Shart kuu nne za swala
Post hii inakwenda kukufundisha kuhusu masharti ya swala.
Sharti za Swala
Sharti za swala ni yale mambo ya lazima anayotakiwa Muislamu ayachunge na kuyatekeleza kabla hajaanza kuswali. Mambo haya ni:
1.Twahara.
2.Sitara.
3.Kuchunga wakati.
4.Kuelekea Qibla.
Umeionaje Makala hii.. ?
Share On:
Share follows: 0 |
Unique share links followed: 0
Sponsored links
๐1 ai web app ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Kitau cha Fiqh ๐4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Simulizi za Hadithi Audio
๐1 ai web app ๐2 Dua za Mitume na Manabii ๐3 Kitau cha Fiqh ๐4 Tafasiri ya Riyadh Swalihina ๐5 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w) ๐6 Simulizi za Hadithi Audio
Post zinazofanana:
Sunnah za siku ya idi na utaratibu wa kusherehekea
Hapa utajifunza utaratibu wa kusherekea ifil fitir. Pia utajifunza sunnah zinazoambatsns na idil fitir
Soma Zaidi...Maana ya swala
Maana ya Swala Maana ya Swala kilugha(a) Kilugha Katika lugha ya Kiarabu neno ยSwalaatย lina maana ya ยombi au ยdua.
Soma Zaidi...