picha

SAFARI YA MUUJIZA ( SEHEMU YA PILI)

Post hii ni mwendelezo wa hadithi ya safari yenye muujiza ,ni pale mtoto ya Mungu mengi anafika kwenye kituo Cha ntonga na kuona yake mazingira na kufahamu njia ya kwenda kule.

SAFARI YA MUUJIZA

Basi wakafika pale kwenye kituo wakawakuta watoto wengi wa Kila namna ,na waliruhusiwa kucheza nao, Kula nao Kwa sababu walikuwa wamekwenda wameandaa chakula, basi wakaanza kuzunguka sehemu mbali mbali,na Katika kuzunguka ya Mungu mengi alianza kutembelea sehemu mbali akiwa mwenyewe baadae aliona msichana wa Rika lake na Kama vile wanafanana akashutuka sana,akapaswa kumsogelea ili aweze kuongea naye,wakakaribiana wakasalimiana, ya Mungu mengi akauliza unaitwa nani huyu akamjibu naitwa maria na huyu akamjibu naitwa ya Mungu mengi,ya Mungu mengi akapenda kufahamu kuhusu maisha ya yule dada, basi yule dada akaanza kusimulia History yake Kama ifuatavyo.

MI'mi naitwa maria Amani,Nina umri wa miaka kumi na Saba Niko kidato Cha nne kwenye shule ya Kadio Kwa Sasa Niko hapa Kwa sababu Huwa naenda shule na kurudi,ila Mimi nilijikuta hapa Kwa sababu wazazi wangu walitangulia mbele ya haki na pia niliambiwa tulikuwa mapacha wawali mmoja aliitwa Martha Amani ila Kwa sababu alichukuliwa na wazazi ili awe mtoto wao Kwa sababu hawakuwa na mtoto wa kike,ila Mimi Nina hamu ya kumwona ndugu yangu ili kupambana na maisha,

 

 

Baada ya msichana maria kuongea hivyo ya Mungu mengi alifikilia sana na akasema moyoni mwake atanda kumuuliza mama yake mlezi sehemu alipomtoa na walikuwa na hali gani, basi mda wa kuondoka ukafika wale wasichana wakaagana na kwenda Kila mtu sehemu yake ila wakawa na wasi wasi mkubwa, kabla ya ya Mungu mengi hajaondoka mwalimu aliwaita akawaambia Kila mtu anapaswa kuchagua rafiki ,ndipo ya Mungu mengi akakimbia Kwa maria ili wawe marafiki ila waliendelea kutoelewa Kwa sababu walikuwa wanafanana sana.

 

 

Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 2023/06/12/Monday - 05:03:14 pm Topic: Jamvini Main: Burudani File: Download PDF Views 1737

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Simulizi za Hadithi Audio    👉2 Bongolite - Game zone - Play free game    👉3 Dua za Mitume na Manabii    👉4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina    👉5 Kitabu cha Afya    👉6 kitabu cha Simulizi   

Post zinazofanana:

WAKATI WA KUFUMBUKA

Post hii ni mwendelezo wa hadithi inayohusu Kufumbuka ambapo , John anaonekana kama sio mtoto wa Mzee maganga kwa sababu na miungu imekili kwa sababu chakula chote kimeliwa na kuisha.

Soma Zaidi...
Mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mahusiano yaliyotokea kati ya vijana wawili ila yanafika baadae mmoja akamsaliti mwenzake.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI (sehemu ya sita)

Post inahusu zaidi hadithi ya NIMLAUMU NANI ambayo ni sehemu ya sita, katika kipengele hiki tunaenda kumwona msichana Amina anapambana na hatimaye anafunga ndoa ya kiserikali na Frank

Soma Zaidi...
Usichofahamu kuhusu mazoezi

Posti hii inahusu zaidi mambo muhimu ambayo hufahamu kuhusu mazoezi,ni mambo ambayo utokea au no matokeo mazuri kwa watu wanaofanya sana mazoezi.

Soma Zaidi...
NIMLAUMU NANI ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu mwendelezo wa hadithi ya kijana Frank na Amisa pia na wapenzi wawili ambao ni James na Amina.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sita

Post hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya Binti mfalme sehemu ya sehemu ya sita.sehemu hii inaonyesha jinsi bibi alivyo ndumila kuwili na hapendi kuonekana mbaya.

Soma Zaidi...
Mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili

Posti hii inahusu zaidi mwendelezo wa hadithi ya mahusiano ya vijana wawili baada ya kuhamia shule mpya.

Soma Zaidi...
Hadithi ya Binti mfalme

Posti hii inahusu zaidi hadithi ya Binti mfalme ni hadithi ya kusisimua, kuhusu hadithi hii ni kwamba mfalme alihitaji mtoto wa kiume ila wanawake wote hawakumpata ila alitokea mke mdogo mmoja wa mfalme akajifungua watoto wawili mapacha mmoja wa kiume na

Soma Zaidi...
SAFARI YA MUUJIZA sehemu ya tatu

Post hii inahusu Zaidi hadithi ya safari ya muujiza ambapo ya Mungu mengi anaenda kwao na kuomba kufahamu history yake ili afahamu kuhusu wazazi weo walipo na ndugu zao walipo.

Soma Zaidi...
Mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini ( sehemu ya tatu)

Post hii inahusu zaidi mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini wakipanda gari kuelekea shule kuanza maisha mapya.

Soma Zaidi...