Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.
SAFARI YA MUUJIZA
Basi wakafika pale kwenye kituo wakawakuta watoto wengi wa Kila namna ,na waliruhusiwa kucheza nao, Kula nao Kwa sababu walikuwa wamekwenda wameandaa chakula, basi wakaanza kuzunguka sehemu mbali mbali,na Katika kuzunguka ya Mungu mengi alianza kutembelea sehemu mbali akiwa mwenyewe baadae aliona msichana wa Rika lake na Kama vile wanafanana akashutuka sana,akapaswa kumsogelea ili aweze kuongea naye,wakakaribiana wakasalimiana, ya Mungu mengi akauliza unaitwa nani huyu akamjibu naitwa maria na huyu akamjibu naitwa ya Mungu mengi,ya Mungu mengi akapenda kufahamu kuhusu maisha ya yule dada, basi yule dada akaanza kusimulia History yake Kama ifuatavyo.
MI'mi naitwa maria Amani,Nina umri wa miaka kumi na Saba Niko kidato Cha nne kwenye shule ya Kadio Kwa Sasa Niko hapa Kwa sababu Huwa naenda shule na kurudi,ila Mimi nilijikuta hapa Kwa sababu wazazi wangu walitangulia mbele ya haki na pia niliambiwa tulikuwa mapacha wawali mmoja aliitwa Martha Amani ila Kwa sababu alichukuliwa na wazazi ili awe mtoto wao Kwa sababu hawakuwa na mtoto wa kike,ila Mimi Nina hamu ya kumwona ndugu yangu ili kupambana na maisha,
Baada ya msichana maria kuongea hivyo ya Mungu mengi alifikilia sana na akasema moyoni mwake atanda kumuuliza mama yake mlezi sehemu alipomtoa na walikuwa na hali gani, basi mda wa kuondoka ukafika wale wasichana wakaagana na kwenda Kila mtu sehemu yake ila wakawa na wasi wasi mkubwa, kabla ya ya Mungu mengi hajaondoka mwalimu aliwaita akawaambia Kila mtu anapaswa kuchagua rafiki ,ndipo ya Mungu mengi akakimbia Kwa maria ili wawe marafiki ila waliendelea kutoelewa Kwa sababu walikuwa wanafanana sana.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii inahusu hadithi fupi tu kuhusu mtoto wa tajiri na maskini, palikuwepo na watoto wawili mmoja akiwa mtoto wa tajiri na mwingine wa maskini.
Soma Zaidi...Post hii ni mwendelzo wa hadithi ya Usaliti kati ya Rhoda na Moses ambapo Moses anampenda sana Rhoda na wakati wa kuoa umefika ila akagikilia kwamba akimuoa Rhoda inawezekana wasipate watoto kwa sababu ya mimba ambazo Rhoda alikuwa anatoa mara kwa mara.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya vijana wawili,ambapo Mama yake na Jackie pamoja na jack wakiwa hospital na jack anaendelea kumwita Julius kila mara.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.
Soma Zaidi...Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya Nimlaumu nani ambapo juma anapanga na madaktari wanaopima DNA ili kuweza kutambua kwamba mtu mimba ni ya kwake na sio ya Frank kwa hiyo tuendelee kusikiliza mpaka tutakapoona mimba itakuwa ya Frank au juma.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hasara za kuwa na wivu na kutokuwa wazi, sehemu hii inahusu zaidi maendeleo ya Lisa shuleni yanakuwa mabaya zaidi na lina anaendelea kumtunzia siri lengo lake lina ni kuendelea kuwa wa kwanza darasani.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.
Soma Zaidi...Post hii inahusu zaidi watoto wa wawili ambapo mmoja ni mtoto wa tajiri na mwingine ni mtoto wa maskini.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi hadithi ya vijana wawili ambapo mtihani unafika ila Jackie hakujiandaa alishutuliwa na marafiki zake baada ya kuona mwenendo wake haueleweki.
Soma Zaidi...