Nguzo za uislamu (EDK form 2: dhana ya elimu ya uislamu)
Na. |
Hijjah |
Umrah |
1. |
Hijjah ni faradh kwa muislamu mwenye uwezo mara moja kwa maisha yake yote. |
Umrah ni Sunnah iliyokokotezwa. |
2. |
Hijjah ina muda maalum, hufanywa katika mwezi na siku maalum. |
Umrah haina muda maalum, hufanywa mwezi na siku yeyote. |
3. |
Hijjah huchukua muda mrefu na hufanyikia ndani na nje ya Makka – Muzdalifa, Arafa na Mina. |
Umrah huchukua muda mfupi na hufanyikia ndani ya Makka kwa Kutufu, Kusai na Kunyoa tu. |
4. |
Ibada ya Hijjah ina matendo mengi |
Ibada ya Umrah ina matendo machache. |
Umeionaje Makala hii.. ?
Post hii itakufundisha mambo ambayo yanabatilisha udhu.
Soma Zaidi...Posti hiibinakwenda kukufundisha kuhusu hadathi ya kati na kati.
Soma Zaidi...Hapa utajifunza mambo ambayo akiyafanya mtu aliyefunga, basi funga yake itaharibika.
Soma Zaidi...Post hii inakwenda kukufunza kuhusu swala ya dhuha, faida zake wakati wa kuiswali swala ya dhuha na jinsi ya kuiswali.
Soma Zaidi...Nguzo za uislamu (EDK form 3:dhana ya elimu ya uislamu)
Soma Zaidi...