Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.
Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na;
1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.
2.ngozi kuwa nyekundu.
3.kushindwa kugeuka au kutembea.
4.kukakamaa.
5.unaweza kupata ganzi.
MATATIZO
Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:
1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea. Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.
2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.
3. Matatizo ya kupumua. Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua. Watu walio na uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.
4. Mgongo uliopinda (Scoliosis). Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.
5. Matatizo ya moyo. Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.
6. Matatizo ya kumeza. Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe huenda ikatokea.
Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka ndani yako au mtoto wako.
Jiunge nasi WhatsApp kupata update zetu
Umeionaje Makala hii.. ?
Posti hii inazungumzia kuhusiana na sababu zinazopelekea kukosa choo ,yaani kinyesi kuwa kigumu au kukosa kabisa choo.
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi madhara ya maambukizi kwenye tumbo,hasa pale ambapo mgonjwa hakutibiwa
Soma Zaidi...Posti hii inahusu athari za maambukizi ya magonjwa ya ngonoΒ ambapo magonjwa ya ngono isipokuwa UKIMWIΒ yanatibika .mgonjwa anashauriwa kuwahi hospitali au kituo chochote cha afya kupata matibabu mara anapoona dalili za magonjwa haya.
Soma Zaidi...Malaria ni moja ya magonjwa hatari yanayoongoza katika vifo vya watoto wengi duniani walio chni ya umri wa miaka 5. Katika post hii utakwend akujifunza kuhusuugonjwa huu jinsi unavyotokea, hatuwa zake na dalili zake.
Soma Zaidi...Ugojwa wa pumu ni hatari na unaweza kutokea ghafla. Lakini je unaweza kusababisha kifo, makalahii itakwend akujibu swali hili
Soma Zaidi...Posti hii inahusu zaidi adhari za ugonjwa wa Homa ya inni, hizi ni athari ambazo zinaweza kutokea ikiwa ugonjwa huu wa inni haujatibiwa, zifuatazo ni athari za ugonjwa wa inni
Soma Zaidi...Posti hii inazungumzia kuhusiana na maumivu yanayosababishwa na mtiririko mdogo wa damu, kwa kawaida wakati wa mazoezi. Wakati mwingine huitwa upenyo wa vipindi, hali hii kwa ujumla huathiri mishipa ya damu kwenye miguu, lakini upenyo unaweza kuathiri mi
Soma Zaidi...Katika somo hili na yanayofuata utajifunz akuhusu ini. Post hii ina muendelezo wa post zinazofuat. Katika mfululizo huuutajifunz akuhusu ini na maradhi yake na kujiking nayo.
Soma Zaidi...Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu dalili za ukimwi za kwenye ulimi na mdomo
Soma Zaidi...