Sababu za kuwa na fangasi ukeni
Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwa na fangasi ukeni, ni vitu ambavyo usababisha fangasi ukeni kama ifuayavyo.
Sababu za maambukizi ya fangasi ukeni
1.Matumizi ya antibiotics
Kwenye mwili wa binadamu Kuna bakteria ambao ni wazuri na utukinga na maradhi lakini tujue kuwa kazi ya antibiotics ni kuwa bakteria ambao usababisha maambukizi pengine antibiotics uua na bakteria ambaye ulienda mwili wa binadamu na kusababisha madhara ya kuingia kwa fangasi ukeni.
2.Matazizo ya homone
Wakati mwingine homoni ubadilika katika kufanya kazi yake hasa kwenye via vya uzazi na kusababisha madhara ya kubadili pH ya kwenye uke hali ya kubadilika kwa pH kwenye uke usababisha maambukizi na fangasi ushambulia uke.
3.Kufanya mapenzi na mtu mwenye fangasi,
Hii utokea pale mtu mwenye fangasi anapofanya mapenzi na mtu asiye na fangasi,kwa hiyo fangasi kutoka kwa mtu mwingine na kwenda kwa mwingine na wasipotibiwa wanaweza kuambukizwa na watu wengine.
4. Kushuka kwa kinga ya mwili
Kwa kawaida tunajua kuwa kinga ya mwili ikishuka kila ugonjwa unyemelea kwa hiyo kinga ya mwili ikishuka usababisha maambukizi kwenye uke ambapo fangasi uanza kuamka na kushambuliwa sehemu za Siri na kuleta madhara makubwa kwa watu wenye upungufu wa kinga mwilini.
5. Kutumia sana vyakula vyenye sukari
Vyakula vyenye sukari kama vile, pipi, chocolate, sukari nyingi kwenye vinywaji, soda navyakula vyote vyenye sukari vikitumiwa kwa kiwango kikubwa usababisha mwili wote kujaa sukari na wadudu uenea sana kwenye eneo lile hasa fangasi uenea kwenye uke
6. Kuosha sana sehemu za Siri
Kitendo Cha kuosha sana sehemu za Siri hasa kwa kutumia sabuni zenye kemikali kali usababisha kuuua bakteria wazuri na kubakiza hawa wanaosababisha magonjwa na wanakuwa na kuongezeka kwa hiyo maambukizi yanakuwa mengi zaidi.kwa hiyo tunapaswa hi kuacha kutumia vipodozi vikali kuoshea sehemu za Siri.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 web hosting 👉2 Tafasiri ya Riyadh Swalihina 👉3 kitabu cha Simulizi 👉4 Bongolite - Game zone - Play free game 👉5 ai web app 👉6 Kitau cha Fiqh
Post zinazofanana:
Kazi za vitamini B mwilini Na upungufu wa vitamini B mwilini
vitamini B vipo katika makundi mengi kma aB1, B2, B3, B5, B6, B7 na B12. Makala hii itakwenda kukutajia kazi kuu za Vitamini B katika miili yetu
Soma Zaidi...Faida za kiafya za kula panzi, senene na kumbikumbi
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula senene, panzi na kumbikumbi
Soma Zaidi...Faida za kula maini
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kula maini
Soma Zaidi...Faida za vyakula vya asili
Posti hii inahusu zaidi faida za matumizi ya vyakula vya asili, kama tunavyojua kwamba mababu na mabibi zetu walitumia vyakula vya asili wakaishi miaka mingi kweli.
Soma Zaidi...