picha

tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

  Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na; 

1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.

2.ngozi kuwa nyekundu.

3.kushindwa kugeuka au kutembea.

4.kukakamaa.

5.unaweza kupata ganzi.

 

MATATIZO

 Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:

1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea.  Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.

 

2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.

 

3. Matatizo ya kupumua.  Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua.  Watu walio na  uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.

 

4. Mgongo uliopinda (Scoliosis).  Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.

 

5. Matatizo ya moyo.  Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.

 

6. Matatizo ya kumeza.  Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe  huenda ikatokea.  

 

   Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka  ndani yako au mtoto wako.

 

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

       
Author: Rajabu image Tarehe: 2024-05-10 14:53:23 Topic: magonjwa Main: Post File: Download PDF Views 3944

Share On:

Share follows: 2 | Unique share links followed: 2
Sponsored links
👉1 Kitau cha Fiqh     👉2 kitabu cha Simulizi     👉3 Tafasiri ya Riyadh Swalihina     👉4 Simulizi za Hadithi Audio     👉5 ai web app     👉6 web hosting    

Post zinazofanana:

Homoni za uzazi: Kazi ya Estrogen na Progesterone.

Makala haya yanachunguza kwa kina dhima muhimu za homoni za estrogen na progesterone katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. Tutachambua jinsi homoni hizi zinavyoshirikiana kudhibiti mzunguko wa hedhi, kurutubisha yai, na kudumisha ujauzito, pamoja na athari zake katika afya ya mifupa na mfumo wa moyo na mishipa.

Soma Zaidi...
Dalili za ugonjwa wa gonoria (gonorrhea)

UGONJWA WA GONORIA NA DALILI ZAKE (GONORRHEA)Gonoria (gonorrhea) ni katika maradhi yanayoambukizwa kwa njia ya ngono.

Soma Zaidi...
Maumivu ya tumbo kitovuni

Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu maumivu ya tumbo kitovuni

Soma Zaidi...
Homa ya ini Nini Nini, na husababishwa na nini

Katika post hii utajifunza maana ya homa ya ini. Pia utajifunza chanzo kinachosababisha homa ya ini. Makala hii itakuwa endelevu hivyo usikose muendelezo wake.

Soma Zaidi...
Jinsi ya kutafuta msaada wa kisaikolojia (Therapy).

Uamuzi wa kutafuta msaada wa kisaikolojia ni moja kati ya hatua kubwa na za kijasiri unazoweza kuchukua kwa ajili ya afya yako ya akili. Hata hivyo, wengi wetu tunasita kwa sababu hatujui tunaanzia wapi, tunamtafuta nani, na nini kinatokea chumba cha tiba. Makala haya yanakupa mwongozo wa hatua kwa hatua wa jinsi ya kupata mtaalamu sahihi na kuanza safari yako ya uponyaji wa kiakili.

Soma Zaidi...
Maumivu Wakati wa Hedhi: Sababu na Suluhisho

Post hii inachunguza hali ya maumivu wakati wa hedhi (dysmenorrhea), ikigusia sababu za kibaolojia zinazosababisha maumivu haya, dalili za kawaida, na mbinu mbalimbali za nyumbani na kitiba za kupunguza usumbufu huo ili kuboresha hali ya maisha ya mwanamke.

Soma Zaidi...