SABABU ZA MKOJO KUSHINDWA KUTOKA KWENYE KIBOFU.


image


Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine.


Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.

1.kuharibika kwa tezi za kibofu Cha mkojo, wakati mwingine kama Kuna uhary wowote kwenye tezi za kibofu mkojo ushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo ingawa mtu anasikia hamu ya kutoa mkojo lakini hawezi, kltezi za kibofu Cha mkojo kwa kitaamu huitwa prostate gland. Kwa hiyo kama tatizo hilo limetokea mgonjwa anapaswa kumpelekea hospitalini kwa sababu mkojo kubaki ndani ni hatari.

 

2. Pengine mkojo hushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya kufanyiwa upasuaji kwa sababu wakati mwingine Kuna sehemu inaweza kuzibua kwa bahati mbaya au pengine kwa sababu ya kuzoea kutumia milija wa kupitisha mkojo, mtu akitaka kutumia njia ya kawaida mkojo unaweza kushindwa kutoka kwanza lakini kwa sababu ya kuzoea mkojo unaweza kuanza kupita tena baadae kwa mtu Mwenye tatizo hili Inabidi kufuata masharti ya waganga na wauguzi.na ataweza kuelekea kwenye hali ya kawaida.

 

3. Kushindwa kufanya kazi kwa Neva mbalimbali ambazo uhusika na mkojo.

Nevu mbalimbali zikishindwa kufanya kazi yake kuu ya kuamuru mkojo utokea kwa wakati wake mkojo unaweza kubaki kwa Sababu tunajua kuwa mwilini kwa binadamu Kuna nevu  na nevu hizo ndo zinahakikisha kila kitu mwilini linaenda sawa kwa hiyo kama nevu hazifanyi kazi na mkojo utashindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo mpaka kazi ya nevu ikamilike.

 

4. Kuharibika kwa kibofu Cha mkojo.

Wakati mwingine mkojo ukosa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya kuharibika kwa sehemu mbalimbali za kibofu Cha mkojo hali hii utokea kwa sababu ya maambukizi kwenye kibofu Cha mkojo au labda pengine ni kwa sababu ya ajali kwenye kibofu Cha mkojo hali hii usababisha mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo, kwa hiyo tunapaswa kuhakikisha kuwa mkojo unatoka kwenye kibofu maana  ukibaki ni hatari sana.

 

5. Pengine mkojo hushindwa kutoka kwenye kibofu Cha mkojo kwa sababu ya baadhi ya madawa yanayotumiwa na mhusika kama vile atropine na antidepressants, hizi dawa zikileta matokeo kama haya ni lazima mgonjwa apelekwe hospitali mapema Ili kusaidia mkojo uweza kutoka kwenye kibofu Cha mkojo.



Sponsored Posts


  ðŸ‘‰    1 Mafunzo ya php       ðŸ‘‰    2 Hadiythi za alif lela u lela       ðŸ‘‰    3 Magonjwa na afya       ðŸ‘‰    4 Jifunze fiqh       ðŸ‘‰    5 Madrasa kiganjani       ðŸ‘‰    6 Maktaba ya vitabu    


Je! una maswali, mapendekezo ama maoni? tuma ujumbe wa meseji SMS hapo chini ili kuunganishwa na muhusika au bofya hapa

SMS SMS



Post Nyingine


image Siku za kupata mimba
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu siku za kupata mimba Soma Zaidi...

image Madhara ya kushindwa kupitisha mkojo.
Posti hii inahusu zaidi madhara ya kushindwa kupitisha mkojo, ni madhara makubwa yanayotokea kwa mtu iwapo akishindwa kupitisha mkojo. Soma Zaidi...

image Vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda.
Posti hii inahusu zaidi vifaa vya kutumia wakati wa kusafisha vidonda, ni vifaa muhimu ambavyo mara nyingi kutwa hospitalini. Soma Zaidi...

image Sababu za mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu.
Post hii inahusu zaidi mkojo kushindwa kutoka kwenye kibofu na kwa kitaalamu huitwa retention of urine. Soma Zaidi...

image Ijue timu ya upasuaji
Posti hii inahusu timu ya upasuaji hii ni timu ambayo inahusika katika chumba cha upasuaji, kwa sababu ya kutunza usafi na usalama chumba hiki kinapaswa juwa na timu ya watu wanne na walio na elimu kuhusu kazi hiyo. Soma Zaidi...

image Choo kisichokuwa cha kawaida
Posti hii inahusu zaidi Aina ya choo kisichokuwa cha kawaida, ni dalili za choo ambacho siyo Cha kawaida, Ina maana ukiona dalili za choo Cha Aina hii ni vizuri kwenda hospitalini Ili kupata matibabu. Soma Zaidi...

image Dalili za Maambukizi na Uvimbe katika mirija ya uzazi
Posti hii inazungumzia kuhusiana na maambukizi na uvimbe katika  mirija ya uzazi. Mara nyingi hutumiwa sawa na ugonjwa wa uvimbe kwenye fupa nyonga (PID), ingawa PID haina ufafanuzi sahihi na inaweza kurejelea magonjwa kadhaa ya njia ya juu ya uzazi ya mwanamke. Kinyume chake. Soma Zaidi...

image Umuhimu wa kupiga push up kiafya
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa kupiga push up kiafya, ni mambo au faida zipatikanazo ki afya kwa wapigaji wa push up kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

image Sababu na dalili za ugonjwa wa Njia ya mkojo.
Ujue ugonjwa wa Njia ya mkojo unaoitwa urethra stricture. Ambapo kwenye hii posti inaonyesha dalili na Sababu zinazopelekea Njia ya mkojo kuwa ngumu,nyembamba,na kovu. Soma Zaidi...

image Njia za kupunguza tatizo la kutanuka kwa tezi dume.
Posti hii inahusu zaidi njia ambazo tunaweza kutumia ili kuweza kupunguza tatizo hili la kutanuka kwa tezi dume, kwa hiyo tunaweza kutumia njia zifuatazo ili kuweza kupunguza tatizo hili kwenye jamii kama ifuatavyo. Soma Zaidi...