picha

Sababu za uke kuwa na harufu mbaya.

Posti hii inahusu zaidi sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke ukizingatia usafi huwa unafanyika mara kwa mara ila harufu bado inaendelea kuwa mbaya kwa hiyo tutaona sababu hapo chini.

Sababu za kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke.

1. Sababu ya kwanza ni uharibifu wa ph kwenye uke unaosababishwa na vitu mbalimbali kama vile kutumia sabuni za harufu nzuri ambazo zina chemikali kubwa na kusababisha ph kuharibiwa hali inayosababisha kuendelea kukua na kuongezeka kwa bakteria na virusi na kusababisha uke kutoa harufu mbaya kwa sababu ya walinzi wa uke ambao ni bakteria wazuri wameharibiwa na sabuni na kemikali

 

2. Kukosekana kwa hewa safi ya oksijeni kwenye uke.kuna wakati mwingine oxgeni inakosa sana kwa sababu uke unabanwa na nguo zilizobana na kwa wakati mwingine wakati wa usiku tunalala na nguvu nyingi hatimaye kulala tukiwa tumevaa chupi na kuzuia hewa kuingia kwenye uke hali inayosababisha uke kutoa harufu mbaya.

 

3. Magonjwa ya zinaa.

Vile vile naagonjwa ya zinaa usababisha kuwepo kwa harufu mbaya kwenye uke, kwa sababu ya hali ya maambukizi bwana,na pia inaseenekave

Kwamba magonjwa ya zinaa ndicho chanzo kikubwa cha kupata harufu mbaya ukeni.

 

4. Upungufu wa kinga mwilini.

Kwa kawaida mgonjwa mwenye kinga kidogo ya mwili usababisha kila nyemelezi, yaani ugonjwa huu unaweza kumshambulia kwa hiyo ni vizuri kabisa kumpa nafasi ya kupumzika.

 

 

 

 

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 1257

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 web hosting    👉4 Simulizi za Hadithi Audio    👉5 Dua za Mitume na Manabii    👉6 Bongolite - Game zone - Play free game   

Post zinazofanana:

Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto.

Posti hii inahusu zaidi Maambukizi kwenye kitovu cha mtoto, ni Maambukizi ambayo yanaweza kutokea kwenye kitovu cha mtoto pale ambapo mtoto amezaliwa inawezekana ni kwa sababu ya hali ya mtoto au huduma kuanzia kwa wakunga na wale wanaotumia mtoto.

Soma Zaidi...
Je endapo mama atafanya tendo la ndoa wiki moja kabla ya kuingia hedhi anaweza kupata ujauzito?

Zipo siku maalumu ambazo mwanamke hupata mimba. Siku hizi huzoeleka kwa jina la siku hatari. Je ungependa kufahamu mengi kuhusu siku hatari, endelea na makala hii.

Soma Zaidi...
Mabaka yanayowasha chini ya matiti.

Posti hii inahusu zaidi mabaka yanayowasha chini ya matiti, ni ugonjwa ambao uwapata wanawake walio wengi na wengine hawajapata jibu Sababu zake ni zipi na pengine uchukua hatua za kutumia miti shamba wakidai juwa hospitalini nugonjwa huu hautibiwa, ila n

Soma Zaidi...
Kazi ya metronidazole

Posti hii zaidi kazi ya Dawa ya metronidazole katika kutibu Minyoo, ni aina ya Dawa ambayo imetumiwa na watu wengi wakaweza kupona na kuepukana na minyoo. Zifuatazo ni baadhi ya kazi za metronidazole.

Soma Zaidi...
Hatua Saba za kutibu au kuepuka uvimbe kwenye kizazi

Posti hii inahusu zaidi hatua ambazo unaweza kuzitumia ili kuweza kutibu uvimbe au kwa kitaalamu huitwa fibroids. Hizi hatua zikitumika uweza kusaidia kupunguza kiwango cha kupata au kuwepo kwa uvimbe kwenye kizazi.

Soma Zaidi...
Njia za kumsafisha Mama aliyetoa mimba.

Post hii inahusu njia safi za kumsafisha Mama ambaye ametoa mimba au mtoto amefia tumboni.

Soma Zaidi...
Njia za uzazi wa mpango

Posti hii inahusu zaidi kuhusu njia za uzazi wa mpango, uzazi wa mpango ni njia za kupanga uzazi Ili kupata idadi ya watoto unaohitaji

Soma Zaidi...
Njia za kuzuia Malaria kwa wajawazito

Posti hii inahusu zaidi njia mbalimbali za kuzuia Malaria kwa wajawazito na watoto wao wakiwa bado tumboni, tunajuwa wazi kuwa wajawazito wakipata Malaria inaweza kupelekea mimba kutoka kwa hiyo ili kuzuia tatizo hili zifuatazo ni njia zilizowekwa ili kuz

Soma Zaidi...