tatizo la kushindwa kujaza misuli ya mwilini na kusinyaa kwa misuli mwilini

Posti hii inaelezea kuhusiana na Ugonjwa wa kusinyaa kwa Misuli. Ni maradhi yanayopelekea uzalishwaji hafifu wa misuli, hivyo kupelekea misuli kukosa protini, kushunwa kukuwa na kusinyaa.

  Dalili za udhaufu unaendelea wa misuli Ni pamoja na; 

1.Kupata maumivu kwenye sehemu iliyokaza.

2.ngozi kuwa nyekundu.

3.kushindwa kugeuka au kutembea.

4.kukakamaa.

5.unaweza kupata ganzi.

 

MATATIZO

 Shida za udhaifu unaoendelea wa misuli ni pamoja na:

1. Kutokuwa na uwezo wa kutembea.  Baadhi ya watu wenye Ugonjwa wa Misuli hatimaye wanahitaji kutumia kiti cha magurudumu.

 

2. Kupungua kwa misuli.kwasababh ya udhaufu na uhafifu wa misuli pamoja na kusinyaa.

 

3. Matatizo ya kupumua.  Udhaifu unaoendelea unaweza kuathiri misuli inayohusishwa na kupumua.  Watu walio na  uhafifu wa Misuli hatimaye wanaweza kuhitaji kutumia kifaa cha kusaidia kupumua (kipumuaji), mwanzoni usiku lakini ikiwezekana pia mchana.

 

4. Mgongo uliopinda (Scoliosis).  Misuli iliyodhoofika inaweza kushindwa kushikilia mgongo sawa.

 

5. Matatizo ya moyo.  Kusinyaa kwa misuli inaweza kupunguza ufanisi wa misuli ya moyo.

 

6. Matatizo ya kumeza.  Ikiwa misuli inayohusika na kumeza itaathiriwa, matatizo ya lishe  huenda ikatokea.  

 

   Mwisho; Tafuta ushauri wa kimatibabu ukigundua dalili za udhaifu wa misuli kama vile mlegevu kuongezeka na kuanguka  ndani yako au mtoto wako.

 

Kama unahitaji kuuliza maswali Bofya hapa

Mwandhishi Tarehe 2022/01/11/Tuesday - 02:50:51 am     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 2030

Post zifazofanana:-

Kwanini wengi wanaoswali hawafikii lengo la swala zao
Nguzo za uislamu (EDK form 3: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Maumivu ya tumbo kwa chini upande wa kulia
Somo Hili linakwenda kukueleza kuhusu sababu za maumivu ya tumbo chini upande wa kulia Soma Zaidi...

Mambo yanayodhaniwa kuwa yanaharibu funga lakini hayaharibu
Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Kusimamisha swala.
Kwenye kipengele hiki tutajifunza maana ya swala ni nin?. Na masharti ya swala. Soma Zaidi...

Dalili za ugonjwa wa fungusi uken
Post hii inahusu zaidi ugonjwa wa fungusi uken, ni ugonjwa unaoshambulia sana sehemu za Siri ambao huwa na dalili kama zifuatazo. Soma Zaidi...

Vyakula vya kuongeza hamu ya tendo la ndoa
Posti hii inahusu zaidi vyakula mbalimbali vya kuongeza tendo la ndoa, kwa kawaida kuna vyakula mbalimbali ambavyo watu ukitumia ili kuweza kuongeza tendo la ndoa vyakula hivyo ni kama tutakavyoona hapo baadaye Soma Zaidi...

Huduma kwa wasioona hedhi
Posti hii inahusu zaidi msaada au namna ya kuwahudumia wale wasioona hedhi na wamefikiwa kwenye umri wa kuweza kuona hedhi. Soma Zaidi...

dalili za ukimwi kwa mwanaume
Katika post hii utakwenda kujifunza zaidi khusu dalili za ukimwi ama HIV kwa wanaume Soma Zaidi...

Maana ya sadaqat
Nguzo za imani, maana ya sadaqat (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu) Soma Zaidi...

Dawa za kutibu fangasi kwenye kucha
Makala hiii inakwenda kukueleza dawa za kutibu fangasi kwenye kucha. Soma Zaidi...

Faida za kiafya za kula kitunguu thaumu
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za kiafya za kitunguu thaumu Soma Zaidi...

Faida za pilipili
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu faida za pilipili Soma Zaidi...