Sababu za za ugumba kwa Mwanaume
Post hii inahusu zaidi sababu za ugumba kwa Mwanaume, ni sababu ambazo umfanye mwanaume ashindwe kumpatia mwanamke mimba.
1.Ugumba ni hali ambayo utokea pale mwanamke na mwanaume wanaoishi pamoja na kujamiiana kwa kipindi Cha miezi sita au mwaka mmoja wakiwa wanajamiina pasipokutumia kondomu na mwanamke anashindwa kupata mimba, tatizo kinaweza kuwa la mwanamke au mwanaume kwa hiyo Leo tunaenda kujua sababu za ugumba kwa Mwanaume.
2. Sababu ya mojawapo ni pale mwanaume anapokuwa na kiwango kidogo Cha manii, Ili mimba kuweza kutungwa lazima mwanaume awe na uwezo wa kuwa na kiwango Cha kutosha Cha manii, Kuna wanaume ambao wanazaliana kiwango kidogo mno Cha manii hali ambayo uwafanya wanaume kushindwa kutungisha wanawake mimba.
3. Kushindwa kukomaa kwa manii.
Mara nyingine manii ya baadhi ya wanaume utolewa wakati wa kujamiiana kabla ya kukomaa, hali hii haiwezekani kubebesha mimba, wanaume wanaopatwa na changamoto kama hii ni wale ambao ujihusisha kwenye ngono mara kwa mara hali ambayo ufanya kutoa mbegu kabla ya kukomaa au wengine ni kwa sababu ya magonjwa mbalimbali ambayo utokea kwenye via vya uzazi au wengine ni kwa sababu ya kuridhi.
4. Ukosefu wa homoni za kiume za kutosha.
Hili ni tatizo ambalo ufanya wanaume kuwa na ugumba kwa sababu tunajua wazi kazi ya homoni kwa wanaume ni kutengeneza mbegu za kiume ambazo baadae mbegu hizo ndizo zinaweza kutungisha mimba, kama homoni hizo hazipo kwa kiwango kinachohitajika mimba haiwezekani kutungwa, kwa mfano wa homoni za kiume ni Testesterone homoni.
5. Unyanyasaji wa kingono.
Kuna wanaume wengine wanapata unyanyasaji wa kingono kutoka kwa wanawake zoa, hali hii usababisha mawazo mengi kwa wanaume na baadae wanashindwa kutungisha mimba.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Share On:
👉1 ai web app 👉2 Madrasa kiganjani 👉3 Bongolite - Game zone - Play free game 👉4 kitabu cha Simulizi 👉5 Kitabu cha Afya 👉6 web hosting
Post zinazofanana:
mim ninaujauzito wa mwezi mmoja lakini naona kama hali fulani ya damu inanitoka sehemu ya Siri inafanana na damu ya wakati wa period
Kutokuwa na damu wakati wa ujauzito ni hali uliyo ya kawida lakini inapaswa kujuwa sifa za damu hiyo nabje unatoka kwa namna gani. Kama unasumbuliwa na tatizo hili makala hii ni kwa ajili yako.
Soma Zaidi...Dalili za upungufu wa homoni ya progesterone
Posti hii inahusu zaidi dalili ambazo zinaweza kutokea iwapo Kuna upungufu wa homoni ya progesterone.
Soma Zaidi...Magonjwa madogo madogo kwa Mama wajawazito.
Posti hii inahusu zaidi magonjwa madogo madogo kwa akina Mama wajawazito, ni magonjwa ambayo hayawezi kupelekea kupoteza maisha kwa Mama mjamzito, magonjwa haya upotea ikiwa Mama atajifungua.
Soma Zaidi...Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia
Soma Zaidi...Mabadiliko kwenye tumbo la uzazi wa Mama anapobeba Mimba.
Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye tumbo la uzazi la Mama pindi anapobeba mimba, ni mabadiliko yanayotokea kwa mwanamke anapobeba mimba kama ifuatavyo.
Soma Zaidi...Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.
Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.
Soma Zaidi...