwa wakati mwingine Kuna uwezekano mkubwa wa mtoto kutanguliza kitovu, na kwa wakati mwingine kitovu hicho kinaweza kuja kimejivilingisha kwenye shingo na mtoto akipata shida wakati wa kutoka kitovu kinaweza kumniga akafariki au kama Kuna ujuzi zaidi kwa wataalamu wa afya mtoto anaweza kuokolewa kwa hiyo zifuatazo ni sababu za kitovu kutangulia wakati mtoto anapozaliwa.

 

 2. Jinsi mtoto alivyolala.

Kwa kawaida mtoto tunamtegemea aanze kutoa kichwa wakati wa kuzaliwa ila Kuna watoto wanatanguliza matako, kichwa, uso, mgongo na vitu kama hivyo ambavyo ni kawaida na kichwa kwa hiyo katika kujigeuza geuza Ili aweze kupata sehemu ya kutanguliza saa nyingine kitovu kinatanguli mbele kabla ya mtoto.

 

3. Mtoto kuwa zaidi ya mmoja.

Kwa wakati mwingine hasa kwa akina Mama ambao ujifungua mapacha kwa sababu ya kuwepo mtoto Zaid ya mmoja kila mtoto utafuta jinsi ya kutoka Ili aweze kuzaliwa kwa hiyo katika kiangaika Ili kupata nafasi usababisha kutangulia kwa kitovu badala ya kichwa.

 

4. Kupasuka kwa membrane kabla ya mtoto kuingiza kichwa kwenye mlango wa kizazi.

Kuna wakati mwingine chupa upasuka mapema sana kabla ya mtoto kuingiza kichwa kwenye mlango wa kizazi hali hii nayo usababisha mtoto kutanguliza kitovu.

 

5. Muundo wa mlango wa kizazi.

Pengine Kuna akina Mama wameumbwa tofauti kabisa na kuwa na uwezo wa kupitisha mtoto na akifika wakati wa kusukuma mtoto hawezi kupita ingawa anahisi uchungu na sifa zote za kujifungua anakuwa Nazo katika kuangaika anajikuta mtoto ashatanguliza kitovu.

 

6. Kwa hiyo hali hii ni ya hatari endapo wahudumu wa afya hawana utaalamu wa kugundua mapema tatizo hili, ni vizuri kuligundua Ili kuweza kuokoa maisha ya Mama na mtoto wakati Mama akiwa anajifungua.

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/05/23/Monday - 06:39:31 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1490

Post zifazofanana:-

Namna ya kutumia vidonge vya ARV
Post hii inahusu zaidi matumizi ya vidonge vya ARV, ni vidonge vinavyotumiwa na wagonjwa waliopata ugonjwa wa Ukimwi Soma Zaidi...

Hatua za kufuata baada ya kuhisi kuwa umeambukizwa na virusi vya HIV
Posti hii inahusu zaidi hatua za kufuata unapohisi umeambukizwa na virus vya ukimwi. Kwa sababu watu wengi wanakuwa na kiwewe anapohisi ameambukizwa na virus vya ukimwi kwa hiyo wanapaswa kufanya yafuatayo. Soma Zaidi...

Yajue magonjwa ya kurithi.
Posti hii inahusu zaidi Magonjwa vya kurithi ambayo mara nyingi utokea kwenye jamii ni magonjwa ambayo yanaweza kutokea kwenye familia na wanafamilia walio wengi wakaweza kupata ugonjwa huo Magonjwa yenyewe ni kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Kucha langu LA mguu linang'ooka...nini chaweza kuwa tatizo
Je na wewe unasumbukiwa na kunggoka jwa kucha. Tatizo limekunaza una muda gani nalo? Soma Zaidi...

Mambo yanayodhihirisha afya ya nguvu za kiume
Posti hii inahusu zaidi mambo mbalimbali yanayodhoofisha afya za wanaume, kwa wakati mwingine wanaume ukosa kujiamini kwa sababu ya mambo ambayo yanaadhiri afya za wanaume. Soma Zaidi...

Aina za swala..
Nguzo za uislamu,aina za swala (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Malengo ya elimu katika uislamu
Nini malengo ya elimu katika uislamu(EDK form 1, malengo ya elimu katika uislamu Soma Zaidi...

Njia za uzazi wa mpango kwa akina Mama kuanzia miezi sita baada ya kujifungua mpaka mwaka mmoja
Posti hii inahusu zaidi njia za uzazi wa mpango kwa mama aliyejifungua kuanzia miezi sita mpaka mwaka mmoja. Soma Zaidi...

Zijue kazi za madini ya chuma mwilini
Posti hii inahusu zaidi kazi za madini ya chuma mwilini,Ni madini ambayo ufanya kazi mbalimbali mwilini na pia utokana na vyakula mbalimbali ambavyo upatikana kwenye wanyama na mimea. Zifuatazo ni kazi za madini ya chuma. Soma Zaidi...

Dawa ya UTI
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dawa ya UTI Soma Zaidi...

Faida kuu 10 za kula matunda na mboga mwilini - kwa nini ni muhumu kula matunda?
Makala hii inakwenda kukutajia sababau kuu 10 ambazo zinaonyesha umuhimu wa kula matunda kiafya. kwa nini kiafya unashauriwa ule matunda na mboga mara kwa mara? Soma Zaidi...

Dalili za maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa Damu.
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa damu, kwa kawaida wakati wa mazoezi. Wakati mwingine huitwa upenyo wa vipindi, hali hii kwa ujumla huathiri mishipa ya damu kwenye miguu, lakini upenyo unaweza kuathiri mi Soma Zaidi...