image

Tanzu (makundi) za hadithi

Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)

-  Kutokana na usahihi, hadith zimegawanyika makundi manne;

  1. Hadith Sahihi.

                -  Ni Hadith zenye wasimulizi wote wenye sifa zilizokamilika na kuwa na  

                    matini sahihi.

 

  1. Hadith Hasan.

   - Ni Hadith zenye matini sahihi lakini baadhi ya wasimulizi wake 

      wamekuwa dhaifu.   

 

  1. Hadith Dhaifu.

      -  Ni Hadith yenye matini sahihi lakini miongoni mwa wasimulizi wake 

          wanakasoro kubwa zilizojitokeza.

      -  Hadith za namna hii haziaminiki na si za kutegemea.   

 

  1. Hadith Maudhu’u.

      -  Ni Hadith ya uwongo ambayo Mtume (s.a.w) amezuliwa nayo.

      -  Hizi ni Hadith zinazopingana na Qur’an na Hadith zilizo sahihi pia.

 

-  Kutokana na Umashuhuri, Hadith zimegawanyika makundi mawili;

  1. Hadith Mutawatir.

-  Ni Hadith yenye kusimuliwa na watu wengi kwa nyakati tofauti, wanne 

    au zaidi wote wakiwa na sifa kamili. 

-  Hadith hizi ni ndio zenye kukubalika na watu wote.

 

  1. Hadith Ahad.

-  Ni Hadith ambayo ina wasimulizi wenye sifa zilizokamilika, lakini 

    hawana mfungamano au msururu wa wasimulizi una mapengo kati kati.


                    -  Ni Hadith zisizokubalika kwa watu wengi, ni za mashaka mashaka na si                             za kutegemea.





           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 1752


Sponsored links
👉1 Kitabu cha Afya     👉2 Kitau cha Fiqh     👉3 kitabu cha Simulizi     👉4 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

Mtazamo wa Uislamu juu ya usawa kati ya mwanaume na mwanamke
Soma Zaidi...

Uandishi wa hadithi wakati wa tabii tabiina
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Nini maana ya kutosheka na faida za kutosheka
32. Soma Zaidi...

nini maana ya Unafiki na sifa za unafiki katika quran na sunnah
Mnafiki ni yule anayeukubali Uislamu mdomoni (kwa kauli tu) lakini moyoni mwake na katika matendo yake anaukanusha. Soma Zaidi...

MAADILI MEMA KATIKA UISLAMU
Yajuwe maadili mema yaliyotajwa katika quran Soma Zaidi...

Zoezi - 3:
1. Soma Zaidi...

(x)Wenye kuepuka lagh-wi
Waumini wa kweli waliofuzu hujiepusha na Lagh-wi. Soma Zaidi...

Nani Muadilifu na zipi sifa za mtu muadilifu kwenye uislamu
Uadilifu ni usimamizi wa ukweli na kutoa haki kwa kila anayestahiki kulingana na ukweli. Soma Zaidi...

Uchambuzi wa hadithi za mtume
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

KULA HALALI NA ZILICHO KIZURI NI AMRI KATIKA UISLAMU
عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ رَضِيَ اللهُ عَنْهُ قَالَ: قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه و سلم "إنَّ اللَّهَ طَيِّبٌ لَا يَقْبَلُ إلَّا طَي... Soma Zaidi...

jamii somo la 32
Soma Zaidi...

Tanzu (makundi) za hadithi
Sunnah na hadithi (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...