Menu



Sunnah za udhu

Posti hii inakwenda kukufundisha kuhusu sunah za udhu

Sunnah za Udhu

Mtume Muhammad (s.a.w) pamoja na kutekeleza nguzo za udhu alikuwa akiongezea yafuatayo wakati wa kutawadha;
1. Kupiga mswaki kabla ya kuanza kutawadha.

 

2.Kuanra kutawadha kwa kuosha vi~nja vya mikono na kuanza kitendo hicho kwe "BtsmUIaht"
3.Kusulcutua na kupandisha mail puani.
4.Kupaka maji shingoni wakati wa kupaka maji kichwani.
5.Kuosha mao mare to beads ya kupaka maji kichwani.
6.Kuosha Iola kiungo cha udhu mare tatu.
7.Kuanza kuosha viungo vya kulia (lcuanza na mkono na mguu wa kuW.
8.Kuelekea Qibla na kuleta dua beads ya kutawadha ifuatayo:

 

(عن عمر بن الخطاب رضي الله عنه أن النبي صلى الله عليه وسلم قال: ما منكم من أحد يتوضأ فيسبغ الوضوء ثم يقول أشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له وأشهد أن محمداً عبده ورسوله اللهم اجعلني من التوابين واجعلني من المتطهرين إلا فتحت له أبواب الجنة الثمانية يدخل من أيها شاء )) رواه الترمذي

((Imetoka kwa 'Umar رضي الله عنه kwamba Mtume صلى الله عليه وسلم kasema: Hakuna katika mmoja wenu atakayetawadha akautengeneza wudhuu kikamilifu, kisha akasema : (Ash-hadu alla Ilaaha illa Allaah wahdahu laa shariyka LahuWa ash-hadu anna Muhammadan 'abduhu wa Rasuuluhu, Allahumma-j-'alniy minat Tawwabiyn waj'alniy minal-mutatwahiriyn) “Nakiri kwa moyo na kwa kauli kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Allaah peke Yake, wala Hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad صلى الله عليه وسلم ni mja wake na ni Mtume wake” “Ee Allaah nijaalie niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa wale waliosafi" isipokuwa atafunguliwa milango minane ya pepo aingie wowote autakao ))
At-Tirmidhiy

Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya link hapo chini kuweza kuipakua.

Download Now Bongoclass

Nyuma Endelea

Ndio     Hapana     Save post
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: Fiqh Main: Post File: Download PDF Views 1355

Share On:

Facebook WhatsApp

Post zinazofanana:

Sunnah za swaumu, sunnah ambazo zinaambatans ns kufungabmwezi wa Ramadhani

Yajuwe mambo ambayo yanapendeza kuyafanya wakati ukiwa umefunga Ramadhani.

Soma Zaidi...
Tofauti kati ya zakat na sadaqat

Nguzo za Imani, tofauti kati ya sadaqat na zakat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Umuhimu na nafasi za hijjah katika uislamu

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...
Fadhila za usiku waalylat al qadir

Zijuwe fadhila za usiku wenye cheo kuliko nyusiku ya miezi 1000.

Soma Zaidi...
Sunnah za funga ya ramadhan

Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

Soma Zaidi...