Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
- Ni haramu kufunga siku za Idd mbili hizi kwa namna yeyote ile.
- Siku za tashriiq ni tarehe 11 – 13, mwezi wa Dhul-Hajj.
- Ni siku ya tarehe 29 au 30 mwezi Shaaban kabla ya mwezi wa Ramadhan.
- Haifai kufunga siku ya Ijumaa tu, isipokuwa kwa aliyekuwa na tabia ya kufunga Sunnah na ikatokea funga ya sunnah ni siku ya Ijumaa.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetuUmeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakufundisha mambo ambayo yatasababisha swqla yako isikubaliwe.
Soma Zaidi...Haya ni maandalizi ya kumuandaa maiti baada ya kufariki.
Soma Zaidi...Post hii itakufundisha kuhusu swala ya maiti, nguzo za swala ya maiti, sharti za swwla ya maiti na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...