Dalili za mimba changa

Zijuwe dalili 17 za mimba na mimba changa, kuanzia siku ya kwanza mpaka mwezi mmoja

Dalili za mimba changa

DALILI ZA MIMBA CHANGA
Hapo zamani watu walikuwa wakisubiri kuona tumbo linakuwa ama kuona mwanamke hedhi imekata ndipo waseme kuwa huyu sasa ama mimba. Lakini leo tunaweza kugunduwa mimba mapema sana. Makala hii inakwenda kukujuza dalili za mimba. Dalili hizi zimegawanyika katika makundi kakuu mawili. Kama utakuwa na maoni usiwache kuwasiliana nasi hapo chini.



Dalili za mimba za mwanza toka siku ya 1 mpaka wiki
Hizi ni dalilio ambazo zinaweza kuonekana mapema sana kuliko dalili zingine. Unaweza kuziona dalili hizi siku chache toka kubeba mimba. Wengine huchelewa mapaka wiki inapita na wengine mpaka wiki kadhaa. Dalili hizi ni pamoja na:-




1.Maumivu ya kichwa
2.Kizunguzungu
3.Kichwa kuwa chepesi
4.Maumivu ya tumbo
5.Kutokwa na matone ya damu
6.Moyo kwenda mbio
7.Uchovu.



Si lazima mwanamke azione dalili zote hizo anaweza kuona kadhaa, ama akaona moja tu. Hata hivyo tofauti na kuona matone ya damu kwenye nguo yake ya ndani, dalili zilizobaki sio rahisi kuionz kwa mwanamke ambaye mwili wake umezoea mikikimikiki.



Dalili za mimba changa kuanza wiki ya mbili mapak mwezi
Dalili hizi zinaweza kuendelea miezi kadhaa mpaka pale tumbo litakapoanza kuonekana. Zinaweza kuendelea mapka kukaribia kujifunguwa ama zikakata ila si zote. Dalili hizi ni kama:-




1.Kichefuchefu
2.Kutopata hedhi,
3.Kutokwa na matone ya damu ukeni
4.Maumivu ya tumbo kuongezeka
5.Maumivu ya mgongo na nyonga
6.Uchovu
7.Moyo kwenda mbio
8.Tumbo kukuwa
9.Hasira za papo kwa papo
10.Kukojoa mara kwa mara



Katika kipindi hiki mjamzito anatakiwa awe makini sana kuepuka kula dawa bila ya kushauriana na daktari. Anatakiwa apime vipimo vyote na achukuwe mazoezi ya hapa na pale. Awe karibu sana na watu waliokwisha beba ujauzito wapate kumfundisha baadhi ya yapasayo. Hapa mjamzito anaweza kuwa na hasira, kupenda baadhi ya vitu na kuchukia baadhi ya vitu tofauti na kawaida yake.





                   



Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Uzazi Main: Afya File: Download PDF Views 2406

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 kitabu cha Simulizi    👉2 Kitabu cha Afya    👉3 Simulizi za Hadithi Audio    👉4 Kitau cha Fiqh    👉5 Madrasa kiganjani    👉6 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)   

Post zinazofanana:

Je siku ya kwanza kabisa ya ovulation mimba inakuwa ni uhakika kupata mimba?

Watu wengi wanadhania kuwa kufanya tendo la ndoa katika siku hatari ni lazima kuwa utapata ujauzito. Hili sio sahihi kabisa. Post hii itakwenda kuangalia jambo hili zaidi.

Soma Zaidi...
NAMNA YA KUBORESHA MBEGU ZA KIUME, NA VYAKULA VYA KUBORESHA NGUVU ZA KIUME

Njoo ujifunze vyakula vya kuboresha mbegu za kiume na nguvu za kiume.

Soma Zaidi...
Mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka.

Post hii inahusu zaidi mambo ya kuzingatia iwapo mimba imetoka mambo haya yanaweza yakawahusu akina Mama wenyewe, familia na jamii kwa ujumla.

Soma Zaidi...
Sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za kutoka kwa mimba na dalili zake

Soma Zaidi...
Mimi imepita miezi mitatu sioni hedhi na wala sioni dalili ya kuwa na mimba unaweza ukaniambia tatizo la kuwa na hali hii

Kama na wewe una tatizo la kupitiliza siku zako za hedhi hli ya kuwa huna ujauzito, soma post hii ina majibu yako.

Soma Zaidi...
Sababu za maumivu ya tumbo wakatu wa tendo la ndoa

Jifunze sababu kuu zinazosababisha kuhisi maumivu makali ya tumbo wakati wa kushiriki tendo la ndoa

Soma Zaidi...
Mabadiliko ya Matiti kwa Mama mjamzito

Posti hii inahusu zaidi mabadiliko kwenye Matiti kwa Mama mjamzito, hali hii utokea pale ambapo mama akibeba mimba Kuna mabadiliko kwenye Matiti kama ifuayavyo.

Soma Zaidi...
Madhara ya vidonge vya P2

Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia mara kwa mara vidonge vya P2,

Soma Zaidi...
Ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango.

Posti hii inahusu zaidi ukweli kuhusu njia za uzazi wa mpango, sio kwa imani potofu ambazo Watu utumia kuelezea uzazi wa mpango.

Soma Zaidi...