image

Sababu za kuwepo fangasi ukeni

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa Ugonjwa wa fangasi,ni sababu mbalimbali ambazo zinaweza kusababisha fangasi.

Sababu za kuwepo kwa fangasi ukeni.

1. Mabadiliko ya homoni yaani vichocheo.

Kuna wakati mwingine vichocheo vya mwili usababisha kuwepo kwa fangasi ukeni hasa wakati wa uchevushaji wa mayai,uja uzito, uzazi wa mpango na kukoma kwa hedhi, kutokana na hali hizo usababisha kuwepo kwa fangasi.

 

2. Kuwepo kwa upungufu wa kinga mwilini.

Kwa kawaida kinga ya mwili ikipungua kila ugonjwa unakuwepo kwa hiyo watu wale wenye magonjwa ya kupunguza kinga ya mwili wako kwenye hatari Kupata fangasi za ukeni ,kama vile wenye kansa, Ukimwi na magonjwa makubwa makubwa wako kwenye hatari ya kupata tatizo la fangasi ukeni.

 

3. Wenye ugonjwa wa kisukari.

Kwa kawaida walio na Ugonjwa wa kisukari wana sukari nyingi mwilini kwa hiyo na fangasi wanapenda sana sukari na pia wenye kisukari hasa cha mda mrefu wanakuwa katika hatari ya kupungua kwa kinga ya mwili.

 

4. Kuwepo kwenye mazingira ya joto.

Kwa kawaida watu wanaopenda  kuvaa nguo zinazoingiza joto hasa za siri wako kwenye hatari ya kupata tatizo la fangasi ukeni, kwa hiyo ni vizuri kuvaa nguo ambazo haziruhusu joto kuingia kwenye shehemu za siri.

 

5. Matumizi ya kondomu na mbegu za kiume.

Kwa wale wote wanaotumia sana kondomu wakati wa kujamiiana wako katika hatari ya kupata fangasi ukeni.

 

6. Walio na vidonda kwenye sehemu za siri.

Kwa sababu ya kuwepo kwa wa aina ya  uwazi kwenye sehemu za siri kama vile vidonda ni rahisi sana kuingiwa na fangasi kwenye sehemu za siri.

 

7. Kutumia sabuni wakati wa kujitawadha 

Kwa kawaida kama mtu anajitawadha na sababu anaua bakteria wazuri na kusababisha kuwepo kwa fangasi ukeni





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1166


Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke
Post hii inahusu zaidi sababu za kutoshika mimba kwa mwanamke, kuna kipindi ambacho mwanamke hushindwa kushika mimba kuna sababu mbalimbali mojawapo ni kama zifuatazo Soma Zaidi...

Je bado unasumbuliwa na nguvu za kiume?
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kuondoa tatizo la nguvu za kiume Soma Zaidi...

Zijue mbegu za kiume zilizo bora.
Posti hii inahusu zaidi mbegu ambazo ni nzima na ambazo zina sifa ya kutungisha mimba kwa hiyo mbegu hizi utazigundua kwa kuwa na sifa zifuatazo. Soma Zaidi...

Dalili za kujifungua
Makala hii itakwenda kukufundisha dalili za kujifunguwa, hatuwa za kujifunguwa na kuzalisha, pia utajifunza mabo muhimu kabla na wakatii wa kujifungua. Soma Zaidi...

Fahamu kuhusu fangasi za ukeni
Posti hii inahusu zaidi fangasi za ukeni, hili ni tatizo kubwa ambalo linawakumba watoto, akina dada na wanawake kwa hiyo na vizuri kujua Dalili zake na kuweza kuchukua hatua mapema. Soma Zaidi...

Dawa hatari kwa mwenye ujauzito
Hii ni orodha ya dawa ambazo hutumiwa sana na watu kutoka maduka ya dawa lakini sio salama kwa wajawazito. Soma Zaidi...

Dalili za kujifunguwa, na dalili za uchungu wa kujifunguwa
Nitajuwaje kama mjamzito amekaribia kujifunguwa, ni dalili gani anaonyesha, dalili za uchungu wa kujifunguwa Soma Zaidi...

DALILI ZA TEZI DUME
Tezi dume hii ni tezi inayopatikana katika katika mfumo wa uzazi wa mwanaume Ila hujulikana kama PROSTATE GLAND. pia hukua karibu na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo hutumika kuzalisha majimaji (simen) yanayobeba mbegu hivyo bas mk Soma Zaidi...

Sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa.
Post hii inahusu zaidi sababu za kuvunjika kwa mtoto wakati wa kuzaliwa, kuna wakati mtoto anapozaliwa anaweza kuvunjika kwenye sehemu mbalimbali kwa sababu zifuatazo. Soma Zaidi...

Huduma kwa wanaopata hedhi zaidi ya mara moja kwa mwezi
Posti hii inahusu zaidi huduma kwa wanaoingia kwenye siku zao zaidi ya mara moja kwa mwezi. Soma Zaidi...

Dalili za awali za mimba endapo tu mwanamke ametoka kukutana kimwili na mwanaume
Habari! Soma Zaidi...

Nahis dalil nna mimba ila nikipim sina
Habari. Soma Zaidi...