Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Chanzo cha matatiza ya simu/kompyuta

UWANJA WA TEKNOLOJIA

Seemu ya sita

.

4. KUJAA KWA MEMORY AU HARD DISK:
Tokeo la picha la full meoryHili ni jambo jingine linaloifanya kompyuta au simu yako kuwa slow.Pindi hard disk inapokuwa imejaa inapelekea kommpyuta yako kuwa slow halikadhalika simu yako kama memori itakuwa imejaa pia hupelekea simu yako kuwa slow kama tulivyozungumzia hili katika post zilizopita.

Jambo la kufanya hapa ni kuhakikisha kuwa kifaa chako kina nafasi ya kutosha. Pia punguza au futa CACHED DATA kwa aelezo zaidi katika hili bofya hapa.

Ama cached data kwa watumiaji wa kompyuta utahitajika kuclean kompyuta yako kama pia unaweza kutumia baadhi ya software kwa ajili ya kuclean kompyuta yako ila hapa unatakiwa uwe makini unaweza kufuta data zako. kupata software huzo unaweza kufuata linki hii hapa bofya hapa.

5.MATATIZO KATIKA HARD DISK:
Hard disk ni kifaa cha kuhifadhia kumbukumbu katika kompyuta. Pia ijulikane kuwa window tunazozitumia huwa zinahifadhiwa katika hard disk. hivyo tatizo lolote litalotokea katika hard disk linaweza kuathiri mfumo mzima wa utendaji wa kazi wa kifaa chako.

kikawaida hard disk ikiwa na matatizo inazungunza yenyewe kwa kukuletea warning yaan onyo kuwa hard disk yako inamatatizo hivyo ubackup data zako ili zisije kupotea pindi ikiharibika kabisa. Pia tutambuwe kuwa itapoharibika hard disk hakuna na,na ya kuzipata data zilizokuwa mule hivyo kila ambacho kimo kitapotea.

jambo la msingi hapa nji kuwahi kubadili hard disk yako. pia pindi ukipata onyo hilo uwahi kuzihamisha data zako kwenda sehemu salama zaidi. Muone fundi wa hard ware akubadilishie hard disk yako kama inakupa warning. Kitu cha msingi hapa ni kuhakikisha unanunuwa disk mpya kutoka dukani kwani za kunu nua kwa watu kuenda ikawa na matatizo pia.

6.KUWA NA ADD-ONS NYINGI KATIKA KIVINJARI CHAKO CHA TOVUTI:
Hizi ni EXTENSIONS ambazo husaidia kivinjari chako yaan internet browser kuweza kufunguwa baadhi ya web kwa kutumia shotkat (njia ya mkato) na kuweza kufanya kazi moja kwa moja bila ya kuingia website yenyewe. Au ni software ambazi hujishikiza katika kivinjari cha inatanet kwa lengo la kufanya kazi zinazohitaji internet kwa urahisi na uharaka zaidi.

Tokeo la picha la add-onsHizi extention sio zote zimetengenezwa kukusaidia kufanya kazi za kukurahisishia katika kubrows bali zimekuwa zikileta pop yaani vijiatangazo ambavyo vinaweza kuishughulisha kompyuta yako na kuwa nzito. wakati mwingine hiz add-ons zinaweza kukuunganisha katika website ambazo hukukusudia kuingia au kudaunlod software kioutomatik.

Kitu ch kufanya hapa ni kuhakikisha unaziondowa adds zote ambazo hauzitumii, na kama tatizo likiendelea ni vizuri zaidi kuzitowa zote katika kivinjari chako. Jinsi ya kuzitowa inategemea na aina ya kivinjari chako ila kitu cha kuziingatia ni kuingia katika menu ya kivinjari chako kisha tafuta neno EXTENTION kisha delet zote.

Huu ndo ukamilisho wa mada yetu iliyokuwa ikihusu mambo yanayosababisha kompyuta au simu yako kuwa slow. Kupata nukuu zilizopita bofya hapa.



        

Bongoclass
Download App Yetu

Jifunze zaidi, na wasiliana nasi ukiwa na App yetu. Bofya hapa chini kuipakua sasa!

Zoezi la Maswali

Nyuma Endelea


Umeionaje Makala hii.. ?

Nzuri            Mbaya            Save
Author: Rajabu image Tarehe: 1970-01-01 03:33:44 Topic: Teknolojia Main: Jifunze File: Download PDF Views 718

Share On:

Facebook WhatsApp
Sponsored links
👉1 Bongolite - Game zone - Play free game    👉2 Kitau cha Fiqh    👉3 Sira ya Mtume Muhammad (s.a.w)    👉4 Kitabu cha Afya    👉5 Simulizi za Hadithi Audio    👉6 Madrasa kiganjani   

Post zinazofanana:

SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU
SIMU KUSUMBUWA MTANDAO NINI SABABU

Kuna mambo mengi sana ambayo yanachangia simu yako kutokuwa na mtandao mzuri yaani network kuwa ndogo.

Soma Zaidi...
Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)
Simu au Kompyuta inastak? (inasumbua)

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Muda wa kuchaji simu yako
Muda wa kuchaji simu yako

Posti hii itakwenda kukujuza juu ya kuda mzuri wa kuchaji simu yako

Soma Zaidi...
 KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook
KIPI KINGINE UTAFANYA UKIWA FACEBOOK: matumizi mengine ya facebook

Facebook ni mtandao wa kwanza wa kijamii (social media) unaotembelewa na watu wengi.

Soma Zaidi...
Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi
Utajiaje kama simu/kompyuta ina virusi

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
 JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE
JINSI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE

NJIA RAHISI YA KUDOWNLOAD VIDEO YOUTUBE Teknolojia ya mawasiliano ni muhimu katika kuhakikisha kuwa ulimwengu unafikika kama kijiji kimoja na hapa ndipo unapata maana halisi ya neno UTANDAWAZA yaani kwa lugha ya kimombo ni globalization.

Soma Zaidi...
Matumizi ya OCR katika simu yako
Matumizi ya OCR katika simu yako

Somo Hili linakuleteq mafunzo ya OCR katika simu yako

Soma Zaidi...
Kutuma sms ndefu
Kutuma sms ndefu

Jifunze matumizi ya simu yako na namna ya kutatua matatizo mbalimbali kwenye simu na kompyuta..

Soma Zaidi...
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus
Utajuaje Kama simu au kompyuta yako Ina virus

Somo hili linakwenda kukueleza kuhusu namna ya kujua Kama simu yako ina virus

Soma Zaidi...