Navigation Menu



image

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.

Posti hii inahusu zaidi tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume, ni tatizo ambalo uwakumba baadhi ya wanaume kwa sababu mbalimbali na pia Ugonjwa huu unatibika hasa kwa wale wanaowahi kupata matibabu.

Tatizo la kutokwa na majimaji kwenye uume.

1. Kuwepo kwa Maambukizi ya magonjwa ya zinaa  

Kwa wale wanaume ambao wanatumia ngono zembe yaani kujamiiana bila kutumia kondomu wanapatwa  sana na Magonjwa haya kwa sababu pengine wanakuwa hawajapona na hawajui afya zao kwa hiyo hawawezi kujua kuwa ni nani mwenye shida hatimaye wanajikuta kwenye tatizo la kupatwa na tatizo hili.

 

2.Maginjwa ya zinaa ni kama vile  Ugonjwa wa kisonono na kaswende, Tatizo la chlomydia, Tatizo la Trichomonous na kwa kiasi kidogo Maambukizi kwenye sehemu za siri ambayo kwa kitaalamu huitwa genital herpes na Magonjwa mengine ya zinaa.

 

3. Maambukizi kwenye kibofu cha mkojo ambayo kwa kitaalamu huitwa UTI maana yake ni ( urinary trac infection,  kama mwanaume ana ugonjwa huu na hajapima kugundua anawe kusababisha kuwepo kwa maji maji kwenye sehemu za siri.Kwa hiyo ni lazima kupima ili kuweza kutambua ni shida gani.

 

4. Pia kuna dawa ambazo zimependekezwa kutumika kwa watu wenye matatizo kama haya ya kutokwa majimaji kwenye sehemu za siri dawa hizi ni kama ifuatavyo Azithromycin, cefixine, ciproflaxino, Doxycycline na metronidazole na dawa hizi sio kuzitumia kiholela ila ni kupata ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya.

 

5.Kwa hiyo baada ya kuona chanzo cha tatizo la kutokwa damu kwenye sehemu za siri tunapaswa kuchukua vipimo haraka ili kujua chanzo ni nini na kuweza kupata matibabu kutoka kwa wataalamu wa afya.






           

Je! umeipenda hii post?
Ndio            Hapana            Save post

Rajabu Tarehe 2024-05-10 14:53:23 Topic: Uzazi Main: Post File: Download PDF     Share On Facebook or Whatsapp Imesomwa mara 10102


Sponsored links
👉1 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)     👉2 Simulizi za Hadithi Audio     👉3 Kitabu cha Afya     👉4 kitabu cha Simulizi     👉5 Kitau cha Fiqh     👉6 Madrasa kiganjani    

Post zifazofanana:-

DALILI ZA UJAUZITO KICHEFU CHEFU, KUTAPIKA, HEDHI, DAMU UKENI, KUJOJOAKOJOA N.K (mimba changa, mimba ya wiki moja, mimba ya mwezi mmoja )
DALILI KUU ZA MIMBA (UJAUZITO) Watu wengi sana wamekuwa wakilalamika kuwa mimba zao zinatoka, ama kupotea bila ya kujulikana tatizo wala bila ya kuugua. Soma Zaidi...

Maumivu ya uume baada ya tendo la ndoa
Utajifunza sababu za kuweo kwa maumivu ya uume wbaada ya tendo la ndoa na wakati wa tendo la ndoa. Soma Zaidi...

Dalili za saratani kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi Dalili za saratani kwa watoto, ni Dalili ambazo ujitokeza kwa watoto na ikiwa mlezi au mzazi akiziona tu anaweza kutambua mara moja kwamba hii ni saratani au la na kama bado ana wasiwasi anaweza kupata msaada zaidi kutoka kwa wataa Soma Zaidi...

Madhara ya kutumia vidonge kwa akina dada vya uzazi wa mpango
Posti hii inahusu zaidi madhara ambayo yanaweza kutokea kwa sababu ya kutumia vidonge vya uzazi wa mpango kwa akina dada. Soma Zaidi...

Nimetoka kufanya tendo la ndoa ghafla tumbo likaanza kukaza upande wa kushoto na kutoka maji yenye uzito wa kawaida kama ute mengi je hii itakuwa ni nini
Maumivu yavtumbo huwenda yakachanganya sana, Keane yanahusianana sababu nyingi sana. Kina baadhi ya watu hupata na maumivu ya tumbo wakati wa tendo la ndoa ama punde tu baada ya kumaliza. Soma Zaidi...

Huduma kwa wanaotoa damu yenye mabonge
Posti hii inahusu zaidi namna ya kuwasaidia wanaotoa hedhi yenye mabonge, ni tatizo ambalo uwakumba wasichana hata wanawake wakati wa hedhi. Soma Zaidi...

Kupima ujauzito kwa kutumia chumvi, sukari na sabuni
Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu njia za kupima mimba kwa kutumia chumvi sukari na sabuni Soma Zaidi...

Ni zipi njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume
Somo hili linakwenda kukuletea njia za kutatua tatizo la nguvu za kiume Soma Zaidi...

Hatua za ukuwaji was mimba na dalili zake
Somo hili linakwenda kukuletea hatua za ukuaji mimba na dalili zake Soma Zaidi...

Faida za uzazi wa mpango kwa watoto.
Posti hii inahusu zaidi umuhimu wa uzazi wa mpango kwa watoto, sio akina Mama peke yao wanaofaidika na uzazi wa mpango vile vile na watoto wanafaidika na uzazi wa mpango kama ifuatavyo. Soma Zaidi...

Fahamu Ute unaotoka wakati wa ujauzito
Posti hii inahusu zaidi Ute unaotoka wakati wa ujauzito, kwa kawaida wakati wa ujauzito Kuna Ute ambao utoka na ni tofauti na kawaida pale mwanamke akiwa Hana mimba. Soma Zaidi...

Tofauti za ute kwa mwanamke
Posti hii inahusu zaidi tofauti mbalimbali za uke, kwa sababu ya kuwepo kwa matatizo mbalimbali kwenye mwili wa binadamu kuna tofauti mbalimbali za ute kutegemea na hali iliyopo. Soma Zaidi...